Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kelele... kuna kosa la kiufundi amelifanya huyu kabachori wa mchongo.. analeta racism yake ya kijinga wakati timu ilikuwa kwenye good shapeIla mashabiki wa Tanzania tuna siti yetu mbinguni maana timu isifungwe ikifungwa mashabiki wanaanza kelele.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo mkuu unaona kwamba kocha Robertino hastahili kuhukumiwa kwa chochote..?Emotionally naweza kukuelewa sababu simba amefungwa, so umeumia. Lakini Logically napata mashaka sana na uelewa wako katika mpira.
Kabla sijaeleza kile nilichokiona, Kocha Robertinho unam-hukumu kwa lipi?
1. Je, approach yake kuelekea mechi ya Jana?
2. Mbinu na mfumo aliotumia kucheza mechi ya Jana?
3. Viwango vya wachezaji vime-drop?
4. Substitutions alizofanya?
5.Au sababu tu, score board ni Horoya 1-0 Simba?
Personally, Naona kocha ndani ya Robertinho.
1. Perfect First Eleven + Formation.
I think kila mtu ameona nature ya wachezaji, mfumo na nature ya Viungo wa Horoya. First Half ilikua inamuhitaji Sawadogo kuliko Chama(Najua hapa nitatukanwa) ila huo ndio ukweli. So kuja na Viungo wenye asili ya Ukabaji watatu ni Perfect selection(Mzamiru. Kanoute, Sawadogo for aerial na kashikashi).
2. Sub ya Bocco for aerial balls ilifanya kazi kabisa. Umakini wake ni changamoto. Sub ya Phiri na Kibu, Kibu alikua bora sana, hii ilimfanya Chama acheze 10 na sio Wide tena. I think kila mtu aliona, vijana wa mjini wanasema Horoya alikua anapelekewa moto.
Nakusikiliza na wewe pia.
Robertino baada ya kupewa thank you kaamua kusema ukweli kwamba simba sc inawachezaji wawili tuKocha Yuko sawa.
Jamani YANGA WAMESAJILI ,WAMESAJILI, WAMEMWAGA HELA.
SIMBA HATA AJE , KOCHA WA MAN CITY ,HAINA MAAJABU.