KERO Mochwari Muhimbili nao wanakula kwa urefu wa kamba?

KERO Mochwari Muhimbili nao wanakula kwa urefu wa kamba?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Binadamu wa ajabu sana. Hivi unawaonea wivu hata hawa watu wa MOTUARY? Watu wanaosetiri miili ya ndugu zetu?

Tuwe serious jamani na mambo mengine, siyo lazima tuandike humu. Hivi wewe mtoa mada unaweza kufanya ike kazi hata ukipewa mshahara kama CEO wa Muhimbili?

Nakusihi utubu tu kwa kuwa hujui maiti yako itadhalilika vipi ukishakufa
Kinachoongelewa hapa ni RUSHWA na si wivu dhidi ya hawa mortuary attendants.
 
Wabongo tunapenda huruma za kipumbavu ndio maana rushwa hautokaa iishe wala kupungua hii nchi maana wananchi wamehalalisha.

Jitu linasema ati ooh kazi ni ngumu inabidi umuachie chochote, sasa kazi ngumu si aache kwani kalazimishwa kuifanya? Hamna wa kuifanya zaidi yake?
Kwahiyo kila mtz akijipima akanona kazi yake ni ngumu ni halali yake kuchukua rushwa na wakati ana mshahara wake.
Jinga kabisa nyie watu na sijui kwanini huwa mnawalaumu wabunge wakati na wao wanaona kazi yao ni ngumu hadi wanajilimbikizia mipesa.
 
Ni mikoa yote tu, miaka kadhaa nyuma, kuna huyo mwingine tuli mtaarifu mchana kuwa tuna tegemea kupokea maiti ya ndugu yetu inaingia usiku kutoka Dar, katika wilaya moja ya Mkoa wa iringa. Akatuambia yeye hata kuwepo zamu yake inaisha saa tisa na nusu kwa hiyo akampigia ambae atakuwa zamu akampa taarifa kuwa kuna maiti inategemea kuingia ule usiku akasema sawa. Tukafanya malipo ya siku mbili kwamba akifika atakaa huo usiku na kesho yake. Tuna tegemea kuzika kesho kutwa yake.

Sasa baada ya maiti kuingia huo usiku pamoja na msafara tumefika mochwari, hakuwepo kwa sababu tulikuwa tumepewa namba yake mchana ikabidi tumpigie kwa kujua labda alikuwa maeneo yaleyale ya hospital, cha kushangaza tuna mpigia simu anasema ni kweli yuko zamu ila kuna sehemu ameenda kwa hiyo tumtoe katika jeneza tumu weke kwenye sakafu ya mochwari, kwa sababu kuna baridi sana maiti haita haribika yeye atakuja kumhifadhi asubuhi. Ndugu na jamaa waliyo kuwepo pale mochwari, walichukia sana kusikia ndugu yao awekwe kwenye sakafu akae mpaka asubuhi ndo aje kuhifadhiwa.

Tuka muomba sana, atuelekeze alipo kwa sababu tuko na magari tumfuate ule usiku ila alikataa katakata kutuelekeza alipo, na mwisho wa siku alituzimia simu, kwa hiyo tukapata adhabu yakukaa na maiti ikiwa kwenye jeneza hadi asubuhi na ile baridi mpaka alivyorudi saa 12 asubuhi. Kuja kuongea nae vizuri ni kama alitaka hongo ili aje kumhifadhi halafu aendelee na mambo yake.
Nchi hii ina watu manyang'au wengi sana kila kona.
 
Wabongo tunapenda huruma za kipumbavu ndio maana rushwa hautokaa iishe wala kupungua hii nchi maana wananchi wamehalalisha.

Jitu linasema ati ooh kazi ni ngumu inabidi umuachie chochote, sasa kazi ngumu si aache kwani kalazimishwa kuifanya? Hamna wa kuifanya zaidi yake?
Kwahiyo kila mtz akijipima akanona kazi yake ni ngumu ni halali yake kuchukua rushwa na wakati ana mshahara wake.
Jinga kabisa nyie watu na sijui kwanini huwa mnawalaumu wabunge wakati na wao wanaona kazi yao ni ngumu hadi wanajilimbikizia mipesa.
Umewahi enda mortuary boss au unadhani kila kazi inaweza fanywa na mtu yoyote?

