GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hakika Wewe Mhindi ni Mjanja sijapata kuona. Kwahiyo mwenyewe ulidhani Siri itafichwa sana na wenye Ubobezi wa kutafuta Taarifa Ngumu Ngumu na za Hatari akina GENTAMYCINE hatutoijua? Nina uhakika nikilisanua hapa kwa ulichokifanya leo hii hii Amani inatoweka Simba SC na hata Serikali itatukamata kwa Uhuni na Usanii uliotufanyia. Hakikisha ukienda Msikitini Leo au Kesho ukatubu kwa Allah kwa ulichotufanyia.
Sasa nimewaelewa kwanini akina Dk. Kigangwala na Mzee wetu mwenye Hati halali ya Simba SC Kilomoni hawakutaki. Haya kuna Watu hapa JamiiForums mnajifanya mnataka Kushindana nami kupata Taarifa za Ndani mbona hii Kali na ya Siri pamoja na Waanishi wenu Uchwara wa Michezo hawana / hawaijui ila Kudadadeki The King GENTAMYCINE nimeipata tena kutoka kule kule Jikoni halafu najiamini nayo kwa 100%.
Sasa nimewaelewa kwanini akina Dk. Kigangwala na Mzee wetu mwenye Hati halali ya Simba SC Kilomoni hawakutaki. Haya kuna Watu hapa JamiiForums mnajifanya mnataka Kushindana nami kupata Taarifa za Ndani mbona hii Kali na ya Siri pamoja na Waanishi wenu Uchwara wa Michezo hawana / hawaijui ila Kudadadeki The King GENTAMYCINE nimeipata tena kutoka kule kule Jikoni halafu najiamini nayo kwa 100%.