Mo ni kilaza wa mpira, amefanya maamuzi ya kijinga sana kumleta mzungu

Kwahiyo mkuu unaona kwamba kocha Robertino hastahili kuhukumiwa kwa chochote..?

Ninachomaanisha hapa ni kwamba timu ilikuwa kwenye form nzuri na kitendo cha kubadili kocha maana yake kumeharibu mambo mengi ya kiufundi.

Na aliyeanzisha hizi mambo za kubadili kocha ni kabachori wa mchongo
 
Simba itaendelea kudondosha points
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…