pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Kwa hyo yanga alistahili kumfunga AZAM au ndio tuamini hvyo hvyo wenye akili ni wawili yangaKikosi Cha Simba ata kiwe kamili hakina uwezo wa kupata matokeo chanya Kwa Azam au Yanga alicho ongeza Mgunda ni hamasa tu. Kikosi ni chakawaida, ata kama waseme baada ya wiki tatu warudiane Simba anastahili afungwe.
Ivi we Una James Akaminko, Ndala, Sospeter Bajana, Migunamiguna kulia Kipre, kushoto Lyanga nje una Nado juu una Dube, Kola na Mbombo Unafungwa vipi na Simba!!
Mpira wa Tanzania unachupri nyingi.