Pics
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 240
- 181
Wanatumia katika zile bilioni 20 hewaKuipeleka timu Dubai ni zaidi ya 500mil.
Kwa hiyo sikubaliani na hoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatumia katika zile bilioni 20 hewaKuipeleka timu Dubai ni zaidi ya 500mil.
Kwa hiyo sikubaliani na hoja.
kwamba unawaonea huruma wana Simba kuliko familia yako?Mnadhani kila kitu anafanya huyo tajiri wenu wa mchongo. Ni kweli kajisogeza.
Yaani hadi utopolo wanajua Simba itaenda robo fainali! 😆😆😆Huyu jamaa ni tapeli Sana baada ya kuona pesa zinakakuja anajua kabisa simba ikienda robo fainali atapiga Ile pesa kwa 49%
Mfalme Simba na rafiki zake, umenikumbusha hiyo film nilipendezwa nayo.
Kabisa.Na hii ndo furaha ya mashabiki, wala sio billions of money. Issue ni furaha tu kwetu.
Ndio mwalimu.kwamba unawaonea huruma wana Simba kuliko familia yako?
Pesa iliyotumika ni sehemu ya pesa tuliyopewa na CAF kwa kuingia makundi, sasa tunapesa.Kuipeleka timu Dubai ni zaidi ya 500mil.
Kwa hiyo sikubaliani na hoja.
Kwani trip kama hiyo inagharimu kiasi gani?Hiyo milioni 500 itakuwa ni ile ya Zimbabwe, enzi za Marehemu Robert Mugabe bila shaka.
Na kama ni hii ya kwetu, basi ni bora ingetumika tu kufanyia usajili wa maana, wakati huu wa dirisha dogo.
Bila pesa za Mo za mfukoni, ile club haiwezi kujiendesha kwa hadhi ya sasa hivi.Pesa iliyotumika ni sehemu ya pesa tuliyopewa na CAF kwa kuingia makundi, sasa tunapesa.
Mkuu, bora hata hizo taka taka baadhi zinaweza kufaa zikifanyiwa recycled. Huyu ameandika what is called "Ushuzi" kabisa!!!umeandika takataka.
Hizo ndo idadi ya hisa mlizompa. Mkitaka asipige hiyo hela basi mnunueni abaki na 10%.atapiga Ile pesa kwa 49%
Kwa nini usiifadhili Simba ili Dewji apumzike na uzushi wako?Huyu jamaa ni tapeli Sana baada ya kuona pesa zinakakuja anajua kabisa simba ikienda robo fainali atapiga Ile pesa kwa 49%
Huyu jamaa ukitaka kujua ni tapeli mwangalie timu ikianza kushinda mechi zake anakuwa active kwenye mitandao ikichapwa anasepa.
Sasahivi anapigia mahesabu pesa ya simba kwenda robo fainali.
Mbumbumbu fc wanamshangilia!! Duh.!
Nenda shule zishafunguliwa acha makasiliko ya wajawazito hayoWe mlamba mavi fc, mnahangaika nini na simba ? Hivi nyie si mtakua mnaiwaza sana simba kuliko mapumbu yenu yanayonuka?
Huyu jamaa ni tapeli Sana baada ya kuona pesa zinakakuja anajua kabisa simba ikienda robo fainali atapiga Ile pesa kwa 49%
Huyu jamaa ukitaka kujua ni tapeli mwangalie timu ikianza kushinda mechi zake anakuwa active kwenye mitandao ikichapwa anasepa.
Sasahivi anapigia mahesabu pesa ya simba kwenda robo fainali.
Mbumbumbu fc wanamshangilia!! Duh.!