Modi kamchana live Puttin uso kwa uso bila kupepesa macho

Modi kamchana live Puttin uso kwa uso bila kupepesa macho

Watu hii Vita ya kiuchumi ni kama hawa ifuatilii lakini ina mengi ya kutufunza sisi Kama Tanzania.

Kwenye Chips moto huko sasa hivi unawaka sana China inalipa mainjia pesa za kutosha ili kubuni Chips zenye uwezo zaidi serikali imewekeza mabilioni ya fedha huko Shanghai , Shenzhen .yeye marekani anaweka vikwazo tu kitu ambacho ni faidi kwa China kwa sababu depence yake kwa marekani inapungua kwenye Chips sasa hivi PRC haitegemei tena ROC kwa kiwango kikubwa kwenye Chips.
Na Wachina hawahindwi kitu. Mbona Mmarekani alipoipiga ban Huawei wasitumie mfumo wa Android kama operating system

Huawei wakaja na mfumo wao mpya unaoitwa Harmony OS na simu zinapiga kazi vizuri zaidi

Jamaa hawashindwi kitu.
 
Hahaha nilicheka sana wakati wa sakata la yule bibi Pelos kwenda Taiwan

Marekani akaishawishi Taiwan isimuuzie Mchina chips zao na semi conductor

Kumbe cha ajabu moja ya material muhimu sana kwenye kutengeneza ni aina fulani ya natural sand, unaoitwa quartz sand ambao unatoka China (PRC) na Wachina ndio exporters wakubwa duniani wa huo mchanga.

China akasema sawa basi na mimi napiga ban mchanga huo usivuke bahari kwenda Taiwan (ROC)

Mpaka leo Taiwan na Marekani wako kimya 🤣🤣🤣
Jamaa wali tumia akili sana kwenye like swala la Pelosi, yule mother Tsai ing wen ata wamaliza ROC maana anaonekana ana maamuzi ya hovyo sana yaliyo hatari kwa Taiwan tofauti na baadhi ya watangulizi wake . Wataiwan zaidi ya 2M wapo mainland wanapiga kazi huyu mother anaweza kuwa haribia hao. Huyu ana damu ya kijapan ni hasara kwa Wachina wa Taiwan.
 
Na Wachina hawahindwi kitu. Mbona Mmarekani alipoipiga ban Huawei wasitumie mfumo wa Android kama operating system

Huawei wakaja na mfumo wao mpya unaoitwa Harmony OS na simu zinapiga kazi vizuri zaidi

Jamaa hawashindwi kitu.
Na Sasa hivi Kuna mzigo mwingine unaitwa Honnor unakuja kwa kasi sana upande wa simu.

Taiwan wanaitegemea Mainland kiuchumi na kibiashara kwa zaidi ya 45%.
 
Jamaa wali tumia akili sana kwenye like swala la Pelosi, yule mother Tsai ing wen ata wamaliza ROC maana anaonekana ana maamuzi ya hovyo sana yaliyo hatari kwa Taiwan tofauti na baadhi ya watangulizi wake . Wataiwan zaidi ya 2M wapo mainland wanapiga kazi huyu mother anaweza kuwa haribia hao. Huyu ana damu ya kijapan ni hasara kwa Wachina wa Taiwan.
Na wachambuzi kwenye medani za siasa wameionya ROC kuwa kuwasikiliza Marekani kunaweza kuicost ROC

Yule mama hajaijua Marekani.

Marekani anaangalia interest zake anataka akitumie kile kisiwa kama potential area dhidi ya expansion ya China. Ameona China inazidi kuwa na ushawishi kule Asia na inafanya expansion kila kukicha

Hata Waitaiwan wengi wamekuwa sio wafuasi wa kile Marekani anataka raisi wa Taiwan kufanya dhidi ya PRC
 
Tsai ing wen alichaguliwa katika uchaguzi huru na haki mwaka 2020 kwa 57% ya kura zote walizompigia Wataiwan milioni 8 akimshinda mpinzani wake. Xi Jinping amechaguliwa na nani kuwa Rais wa China? Wachina wangapi walimpigia kura kuwa kiongozi wao??
Jamaa wali tumia akili sana kwenye like swala la Pelosi, yule mother Tsai ing wen ata wamaliza ROC maana anaonekana ana maamuzi ya hovyo sana yaliyo hatari kwa Taiwan tofauti na baadhi ya watangulizi wake . Wataiwan zaidi ya 2M wapo mainland wanapiga kazi huyu mother anaweza kuwa haribia hao. Huyu ana damu ya kijapan ni hasara kwa Wachina wa Taiwan.
 
Tsai ing wen alichaguliwa katika uchaguzi huru na haki mwaka 2020 kwa 57% ya kura zote walizompigia Wataiwan milioni 8 akimshinda mpinzani wake. Xi Jinping amechaguliwa na nani kuwa Rais wa China? Wachina wangapi walimpigia kura kuwa kiongozi wao??
Wachina 1 Bln + kwa asilimia zaidi 95% wana pendezwa na serikali yao ya China chini ya CPC kupitia kiongozi wao Xi Jinping kwa kazi nzuri wanayo fanya kwa China.

Huu sio utafiti wangu bali ni utafiti wa chuo kikuu cha marekani [ Havard ].
 
Na wachambuzi kwenye medani za siasa wameionya ROC kuwa kuwasikiliza Marekani kunaweza kuicost ROC

Yule mama hajaijua Marekani.

