Mo kajisogeza simba tena baada ya kuona pesa zinakuja

Mo kajisogeza simba tena baada ya kuona pesa zinakuja

Huyu jamaa ni tapeli Sana baada ya kuona pesa zinakakuja anajua kabisa simba ikienda robo fainali atapiga Ile pesa kwa 49%
Yaani hadi utopolo wanajua Simba itaenda robo fainali! 😆😆😆
 
Mada za kuokoteza okoteza tu, lini Mo aliona pesa haiendi Simba akaamua kukaa pembeni?

Kama ni kufuzu klabu bingwa, Simba ilifanya hivyo long time ago..
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hiyo milioni 500 itakuwa ni ile ya Zimbabwe, enzi za Marehemu Robert Mugabe bila shaka.

Na kama ni hii ya kwetu, basi ni bora ingetumika tu kufanyia usajili wa maana, wakati huu wa dirisha dogo.
Kwani trip kama hiyo inagharimu kiasi gani?
Come with numbers .... La haha ni maneno tu kama mengine.
 
Pesa iliyotumika ni sehemu ya pesa tuliyopewa na CAF kwa kuingia makundi, sasa tunapesa.
Bila pesa za Mo za mfukoni, ile club haiwezi kujiendesha kwa hadhi ya sasa hivi.
It's still a loss making investment .. big time loss.
 
Tunakushukuru kwa kuliona hilo kwamba simba ni timu kubwa kiasi kwamba kwenda robo fainali ni jambo la kawaida huku utopolo kwenye kombe lake la looser hajui hatima yake.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa ni tapeli Sana baada ya kuona pesa zinakakuja anajua kabisa simba ikienda robo fainali atapiga Ile pesa kwa 49%

Huyu jamaa ukitaka kujua ni tapeli mwangalie timu ikianza kushinda mechi zake anakuwa active kwenye mitandao ikichapwa anasepa.

Sasahivi anapigia mahesabu pesa ya simba kwenda robo fainali.

Mbumbumbu fc wanamshangilia!! Duh.!
Kwa nini usiifadhili Simba ili Dewji apumzike na uzushi wako?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Waliyoachiwa kuendesha timu imewashinda wakaona ni busara kurudisha timu to the rightful owner.
 
Huyu jamaa ni tapeli Sana baada ya kuona pesa zinakakuja anajua kabisa simba ikienda robo fainali atapiga Ile pesa kwa 49%

Huyu jamaa ukitaka kujua ni tapeli mwangalie timu ikianza kushinda mechi zake anakuwa active kwenye mitandao ikichapwa anasepa.

Sasahivi anapigia mahesabu pesa ya simba kwenda robo fainali.

Mbumbumbu fc wanamshangilia!! Duh.!

Simba ikibaki hivi bila maingizo ya maana,haifiki fainali,simba haina wachezaji wa maana msimu huu
 
Back
Top Bottom