MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Lemutuz ambaye anatwaja kama muajiri mkubwa nchini katika eneo dogo la mraba (employee/sq ft),akiwa ameajiri vijana 8 katika mita za mraba nne na Mo Dewji ambaye anatajwa kama muajiri mkubwa kwa ujumla, mazungumzo hayo ambayo ajenda yake bado haijawa wazi hasa lkn wachunguzi wa mambo wanadai inawezekana walijadili masuala ya kumwaga mabilioni kwa vijana ili kuwaondoa mitaani.
Baadhi ya vijana waliobahatika kutoa maoni yao walipongeza hatua hiyo kubwa huku wengine wakisema ni nadra sana kuona Lemutuz akifanya mazungumzo na mtu asiye na digrii 3 kwa masaa mengi kiasi hicho.