Mo Dewji: Simba inanipa hasara, ningenunua hata Ndege

Mo Dewji: Simba inanipa hasara, ningenunua hata Ndege

MO: SIMBA INANIIGIZIA HASARA, KAMA SIO SIMBA NINGEKUWA NA NDEGE.

“Simba ni klabu ambayo nimeipenda tangu nikiwa mdogo, naipenda Simba kutoka moyoni, mechi ya juzi tulipofungwa na Raja nimekaa kwenye Gari nimelia"

“Nimewekeza kwenye Simba sio kwaajili ya pesa huu ni mwaka wa sita, tumekubaliana ni Bil. 20 lakini tukifanya mahesabu imefika labda Bil. 50 ambazo nimewekeza, kama nngependa raha au kitu kingine Bil 50 ningenunua hata ndege,”

“Ukiniambia Simba ni Biashara kwangu Hapana, Simba ni Hasara kwangu ndiyo, Simba kifedha inanipa hasara, Kuna wafadhili wengi sana ambao wamekuja na wamepita wengi wao wamefilisika Kutokana na kuwekeza au kufadhili Simba

RAIS wa Heshima na Mwekezaji wa Simba, MOHAMMED DEWJI.

Source @futbalplanet_ [emoji1241]

NB acheni kumwingiza hasara Mo

View attachment 2562675
 

Attachments

  • FB_IMG_1687611530512.jpg
    FB_IMG_1687611530512.jpg
    62 KB · Views: 3
MO: SIMBA INANIIGIZIA HASARA, KAMA SIO SIMBA NINGEKUWA NA NDEGE.

“Simba ni klabu ambayo nimeipenda tangu nikiwa mdogo, naipenda Simba kutoka moyoni, mechi ya juzi tulipofungwa na Raja nimekaa kwenye Gari nimelia"

“Nimewekeza kwenye Simba sio kwaajili ya pesa huu ni mwaka wa sita, tumekubaliana ni Bil. 20 lakini tukifanya mahesabu imefika labda Bil. 50 ambazo nimewekeza, kama nngependa raha au kitu kingine Bil 50 ningenunua hata ndege,”

“Ukiniambia Simba ni Biashara kwangu Hapana, Simba ni Hasara kwangu ndiyo, Simba kifedha inanipa hasara, Kuna wafadhili wengi sana ambao wamekuja na wamepita wengi wao wamefilisika Kutokana na kuwekeza au kufadhili Simba

RAIS wa Heshima na Mwekezaji wa Simba, MOHAMMED DEWJI.

Source @futbalplanet_ [emoji1241]

NB acheni kumwingiza hasara Mo

View attachment 2562675
Mwamedi bana, janja janja sana.
 
HIyo aliongea miaka ya nyuma, ripoti ya mwaka 2023 wamepata faida, ripoti ya mwakani 2024 wanaweza pata hasara
Ni tofauti na dewji ambaye yeye kila siku anapata hasara
Kabisa aiseeh[emoji23][emoji23]
 
Huyu hapa kaulizwa kuhusu pesa jamaa kawa mkali

Ninaamini ipo siku hii ishu ita backfire kwake, wanasimba wanakusanya tu taarifa, siku wakiliamsha basi hatakuwa na jinsi zaidi ya kuwaachie wengine wawekeze au akubaliane na vifungu vya wanasimba, Janja janja hainaga maisha marefu.
 
Ninaamini ipo siku hii ishu ita backfire kwake, wanasimba wanakusanya tu taarifa, siku wakiliamsha basi hatakuwa na jinsi zaidi ya kuwaachie wengine wawekeze au akubaliane na vifungu vya wanasimba, Janja janja hainaga maisha marefu.
Hawana ujanja
 
MO: SIMBA INANIIGIZIA HASARA, KAMA SIO SIMBA NINGEKUWA NA NDEGE.

“Simba ni klabu ambayo nimeipenda tangu nikiwa mdogo, naipenda Simba kutoka moyoni, mechi ya juzi tulipofungwa na Raja nimekaa kwenye Gari nimelia"

“Nimewekeza kwenye Simba sio kwaajili ya pesa huu ni mwaka wa sita, tumekubaliana ni Bil. 20 lakini tukifanya mahesabu imefika labda Bil. 50 ambazo nimewekeza, kama nngependa raha au kitu kingine Bil 50 ningenunua hata ndege,”

“Ukiniambia Simba ni Biashara kwangu Hapana, Simba ni Hasara kwangu ndiyo, Simba kifedha inanipa hasara, Kuna wafadhili wengi sana ambao wamekuja na wamepita wengi wao wamefilisika Kutokana na kuwekeza au kufadhili Simba

RAIS wa Heshima na Mwekezaji wa Simba, MOHAMMED DEWJI.

Source @futbalplanet_ [emoji1241]

NB acheni kumwingiza hasara Mo

View attachment 2562675
Tumetoka mbali
 
Back
Top Bottom