Mo Dewji ulikosea sana 'Kumsifu' vile hadharani Kocha Mgunda

Kwa hyo yanga alistahili kumfunga AZAM au ndio tuamini hvyo hvyo wenye akili ni wawili yanga
 
Sasa sakho angefanya Nini mule?
 
Kapombe na Israel wote wagonjwa wana mjeraha option ilikuwa kumtumia kapama upande wa kulia nyini acheze na mkude eneo la kiungo maana AZAM Jana walitengeneza mashambulizi mengi kupitia kwa erasto nyoni
 
Endelea na propaganda zako uchwara za Nabi anafukuzwa. Shida ya huyu pimbi yeye Ni full unafiki na uchochezi hata wapenxi wenzako wa Simba SC wanakudharau Sana Ila ujitambui tu.
 
Mtahaha sana
 
We jamaa utakua haupo vizuri kicwani humo..... haki ya mungu.
 
Hivyo basi Mo Dewji tambua ya kuwa hata matokeo ya jana (Simba SC kufungwa na Azam FC) ni sehemu ya mkakati wa kimafia na kihujuma kutoka kwa hao wana Simba SC (Wazee wa 10%) ili Kumharibia Kocha Mgunda na uondoe imani naye
Wote tumeangalia mpira jana simba alizidiwa kila kitu azam kastahili kabisa ushindi hujuma ziko wapi mzee baba.
 
Inawezekana Kuna huo 'umafia' unaosema lakini je, hao 'mamafia' ndio wanapanga kikosi? Mechi ya Jana Mgunda amefeli kwenye uchaguzi wa kikosi na kupelekea kufeli kimbinu.
Azam.ana timu nzuri kushinda simba.. nitajie mchezaji mmoja wa simba aliekosekana angeweza kubadilisha matokeo jana, kwa sasa simba ana timu ya kawaida sana ni mashabiki hawataki kukubali huo ukweli mchungu
 
Pamoja na sababu zingine zote ila ukweli ni kwamba azam ana timu nzuri kushinda simba mimi jana nilivyoangalia line ups na subs timu zote mbili nikajua azam anashinda nikamuua simba kwa mhindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…