Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Sio huyu wa Sasa. Ni yule mama wa Mewata.Sasa wanamtoa upepo Profesa wa milo miwili kwa mwezi
Huyu wa Sasa kwa Ile sura very personal Nani asiyemjua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio huyu wa Sasa. Ni yule mama wa Mewata.Sasa wanamtoa upepo Profesa wa milo miwili kwa mwezi
Kwani amekuambia anahitaji kazi mortuaryNataka nikupe kazi mortuary wewe ndugu mzalendo ufanye mwezi mmoja 600k upo tayari?
Vizuri umefunguka. Wengine hatujui mazingira huko, na ni vigumu kuwa katika sehemu yao.Pole sana aisee.
Ila kwa kazi ya mortuary boss toa chochote kitu huwa hawapo vizuri kichwani (fanya kama unampa msaada)
Ile ni sehem ngumu sana kufanya kazi trust me.
We kilaza kweli kweli,kwaiyo rushwa sasa iruhusiwe nchi nzimaNdiyo wivu wenyewe. Ukerwe na hivyo visenti wanavyopata hao wanaofanya kazi mazingira magumu, badala ya kupambana na rushwa za viongozi
We huna akiliUmewahi enda mortuary boss au unadhani kila kazi inaweza fanywa na mtu yoyote?
Unadhani mishahara hii ya serikalini hata ya waalimu inatosha gharama za maisha?
Unaweza chukua laki sita tukupeleke mortuary upige kazi kwa mwezi kigezo usichukue hata 100 ya wafiwa ndugu mzalendo?
Zombi huyoWe huna akili
Oooh kumbe jibu unalo sasa tunapo kwambia kila kazi zina wenyeweKwani amekuambia anahitaji kazi mortuary
Wewe unazo boss kudos👍We huna akili
Sawa zombie mate👍Zombi huyo
Naam umeelewa vizuri sanaVizuri umefunguka. Wengine hatujui mazingira huko, na ni vigumu kuwa katika sehemu yao.
Pole sanaHii mada jamani hapa niko msibani yani kuna mtoto amefarki
Kazi za Mochwari zinafanyika vizuri tu. Tangaza nafasi za kazi watu wataaply wa kutosha. Si vibaya kumpa asante mfanyakazi wa Mochwari ukizingatia mazingira ya kazi ila isiwe lazima kwa kiwango cha kugomea maiti isizikwe na ndugu kisa hujahongwa.Oooh kumbe jibu unalo sasa tunapo kwambia kila kazi zina wenyewe
Oooh dear,,umefkia hukuMm natamani hewa (pumzi) ingekuwa inatolewa kwa rushwa ili matanzania yote yafe wake watu wapya.
Maana hayajielewi. Wala rushwa endeleeni kula kwa urefu wa kamba zenu.