technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Huyu jamaa ni tapeli Sana baada ya kuona pesa zinakuja anajua kabisa simba ikienda robo fainali atapiga Ile pesa kwa 49%
Huyu jamaa ukitaka kujua ni tapeli mwangalie timu ikianza kushinda mechi zake anakuwa active kwenye mitandao ikichapwa anasepa.
Sasahivi anapigia mahesabu pesa ya simba kwenda robo fainali.
Mbumbumbu fc wanamshangilia!! Duh.!
Huyu jamaa ukitaka kujua ni tapeli mwangalie timu ikianza kushinda mechi zake anakuwa active kwenye mitandao ikichapwa anasepa.
Sasahivi anapigia mahesabu pesa ya simba kwenda robo fainali.
Mbumbumbu fc wanamshangilia!! Duh.!