Unadhani mishahara hii ya serikalini hata ya waalimu inatosha gharama za maisha?

Unaweza chukua laki sita tukupeleke mortuary upige kazi kwa mwezi kigezo usichukue hata 100 ya wafiwa ndugu mzalendo?
 
1. Majuzi nilipata msiba wa Kaka yangu hapo Muhimbili basi akapelekwa Mochwari.

2. Kimbembe siku ya kumtoa kwa ajili ya ibada na Maziko.

3. Wale wahudumu kama hujatoa pesa ya chai utashinda kutwa nzima hapo uking'aa sharubu na tena unafukuzwa kama Mbwa.

4. Hakika Mochwari Hospitali ya Taifa (Tanganyika) mnastahili tuzo ya Nobel.
Wanafuata kauli mbiu ya Bi chura ya kula kwa urefu wa kamba
 
Aisee, ile kazi ni kazi kwa kweli huku kwetu yule jamaa wa pale akili zake zipo kama kuna muda hazipo vile. Muda mwingine tuwahurumie tu jamani japo wanachokifanya sio sahihi.
 
1. Majuzi nilipata msiba wa Kaka yangu hapo Muhimbili basi akapelekwa Mochwari.

2. Kimbembe siku ya kumtoa kwa ajili ya ibada na Maziko.

3. Wale wahudumu kama hujatoa pesa ya chai utashinda kutwa nzima hapo uking'aa sharubu na tena unafukuzwa kama Mbwa.

4. Hakika Mochwari Hospitali ya Taifa (Tanganyika) mnastahili tuzo ya Nobel.
Sasa si ungeongeza idadi ya wafu hapo?hao wahudumu unge wa unlive pia
 
Ni mikoa yote tu, miaka kadhaa nyuma, kuna huyo mwingine tuli mtaarifu mchana kuwa tuna tegemea kupokea maiti ya ndugu yetu inaingia usiku kutoka Dar, katika wilaya moja ya Mkoa wa iringa. Akatuambia yeye hata kuwepo zamu yake inaisha saa tisa na nusu kwa hiyo akampigia ambae atakuwa zamu akampa taarifa kuwa kuna maiti inategemea kuingia ule usiku akasema sawa. Tukafanya malipo ya siku mbili kwamba akifika atakaa huo usiku na kesho yake. Tuna tegemea kuzika kesho kutwa yake.

Sasa baada ya maiti kuingia huo usiku pamoja na msafara tumefika mochwari, hakuwepo kwa sababu tulikuwa tumepewa namba yake mchana ikabidi tumpigie kwa kujua labda alikuwa maeneo yaleyale ya hospital, cha kushangaza tuna mpigia simu anasema ni kweli yuko zamu ila kuna sehemu ameenda kwa hiyo tumtoe katika jeneza tumu weke kwenye sakafu ya mochwari, kwa sababu kuna baridi sana maiti haita haribika yeye atakuja kumhifadhi asubuhi. Ndugu na jamaa waliyo kuwepo pale mochwari, walichukia sana kusikia ndugu yao awekwe kwenye sakafu akae mpaka asubuhi ndo aje kuhifadhiwa.

Tuka muomba sana, atuelekeze alipo kwa sababu tuko na magari tumfuate ule usiku ila alikataa katakata kutuelekeza alipo, na mwisho wa siku alituzimia simu, kwa hiyo tukapata adhabu yakukaa na maiti ikiwa kwenye jeneza hadi asubuhi na ile baridi mpaka alivyorudi saa 12 asubuhi. Kuja kuongea nae vizuri ni kama alitaka hongo ili aje kumhifadhi halafu aendelee na mambo yake.
POLE SANA . INAUMA SANA MTU AMFARUKI KISHA UNAAMBIWA UMLAZE SAKAFUNI HALAFU UONDOKE
 
Wabongo tunapenda huruma za kipumbavu ndio maana rushwa hautokaa iishe wala kupungua hii nchi maana wananchi wamehalalisha.

