Kijana wangu Erickb52 usisikilize maneno ya watu tutagombana bure. Isitoshe si heri mie wa damu yako nikuchukulie mkeo kuliko Bishanga ampige katerero asahau kurudi kwako? Think kijana Think..... afu si unajua Bishanga hatumiagi kondom, haya maradhi si atamuambukiza mkeo. Mi ni nduguyo na wahenga walisema kizuri kula na nduguyo.
we nae kwa kukariri!
fom fo history ulipata maks ngapi?
lolest Fixed Point u have made my day kabisaaaaaaaaaaa! now i can sleep, kujua mkwe wamepata, tena manati yenyewe nakushauri kachukulie chalinze, manati ya mninga! ushawahi kuona weye?
Asprin,ukiwa kama ndugu yangu wa karibu, kwa nini unataka kuvunja mbavu mbili za Mwenyekiti, ashindwe kula weekend hadi jumatatu?Mtu yeyote mwenye hekima na busara zake wa jinsia ya kike, hebu aje kitandani hapa anihadithie hapa mnajadiliana kitu gani hasa?:bange::bange:
hayo waachie akina Bishanga ambao hawajali kuaibikaHajuagi kufuta mdomo Fixed Point....
haya mambo yana principles zake, ambazo inabidi wote kuzijua sawia.
wengine ndo maana huwa hatupendi kuset high bars manake kanuni za mchezo tunazijua lol
Usimtishe my swithati charminglady nisije kukutoa meno ya sebuleni bure.......Ujue na utambue sisi ni unbeatable couple hapa JF.........Ujanani ucheze na wenzako uzeeni ufie kwetu!! ala
Sasa huko Lupango umenipeleka na mabinti kibao, si watarudi na vimimba vimeshatuna? Think Bishanga Think!
Bishanga
Mkuu mambo vipi.
Kijana wangu Erickb52 usisikilize maneno ya watu tutagombana bure. Isitoshe si heri mie wa damu yako nikuchukulie mkeo kuliko Bishanga ampige katerero asahau kurudi kwako? Think kijana Think..... afu si unajua Bishanga hatumiagi kondom, haya maradhi si atamuambukiza mkeo. Mi ni nduguyo na wahenga walisema kizuri kula na nduguyo.
toba yarabi,ungejua!
charminglady jana kaonekana wantashi.Ningejua nini? mavi ya kale hayanuki...........wazee wa zama hizi kwa umbea....Kwa hiyo unataka kusema nini