1. Majuzi nilipata msiba wa Kaka yangu hapo Muhimbili basi akapelekwa Mochwari.
2. Siku ya kutoa maiti kwa ajili ya ibada na Maziko (mhudumu anataka TSH 200,000) mbali na zile gharama ambazo tulililipia na kupewa risiti halali.
3. Wale wahudumu kama hujatoa pesa ya chai utashinda kutwa nzima hapo uking'aa sharubu na tena unafukuzwa kama Mbwa na jeneza ulilokuja nalo.
4. Hakika, Mochwari Hospitali ya Taifa (Tanganyika) mnastahili tuzo ya Nobel ili dunia itambue mchango wenu na Prof wa Milo miwili kwa wiki
2. Siku ya kutoa maiti kwa ajili ya ibada na Maziko (mhudumu anataka TSH 200,000) mbali na zile gharama ambazo tulililipia na kupewa risiti halali.
3. Wale wahudumu kama hujatoa pesa ya chai utashinda kutwa nzima hapo uking'aa sharubu na tena unafukuzwa kama Mbwa na jeneza ulilokuja nalo.
4. Hakika, Mochwari Hospitali ya Taifa (Tanganyika) mnastahili tuzo ya Nobel ili dunia itambue mchango wenu na Prof wa Milo miwili kwa wiki