Wewe ni mkenya usijifanye Mtanzaniaπππ± Nimekubamba leo. Mambo yakuja na ID fake humu ndani hatu taki.Mambo ya kuua na kuficha maskini nani kasema? Mm nlichosema ni wahamishwe wao (with compensation) au airport ingejengwa sehem nyingine.
Anyways.....tatizo ni hao city planners wa miaka ya nyuma walikuwa wapi? Hawakuona kwamba tatizo kama hili litaibuka? Wameacha watu wamejenga karibu na makambi ya jeshi (kumbuka ile milipuko ya pugu/gomz), ubungo karibu na mitambo ya umeme, jangwani kwenye njia za maji etc
Huyu jamaa ni Mkenya asikupotezee muda. Anajifanya kutumia avatar ya Tanzania kama HamstereUna matatizo ya kutojali uhalisia wewe ni typical Mwafrika, uko radhi uuue na kuficha masikini wasionekane kwenye picha kumfurahisha Muzungu, Dar masikini hawafichwi kwa sababu na ndiyo uhalisia, ukitaka tufukuze watu wote waende wapi ili picha ionekane vizuri ktk angani?
Acha uzalendo wa kijinga....so lazma mtanzania asifie kila kitu hadi pahali kuna makosa....He is not our brother. He is pretending to be a Tanzanian. Kwa sasa nimejua kuwa anatumia ID fake. I have startea to expose him just like what i did to Hamstere
Huyo sio mtanzania 100%Acha uzalendo wa kijinga....so lazma mtanzania asifie kila kitu hadi pahali kuna makosa....
Ukweli ni kuwa airport yenu mazingira yake ni mbovu....nyuma ya kzo warehouses ni kubovu zaidi....ZERO PLANNING.
Mambo ya kuua na kuficha maskini nani kasema? Mm nlichosema ni wahamishwe wao (with compensation) au airport ingejengwa sehem nyingine.
Anyways.....tatizo ni hao city planners wa miaka ya nyuma walikuwa wapi? Hawakuona kwamba tatizo kama hili litaibuka? Wameacha watu wamejenga karibu na makambi ya jeshi (kumbuka ile milipuko ya pugu/gomz), ubungo karibu na mitambo ya umeme, jangwani kwenye njia za maji etc
Mimi ni mtanzania mwenye asili ya Congo.Huna mnabehave kama wanawake tu....na wewe kwanza si mtanzania....rudi kwenu Burundi
Kumbe unajua chama chenu kilivyoshindwa kuwakwamua watanzania kwenye umaskini [emoji23][emoji23]Wahamishwe ili kukufurahisha wewe ili upige picha na kuona pamendeza bila ya masikini? Zaidi ya nusu zima ya Watanzania ni watu masikini sasa ulitaka tufiche umaskini wetu kwa ajili yako? Na aliyekwambia sisi inatukwaza ni nani uwanja wetu kuzungukwa na masikini, hiyo ndiyo hali halisi ya TZ yetu sasa ulitaka wahame wahamie wapi? Angalau ungekuja na jinsi ya kupunguza umaskini ili hao watu wapate ajira na kuwa na makazi bora lkn unasema wahame ili paonekane kama Frankfurt ili nini na wahamie wapi na hapa ni kwao wamezaliwa hapa?
Kumbe unajua chama chenu kilivyoshindwa kuwakwamua watanzania kwenye umaskini [emoji23][emoji23]
Kama Jubilee ilivyoshindwa kuwa kwamua kwenye wimbi la umasikini AfricaππππKumbe unajua chama chenu kilivyoshindwa kuwakwamua watanzania kwenye umaskini [emoji23][emoji23]
My friend jubilee imeanza juzi tu. Kapitie madesa yako vizuri uje tena baadae saiv naona hujajiandaa vyema ntakuaibisha bureee!Kama Jubilee ilivyoshindwa kuwa kwamua kwenye wimbi la umasikini AfricaππππView attachment 753230
Najua....ila nimeshangaa tu kada wa CCM huoni aibu kukiri umaskini wa watanzania hadharaniUnachanganya mambo!
Huyu mkenya niachie mimiππ Nimtoe stress za unemployment alizopewa na Jubilee muda mrefu.Unachanganya mambo!
Najua....ila nimeshangaa tu kada wa CCM huoni aibu kukiri umaskini wa watanzania hadharani
Huna lakuniabisha mkenya wewe. Kwanza upo ndani ya thread yangu kuonyesha jinsi i have power of control over you.πKwa hiyo cha maana walichofanya Jubilee ni hikiπππ³My friend jubilee imeanza juzi tu. Kapitie madesa yako vizuri uje tena baadae saiv naona hujajiandaa vyema ntakuaibisha bureee!
Mnyoroshe huyo mkenyaππMimi siyo kada wa CCM bali ni Askari wa kujitolea wa Raisi Magufuli!
Kama ilivyo huko KenyaππNajua....ila nimeshangaa tu kada wa CCM huoni aibu kukiri umaskini wa watanzania hadharani
Woow Might Kenya Congratulations [emoji122] [emoji122]Huyu mkenya niachie mimiππ Nimtoe stress za unemployment alizopewa na Jubilee muda mrefu.View attachment 753231