Marekani anaangalia interest zake anataka akitumie kile kisiwa kama potential area dhidi ya expansion ya China. Ameona China inazidi kuwa na ushawishi kule Asia na inafanya expansion kila kukicha

Hata Waitaiwan wengi wamekuwa sio wafuasi wa kile Marekani anataka raisi wa Taiwan kufanya dhidi ya PRC
Wataiwan walio wengi hawataki kuona wanapigana tena na ndugu zao wao wanacho taka ni peacefully Unification kitu ambacho hata katiba ya Taiwan Ina pendekeza lakini sio hiki huyu mama na marekani wanafanya sasa kuvuruga huo mpango.
 
Huyu mwamba namwaminia sana kwenye ,ukweli anasema hana biashara za kinafk amemwambia kabisa puttin kama unataka kufanya biashara achana na hiyo vita ,haikusaidii achana nayo tukae tupige michongo ya biashara ,kumbuka msela kamchana live live yan makavu live ana kwa ana.Putin akamjibu kwa aibu akimwahid atastop mda so mrefu.

Putin tells Modi he'll 'stop' the Ukraine invasion he ordered 'as soon as possible' after the Indian leader criticized Russia's war to his fac​

Russian broadcasters and fake.
Narendra Modi and Vladimir Putin

Russian President Vladimir Putin and Indian Prime Minister Narendra Modi attend a meeting on the sidelines of the Shanghai Cooperation Organization summit in Samarkand, Uzbekistan September 16, 2022.Sergey Bobylev/ReutersMore
  • Modi explicitly criticized Russia's war in Ukraine while meeting with Putin on Friday.
  • "Today's era is not an era of war, and I have spoken to you on the phone about this," Modi said.
  • "I know about your concerns. We want all of this to end as soon as possible," Putin told Modi.
Indian Prime Minister Narendra Modi on Friday criticized Russia's war in Ukraine while meeting with Russian President Vladimir Putin face-to-face while both were in Uzbekistan for the Shanghai Cooperation Organization summit.

"I know that today's era is not an era of war, and I have spoken to you on the phone about this," Modi told Putin, according to Reuters.

Putin told the Indian leader, "I know about your position on the conflict in Ukraine, and I know about your concerns. We want all of this to end as soon as possible."

The Russian president's remarks to his Indian counterpart echoed comments on Russia's unprovoked war in Ukraine that he made to Chinese leader Xi Jinping the day prior. "We highly value the balanced position of our Chinese friends when it comes to the Ukraine crisis," Putin said to Xi at the summit in Uzbekistan.

"We understand your questions and concerns in this regard," Putin added. "During today's meeting, of course, we will explain in detail our position on this issue, although we have spoken about this before."

China and India have close ties with Moscow — and have continued to buy its oil, gas and coal as Western nations moved to cut their purchases — but foreign policy experts and Russia watchers say that the war in Ukraine appears to be driving a major wedge in relations.

"Having been thrashed on battlefield, Putin is getting thrashed at conference table, too. Doesn't take much clairvoyance to see that Xi, Modi, and others are deeply annoyed by fallout from Russia's war in Ukraine. Stunning erosion of Russia's — and Putin's — diplomatic position," Hal Brands, a professor of global affairs at Johns Hopkins University's School of Advanced International Studies, said in a tweet.

"Nobody likes losers, and he's losing now in Ukraine," Michael McFaul, the former US ambassador to Russia, said in an appearance on MSNBC on Thursday.

Putin's phrase, "as soon as possible," could merely be rhetoric to placate a trade partner. Putin has tried to justify the invasion as a war of necessity, and has alluded to it as a conquest of territory that is rightfully Russian amid fitful attempts at a diplomatic resolution that Western diplomats have viewed as window dressing. Inside Russia, authorities are accosting those who protest or even describe the effort as a war — Putin made it illegal to spread "fake news" about the military — despite a casualty toll the US estimates to be as high as 80,000 troops.

Russia has suffered devastating troop losses in Ukraine, and its forces were recently pushed into retreat as a result of a blistering Ukrainian counteroffensive in the country's east, and as a wider effort to recapture territory in the south gains momentum. Meanwhile, Russia has been widely accused of war crimes, as it faces crippling economic sanctions over the war. The war has led to an energy crisis and contributed to rising inflation worldwide.

"I think what you're hearing from China, from India, is reflective of concerns around the world about the effects of Russia's aggression on Ukraine, not just on the people of Ukraine," US Secretary of State Antony Blinken told reporters on Friday, per Al Jazeera, adding, "I think it increases the pressure on Russia to end the aggression."
Read the original article on Business Insider
Kama anampinga kwanini hakufanya hivyo kwenye kura ya UN? Au wewe ndiye huelewi lugha?
 
Wachina 1 Bln + kwa asilimia zaidi 95% wana pendezwa na serikali yao ya China chini ya CPC kupitia kiongozi wao Xi Jinping kwa kazi nzuri wanayo fanya kwa China.

Huu sio utafiti wangu bali ni utafiti wa chuo kikuu cha marekani [ Havard ].
Samahani mkuu

Hiki ndicho ulichoulizwa? Jaribu kupitia upya swali.

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
Samahani mkuu

Hiki ndicho ulichoulizwa? Jaribu kupitia upya swali.

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
Swali lake nili kwisha mjibu toka muda sana hii ni mara ya pili ana uliza swali lile lile anataka kipi cha tofauti na majibu yangu ya awali . System nzima namna china viongozi wana patikana nili kwisha muelekeza . Hakuna kingine cha tofauti na kile nilicho sema awali .

Kitu nilicho jibu hapo ni kungongelea msumari kwa kitu cha mwanzo tu , natumai majibu ya mwanzo alisoma na alinielewa.
 
Anajivunia mabest walioni na nguvu lkn uwezo mdogo kama mandonga,uyo mmoja kapigwa mkwara juzi na kamama spika akalowa kila mahali mwisho akaishia kujifurahisha na mazoezi ya kupiga bahari.
 
Back
Top Bottom