Abeltrainer
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 245
- 473
- Thread starter
-
- #21
We unayeleewa ebu elezea uwekezaji wa mo simba jinsi ulivyoSasa kama huelewi uwekezaji wa Mo upoje ndani ya Simba, huna uhalali wa kuhoji uelewa wako kuhusu hili ni mdogo,Ndo maana nikasema hujui lolote umekurupuka,
Manji aliondoka yanga, yanga si bado ipo, na imeimarika mara kumi zaidi, wapo very professional, aggressive na sitoshangaa kuwaona ndani ya miaka 5-10 wakiwa level moja na akina mamelody, alhly, tp mazembe nkSimba inachohitaji ni uongozi bora na kuwa ondosha kabisa hawa wana siasa akina Mangungu na Try again na wapuuzi wengine waliojazana mle ndani, Mo akiachia timu utaweza kuiendesha? au una wawekezaji wakuchukua nafasi ya Mo? kama hauna endelea kula ugali utulie
Ahsante... Mzee kilomoni alikuwa anaona mbali sana, inabidi tukamuombe msamahaNjaa zetu ndio chanzo cha matatizo plus ujinga. Ila kiukweli umiliki na uwekezaji wa simba ni jambo lisiloeleweka kabisaa
Nimeangalia umejiunga jamii forum 2022 kwa hiyo siwezi kukulaumuAondoke ili baba yako aje awekeze?
Pesa sio matako ya kuwa kila mtu anayo.
Wakati mwingine ni vizuri kutoa maoni lakini embu tujiulize simba kabla ya MO unayesema atoke walikua hatua gani kipindi simba inapitia kipindi kigumu nani aliyejitokeza kuwekeza hela zakeWadau na wapenzi wa simba sport club naomba tuungane, katika kampeni hii ya kumshinikiza mo na kampuni yao ya METL kuondoka Simba, ili kupisha wawekezaji wengine.
Ni ukweli usiopingika kwamba uwekezaji wa mo na kampuni yao ya metl katika club yetu pendwa simba sport club hauna tija, hauna faida kwa simba na pia haueleweki
Tunahitaji kuwa wawekezaji wengi, ili
1. Kuwa na mtaji mkubwa,
2. Kuleta uwazi na uwajibikaji katika uendeshaji wa timu kwa sababu viongozi hawatakuwa vibaraka mwekezaji
Tunataka wawekezaji watakao weka hela mezani na sio kwenda kununua bond bot halafu ile fida ndio uilete kuendeshea timu, huu ni uwekezaji ambao hauna tija.
Muwekezaji akitumia brand ya simba kwenye bidhaa zake anatakiwa kulipia, na ashindanishwe na makampuni mengine, kama akikosa basi.
Nawasilisha
Baada ya manji kuondoka unakumbuka kilichowakuta kwa misimu minne mfululizo? Shida sio kutoka tuu lakini mbadala wake tayali yupo? sio anaondoka timu inaenda kutembeza bakuli, kufika level ya Al Ahly na Mamelodi sio rahisi kama ulivyo andika hapa yani ndani ya miaka 5-10 yanga iweze kumsajili mchezaji wa b 3-6 si masikhara hayo unaletaManji aliondoka yanga, yanga si bado ipo, na imeimarika mara kumi zaidi, wapo very professional, aggressive na sitoshangaa kuwaona ndani ya miaka 5-10 wakiwa level moja na akina mamelody, alhly, tp mazembe nk
Hiyo ni kenge ya kupuuza tuTimu imeingia robo fainali mara tano ndani ya miaka sita. Pyramids na uwekezaji wao wameshindwa.
Lweli tenda wema hiende zako leo hiii leo hii ndio mnamlipa mo hivi kweli..Wadau na wapenzi wa simba sport club naomba tuungane, katika kampeni hii ya kumshinikiza mo na kampuni yao ya METL kuondoka Simba, ili kupisha wawekezaji wengine.
Ni ukweli usiopingika kwamba uwekezaji wa mo na kampuni yao ya metl katika club yetu pendwa simba sport club hauna tija, hauna faida kwa simba na pia haueleweki
Tunahitaji kuwa wawekezaji wengi, ili
1. Kuwa na mtaji mkubwa,
2. Kuleta uwazi na uwajibikaji katika uendeshaji wa timu kwa sababu viongozi hawatakuwa vibaraka mwekezaji
Tunataka wawekezaji watakao weka hela mezani na sio kwenda kununua bond bot halafu ile fida ndio uilete kuendeshea timu, huu ni uwekezaji ambao hauna tija.
Muwekezaji akitumia brand ya simba kwenye bidhaa zake anatakiwa kulipia, na ashindanishwe na makampuni mengine, kama akikosa basi.
Nawasilisha
Kwani Simba imeshaanza kuendeshwa kwa mfumo wa uwekezaji? Unaweza ukajidai mjuaji kumbe unakurupuka na kichwani huelewi lolote (hakuna kitu)Wadau na wapenzi wa simba sport club naomba tuungane, katika kampeni hii ya kumshinikiza mo na kampuni yao ya METL kuondoka Simba, ili kupisha wawekezaji wengine. Ni ukweli usiopingika kwamba uwekezaji wa mo na kampuni yao ya metl katika club yetu pendwa simba sport club hauna tija, hauna faida kwa simba na pia haueleweki
Kuwa na pesa kingekuwa kitu rahisi basi baba yako angekuwa nazo na yeye sasa hivi ndo angekuwa muwekezaji hapo Simba.Nimeangalia umejiunga jamii forum 2022 kwa hiyo siwezi kukulaumu
Ila naomba nikuulize swali
Katika zile ahadi alizo ziweka ni zipi amezitekeleza?
1.uwanja
2.hostel
3.modern gym na facilities nyingine za mazoezi
4.academy
5.timu za vijana zilizo imara
Nk
Ni lipi aliliolitekeleza?
Na je unaelewa vizuri kuhusu structure nzima ya uwekezaji wa mo simba
? Au una ropoka tu
Una uhakika gani kwamba mo akiondoka hatopatikana muwekezaji mwingine?
Manji aliondoka yanga,je yanga ilikufa?
Je tumepata uwekezaji bora?
Je tumepata uongozi bora?
Jibu HAPANA
Kwa nini
1.aina ya uwekezaji uliokuwa unahubiriwa hauna tija kwa upande timu,un tija upande wa muwekezaji tu, lwa sababu kwa uhakisia mo na kampuni yao hawajawekeza chochote simba, walichofanya ni kununua bond za 20billion, faida inayoptaikana ndio wanaileta simba..ina maana siku wakivurugana na simba, wanachukua 20billion yao
2.hamna ushindani kwani muwekezaji ni mmoja tu
3. Muwelezaji ndie aliyekuwa anaendesha mchakato mzima wa mabadiliko,kwa hiyo simba sport club ikakosa nguvu kimaamuzi,ndio maana mwenyekiti mkwabi alijiuzulu
4. Hatuna namna ya kumbana muwekezaji,ukiangalia mambo aliyoyaahidi hajtekeleza hata moja
Aliahidi
1.uwanja,
2. Academy
3.modern equipements kama gym,nk
4.modern hostel za wachezaji
5. Na mengine mengi
Hajatekeleza hata moja, labda tu ni kuuta ule uwanja wa uongo na kweli mo sport arena,na kiwazawadia wachezaji pikipiki za boxer, what
Hivi unajua sera ya michezo ya Taifa inasemaje kuhusu michezo.Usije kuwaza kuwa Siku moja hizi timu zitakabidhiwa kwa mwekezaji sahau hiyo kitu.Haya yote yanafanyika ni danganya toto tu bado sera yetu inasema michezo ni burudani.Wadau na wapenzi wa simba sport club naomba tuungane, katika kampeni hii ya kumshinikiza mo na kampuni yao ya METL kuondoka Simba, ili kupisha wawekezaji wengine.
Ni ukweli usiopingika kwamba uwekezaji wa mo na kampuni yao ya metl katika club yetu pendwa simba sport club hauna tija, hauna faida kwa simba na pia haueleweki
Tunahitaji kuwa wawekezaji wengi, ili
1. Kuwa na mtaji mkubwa,
2. Kuleta uwazi na uwajibikaji katika uendeshaji wa timu kwa sababu viongozi hawatakuwa vibaraka mwekezaji
Tunataka wawekezaji watakao weka hela mezani na sio kwenda kununua bond bot halafu ile fida ndio uilete kuendeshea timu, huu ni uwekezaji ambao hauna tija.
Muwekezaji akitumia brand ya simba kwenye bidhaa zake anatakiwa kulipia, na ashindanishwe na makampuni mengine, kama akikosa basi.
Nawasilisha
Muondoke na muiache timu kwa Chief MangungušWadau na wapenzi wa simba sport club naomba tuungane, katika kampeni hii ya kumshinikiza mo na kampuni yao ya METL kuondoka Simba, ili kupisha wawekezaji wengine.
Ni ukweli usiopingika kwamba uwekezaji wa mo na kampuni yao ya metl katika club yetu pendwa simba sport club hauna tija, hauna faida kwa simba na pia haueleweki
Tunahitaji kuwa wawekezaji wengi, ili
1. Kuwa na mtaji mkubwa,
2. Kuleta uwazi na uwajibikaji katika uendeshaji wa timu kwa sababu viongozi hawatakuwa vibaraka mwekezaji
Tunataka wawekezaji watakao weka hela mezani na sio kwenda kununua bond bot halafu ile fida ndio uilete kuendeshea timu, huu ni uwekezaji ambao hauna tija.
Muwekezaji akitumia brand ya simba kwenye bidhaa zake anatakiwa kulipia, na ashindanishwe na makampuni mengine, kama akikosa basi.
Nawasilisha
HahahahahaYaani ni vituko, na zinatengeneza hela nyingi sana ila waswahili wanazila
Tu
Huyo hatoki mpaka simba ishuke daraja.Wadau na wapenzi wa simba sport club naomba tuungane, katika kampeni hii ya kumshinikiza mo na kampuni yao ya METL kuondoka Simba, ili kupisha wawekezaji wengine.
Ni ukweli usiopingika kwamba uwekezaji wa mo na kampuni yao ya metl katika club yetu pendwa simba sport club hauna tija, hauna faida kwa simba na pia haueleweki
Tunahitaji kuwa wawekezaji wengi, ili
1. Kuwa na mtaji mkubwa,
2. Kuleta uwazi na uwajibikaji katika uendeshaji wa timu kwa sababu viongozi hawatakuwa vibaraka mwekezaji
Tunataka wawekezaji watakao weka hela mezani na sio kwenda kununua bond bot halafu ile fida ndio uilete kuendeshea timu, huu ni uwekezaji ambao hauna tija.
Muwekezaji akitumia brand ya simba kwenye bidhaa zake anatakiwa kulipia, na ashindanishwe na makampuni mengine, kama akikosa basi.
Nawasilisha
Wadau na wapenzi wa simba sport club naomba tuungane, katika kampeni hii ya kumshinikiza mo na kampuni yao ya METL kuondoka Simba, ili kupisha wawekezaji wengine.
Ni ukweli usiopingika kwamba uwekezaji wa mo na kampuni yao ya metl katika club yetu pendwa simba sport club hauna tija, hauna faida kwa simba na pia haueleweki
Tunahitaji kuwa wawekezaji wengi, ili
1. Kuwa na mtaji mkubwa,
2. Kuleta uwazi na uwajibikaji katika uendeshaji wa timu kwa sababu viongozi hawatakuwa vibaraka mwekezaji
Tunataka wawekezaji watakao weka hela mezani na sio kwenda kununua bond bot halafu ile fida ndio uilete kuendeshea timu, huu ni uwekezaji ambao hauna tija.
Muwekezaji akitumia brand ya simba kwenye bidhaa zake anatakiwa kulipia, na ashindanishwe na makampuni mengine, kama akikosa basi.
Nawasilisha
Acha ushabiki maandazi wewe. Mo kawafanya muone kuingia robo ni kazi rahisi, sasa mwaanza kuvimbiwa. Mashabiki academia mnaharibu sana utulivu wa club.Wadau na wapenzi wa simba sport club naomba tuungane, katika kampeni hii ya kumshinikiza mo na kampuni yao ya METL kuondoka Simba, ili kupisha wawekezaji wengine.
Ni ukweli usiopingika kwamba uwekezaji wa mo na kampuni yao ya metl katika club yetu pendwa simba sport club hauna tija, hauna faida kwa simba na pia haueleweki
Tunahitaji kuwa wawekezaji wengi, ili
1. Kuwa na mtaji mkubwa,
2. Kuleta uwazi na uwajibikaji katika uendeshaji wa timu kwa sababu viongozi hawatakuwa vibaraka mwekezaji
Tunataka wawekezaji watakao weka hela mezani na sio kwenda kununua bond bot halafu ile fida ndio uilete kuendeshea timu, huu ni uwekezaji ambao hauna tija.
Muwekezaji akitumia brand ya simba kwenye bidhaa zake anatakiwa kulipia, na ashindanishwe na makampuni mengine, kama akikosa basi.
Nawasilisha