Jitu linasema ati ooh kazi ni ngumu inabidi umuachie chochote, sasa kazi ngumu si aache kwani kalazimishwa kuifanya? Hamna wa kuifanya zaidi yake?
Kwahiyo kila mtz akijipima akanona kazi yake ni ngumu ni halali yake kuchukua rushwa na wakati ana mshahara wake.
Jinga kabisa nyie watu na sijui kwanini huwa mnawalaumu wabunge wakati na wao wanaona kazi yao ni ngumu hadi wanajilimbikizia mipesa.
Chukua Points Zote
 
Usiombe ukutane na mtu anataka rushwa ya lazma sio ombi, nliwahi kutana na askari anataka rushwa tena lazima yani ili amtoe ndugu yangu lock up pale kisutu kumrudisha central analazimisha elf 50 ya mafuta.....nilivokua na hasira nikamwambia baki nae ukiwa tayari kumpeleka utampeleka mie hata mia sina 😏😏 kuna mijitu inajua kukera
 
Ni mikoa yote tu, miaka kadhaa nyuma, kuna huyo mwingine tuli mtaarifu mchana kuwa tuna tegemea kupokea maiti ya ndugu yetu inaingia usiku kutoka Dar, katika wilaya moja ya Mkoa wa iringa. Akatuambia yeye hata kuwepo zamu yake inaisha saa tisa na nusu kwa hiyo akampigia ambae atakuwa zamu akampa taarifa kuwa kuna maiti inategemea kuingia ule usiku akasema sawa. Tukafanya malipo ya siku mbili kwamba akifika atakaa huo usiku na kesho yake. Tuna tegemea kuzika kesho kutwa yake.

Sasa baada ya maiti kuingia huo usiku pamoja na msafara tumefika mochwari, hakuwepo kwa sababu tulikuwa tumepewa namba yake mchana ikabidi tumpigie kwa kujua labda alikuwa maeneo yaleyale ya hospital, cha kushangaza tuna mpigia simu anasema ni kweli yuko zamu ila kuna sehemu ameenda kwa hiyo tumtoe katika jeneza tumu weke kwenye sakafu ya mochwari, kwa sababu kuna baridi sana maiti haita haribika yeye atakuja kumhifadhi asubuhi. Ndugu na jamaa waliyo kuwepo pale mochwari, walichukia sana kusikia ndugu yao awekwe kwenye sakafu akae mpaka asubuhi ndo aje kuhifadhiwa.

Tuka muomba sana, atuelekeze alipo kwa sababu tuko na magari tumfuate ule usiku ila alikataa katakata kutuelekeza alipo, na mwisho wa siku alituzimia simu, kwa hiyo tukapata adhabu yakukaa na maiti ikiwa kwenye jeneza hadi asubuhi na ile baridi mpaka alivyorudi saa 12 asubuhi. Kuja kuongea nae vizuri ni kama alitaka hongo ili aje kumhifadhi halafu aendelee na mambo yake.
Mgeutafuta uongozi wa hospitali
 
Wakati mawaziri wanachukua Dola milioni kwa kuuza bandari ambayo siyo Mali Yao, Kuna shida gani kumshikisha mortuary attendant msimbazi mmoja atengeneze maiti vizuri. Halafu wale akili zao sio nzuri hata wafanyakazi wa TAKUKURU wakifika pale wanakuwaga wapole na wanaacha Asante.

Bila hivyo maiti itakua haitizamiki.
Kipindi mkuu wa Muhimbili Ni yule mama wa Mewata Kuna siku kidogo wamtoe upepo. Kumbe wale wajinga hata mkurugenzi wao hawamjui.
Hahahaha kudadeki,hata boss hawamjui???
 
Back
Top Bottom