Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Kijana wangu Erickb52 usisikilize maneno ya watu tutagombana bure. Isitoshe si heri mie wa damu yako nikuchukulie mkeo kuliko Bishanga ampige katerero asahau kurudi kwako? Think kijana Think..... afu si unajua Bishanga hatumiagi kondom, haya maradhi si atamuambukiza mkeo. Mi ni nduguyo na wahenga walisema kizuri kula na nduguyo.
Last edited by a moderator: