Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Ukiangalia hii Simba iliyocheza leo, hii mechi kwa kamanda Mgunda ilikuwa ni big (W).
Unajua yule Mo amefanya lobbying kubwa sana kumuondoa Mgunda na kumleta hiyo mzee Brazil.
Mwaka jana mwezi wa 12, Mo alipost hii tweet kule Twitter
Baada ya kuona hii tweet na kuangalia Simba ilivokuwa ina improve, nikajua huyu jamaa ni kilaza wa mpira.
Kwa maamuzi kama haya ya hovyo na kukurupuka, kuna saa unajiuliza, huyu jamaa isingekuwa baba ake, angakuwa choka mbaya tu kama wale wahindi wenzake wa upanga.
Unajua yule Mo amefanya lobbying kubwa sana kumuondoa Mgunda na kumleta hiyo mzee Brazil.
Mwaka jana mwezi wa 12, Mo alipost hii tweet kule Twitter
Baada ya kuona hii tweet na kuangalia Simba ilivokuwa ina improve, nikajua huyu jamaa ni kilaza wa mpira.
Kwa maamuzi kama haya ya hovyo na kukurupuka, kuna saa unajiuliza, huyu jamaa isingekuwa baba ake, angakuwa choka mbaya tu kama wale wahindi wenzake wa upanga.