Mo Dewji nakuuliza nivujishe Siri ya Bilioni 20 ulikoiweka na sasa unajipatia Hela za bure bila wana Simba SC kujua au niuchune tuendele kuwa Mazuzu?

Mo Dewji nakuuliza nivujishe Siri ya Bilioni 20 ulikoiweka na sasa unajipatia Hela za bure bila wana Simba SC kujua au niuchune tuendele kuwa Mazuzu?

We jamaa huwa muongo muongo sana na ulishaleta uongo mwingi sana hapa jamvini nashangaa bado hujapigwa ban mpaka sa iz na huu uongo uongo wako
Mimi muongo halafu bado tena unaendelea Kusoma Mada zangu. Idiot.
 
Hakika Wewe Mhindi ni Mjanja sijapata kuona. Kwahiyo mwenyewe ulidhani Siri itafichwa sana na wenye Ubobezi wa kutafuta Taarifa Ngumu Ngumu na za Hatari akina GENTAMYCINE hatutoijua? Nina uhakika nikilisanua hapa kwa ulichokifanya leo hii hii Amani inatoweka Simba SC na hata Serikali itatukamata kwa Uhuni na Usanii uliotufanyia. Hakikisha ukienda Msikitini Leo au Kesho ukatubu kwa Allah kwa ulichotufanyia.

Sasa nimewaelewa kwanini akina Dk. Kigangwala na Mzee wetu mwenye Hati halali ya Simba SC Kilomoni hawakutaki. Haya kuna Watu hapa JamiiForums mnajifanya mnataka Kushindana nami kupata Taarifa za Ndani mbona hii Kali na ya Siri pamoja na Waanishi wenu Uchwara wa Michezo hawana / hawaijui ila Kudadadeki The King GENTAMYCINE nimeipata tena kutoka kule kule Jikoni halafu najiamini nayo kwa 100%.
Jenta kama jenta
 
Back
Top Bottom