Modern Airport Terminal in East and Central Africa almost complete

Modern Airport Terminal in East and Central Africa almost complete

Mimi siyo kada wa CCM bali ni Askari wa kujitolea wa Raisi Magufuli!
Askari wa kutetea uminywaji wa demokrasia na uhuru wa kujieleza......pasipo kuleta maendeleo kwa wananchi wa chini. Elimu duni....afya duni....umeme duni kila kitu duni!
Wewe mulisaaa wenzako tulishajikomboa na dhana ya utaifa i consider myself an international citizen so kazi yako ya kujaribu kudhalilisha nchi za watu hainiumizi ng'o!
Nakushauri na wewe ufanye hivyo. Sikubaliani na dhana ya mipaka na kuwa na mataifa tofauti especially yaliyoanzishwa na wazungu!
Wewe bado ni mtumwa.
 
Askari wa kutetea uminywaji wa demokrasia na uhuru wa kujieleza......pasipo kuleta maendeleo kwa wananchi wa chini. Elimu duni....afya duni....umeme duni kila kitu duni!
Wewe mulisaaa wenzako tulishajikomboa na dhana ya utaifa i consider myself an international citizen so kazi yako ya kujaribu kudhalilisha nchi za watu hainiumizi ng'o!
Nakushauri na wewe ufanye hivyo. Sikubaliani na dhana ya mipaka na kuwa na mataifa tofauti especially yaliyoanzishwa na wazungu!
Wewe bado ni mtumwa.
Wewe acha kujifanya unaijua Tiz hizo propaganda zako mpelekee baba yako Uhuru.Mbona husemi unemployment nchini kwenu Masifa tu unajifanya Unatujua sana
 
Askari wa kutetea uminywaji wa demokrasia na uhuru wa kujieleza......pasipo kuleta maendeleo kwa wananchi wa chini. Elimu duni....afya duni....umeme duni kila kitu duni!
Wewe mulisaaa wenzako tulishajikomboa na dhana ya utaifa i consider myself an international citizen so kazi yako ya kujaribu kudhalilisha nchi za watu hainiumizi ng'o!
Nakushauri na wewe ufanye hivyo. Sikubaliani na dhana ya mipaka na kuwa na mataifa tofauti especially yaliyoanzishwa na wazungu!
Wewe bado ni mtumwa.
Hizo nifikra zako. Mlipo vunja EA community mlikuwa mkifikili nini ? Kwa sasa tumegutuka. Swala la Africa kuwa moja hakuna tena. TZ itabaki TZ na Kenya ibaki kuwa Kenya.
Kaeni huko Kenya hatuwataki huku kwa sasa. Mlituchezea vya kutosha.
International citizen inatambulika UN ??
 
Mambo ya kuua na kuficha maskini nani kasema? Mm nlichosema ni wahamishwe wao (with compensation) au airport ingejengwa sehem nyingine.
Anyways.....tatizo ni hao city planners wa miaka ya nyuma walikuwa wapi? Hawakuona kwamba tatizo kama hili litaibuka? Wameacha watu wamejenga karibu na makambi ya jeshi (kumbuka ile milipuko ya pugu/gomz), ubungo karibu na mitambo ya umeme, jangwani kwenye njia za maji etc
Sasa mbona unapoteza malengo na kuenda kwenye kambi za jeshi?. Kumbuka miji sio static, hasa hii miji ya kiafrika, hatujafikia huko unakosema wewe kuwa nanuwezo wa kupanga miji kama wenzetu, haya mambo ni hatua kwa hatua, usijifanye kama vile wewe sio mwafrika na kujivisha uzungu au akili za dunia ya kwanza.

