Mo Dewji: Simba inanipa hasara, ningenunua hata Ndege

 

Attachments

  • FB_IMG_1687611530512.jpg
    62 KB · Views: 3
Mwamedi bana, janja janja sana.
 
HIyo aliongea miaka ya nyuma, ripoti ya mwaka 2023 wamepata faida, ripoti ya mwakani 2024 wanaweza pata hasara
Ni tofauti na dewji ambaye yeye kila siku anapata hasara
Kabisa aiseeh[emoji23][emoji23]
 
Huyu hapa kaulizwa kuhusu pesa jamaa kawa mkali

Ninaamini ipo siku hii ishu ita backfire kwake, wanasimba wanakusanya tu taarifa, siku wakiliamsha basi hatakuwa na jinsi zaidi ya kuwaachie wengine wawekeze au akubaliane na vifungu vya wanasimba, Janja janja hainaga maisha marefu.
 
Ninaamini ipo siku hii ishu ita backfire kwake, wanasimba wanakusanya tu taarifa, siku wakiliamsha basi hatakuwa na jinsi zaidi ya kuwaachie wengine wawekeze au akubaliane na vifungu vya wanasimba, Janja janja hainaga maisha marefu.
Hawana ujanja
 
Tumetoka mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…