Kambi zote za jeshi zilikua mbali sana na miji, lakini tatizo la urbarnization Africa na Asia ni kubwa kuliko Europe na USA, hivyo sio rahisi kudhibiti watu kukaribia kambi za jeshi au viwanja vya ndege, ni rahisi sana kuhamisha kambi za jeshi na kuzitoa nje ya miji kwasababu sio ghali sana na ni jambo la ndani ya nchi, pia ni muhimu kwa usalama wa raia, sasa wewe unazungumzia kelele za ndege ndiyo zitufanye tuingie gharama za kuhamisha watu au kujenga uwanja mwingine, hivi unajua vogezo gani vinatumika ili kufikia uamuzi wa kujenga uwanja wa ndege?, kelele tu za ndege?
 
Lakini wakenya mbona mmeshindwa kunionyesha Travelator Ya JKIA ?? 😀😀 Hivi kweli JKIA ishindwe kuwa na Travelator ?? Uhuru wasaidie wakenya humu unipatie Travelator hapo JKIA.
Uhuru: Whats a travelator.? I will ask Ruto.😀😀😀View attachment 750903
Naskia hizi travelator wanaziweka terminal III lakini ukiangalia logically its a waste of evrything
 
Hizo airports ulizoweka hapo yaani ndo zimefika mwisho......there is literally no space for expansion.
Lakini sisi......we have plans to expand further hii JNIA to over 12million passengers per year. Lakini kwa ile space iliyobaki pale.....i am not sure how they will do it.
Kujenga international airport nyingine i think ni inevitable in the future

Incheon_International_Airport.jpg
peleka ujuaji, Kigilagila na Kipunguni yote watu wamehamishwa audio wanahamishwa! Ikitokea uhitaji terminal nyingine itajengwa! Most of the time terminals have nothing to do with building but facilities the airport offers. Tembea ulaya nzima viwanja viko kawaida tu.
 
Nimesema hivyo kwa sababu a few weeks ago I was in a meeting pale. Aisee ilikuwa ni kero. Kila ndege ikipita inabidi mzungumzaji akae kimya kwanza.
Either wale watu wahame au wajenge airport nyingine somewhere else. Mbona kuna majiji mengi tu yenye international airport zaidi ya moja? Tuwe na Dar International Airport (DIA) na JNIA. Another solution ni kuwahamisha wale watu wote pale (mostly ni maviwanda na mawarehouse)
Unataka kuniambia viwanja vya Ulaya havina noise disturbance ndege zikipita? Acha uchoko!
 
mulisaaa sina haja ya kujibizana na wewe endelea kutetea ujinga. If it makes you feel good hurray JNIA is the best airport in the WORLD!! Good design....good location....enough room for expansion!
Wewe bwege kweli unataka mtu asafiri 100km kufuata airport kisa noise. How inconvinient will that be?
 
Naskia hizi travelator wanaziweka terminal III lakini ukiangalia logically its a waste of evrything
Ati waste of everything FYI Terminal II n III will be connected via glass covered Walkway with travelator (go n return) aside all gates for over 11 airbridges will be accessed via travelator then escalators or elevators before airbridges. The airport will be most user friendly for travellers be with heavy luggages or old or disabled. First in East and Central Africa.
 
We very well know the difference between the travelator and the escalator. Thus why i told you our new airport terminal has: 14 lifts, 9 escalators and 2 travelators. 😀😀😱
Travator iko Southfield mall what's special with that
 
He is not our brother. He is pretending to be a Tanzanian. Kwa sasa nimejua kuwa anatumia ID fake. I have startea to expose him just like what i did to Hamstere
Mtanzania akiongea ukweli anakuwa mkenya.. ......mulisaa una hisia kama za mwanamke, mara ngapi cicero ameitetea tanzania kutoka kitambo ata kabla ujiunge na jamii forum? watu wote sio watoto kama weww. ..
 
If a mall can afford that what's so special
The special thing about it is that it increases the efficiency of the Terminal to handle passengers which is highly put into consideration with airline companies.
Second it makes the terminal more modern and it can compete with other Airport terminals.
Last but not least it makes our Airport the hub of East Africa
 
Back
Top Bottom