Watanzania tunaelewa usilimletee Mo balaa kwani wewe ulikua hujui nani kamteka??Ni kweli kabisa tunamshukuru Mwenye Mungu kwenje jambo hili, ila asipotuambua alikuwa wapi na tukio zima la kutekwa kwake lilikuaje watanzania hatuta mwelewa!
Mimi sina uenyeji na jiji la joto ebu nijulisheni hapo MO alipotupwa ni mbali na mjini au ni nje kidogo kama ni mjini means hawa watekaji wanazurura tu mjini daslaam mjini bila tatizoHahahaha ushamba wa jiwe utamcost siku moja
Cover story hapa itakuwa ni nini ? Maana hata mtoto mdogo anajua Mo alichukuliwa na kina nani .
Halafu watu wa aina hii ndio wakakae meza Moja na kina Prof Thontorn wa Barrick tutegemee kulipwa na Accasia matrilioni ??
Tutakesha tukisiburia hilo
KWA HIO AMEPATIKANA NA WALIOMTEKA NDIO BASI TENA HWAJULIKANI?? MAKAMANDA MNAFELI MBAYA!
KARUDIJERUDIJE KM NI USIKU HUU? Mmmh! MUNGU MLINDE MO WETU!So karudi siku huu!
Press conference ya siku ya kutekwa imeenda kufanywa siku ya kuachiwa huru.Hongera igipi kutuonyesha picha asubuhi na kumpata Mo instantly 😂
Ni muhimuHilo si la msingi.muhimu amerudi nyumbani salama bila madhara
Nafasi pekee Ni kusepa! Utafute wewe wale wengineHii inaonyesha familia wamelipa ransom!
Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!
Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom na hakuna makubaliano.
Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini kwa matajiri.
Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.
Je, kuna uwezekano na Tanzania tukaelekea ambako nchi za kusini mwa Afrika ziliko kwenye biashara ya kidnapping and ransom?
WAITAFUTE SASA ILE GARI AGX 404 MC. TUMJUE MMILIKI KAMA ALIVYOAHIDI KAMANDA NA PIA TUWAJUE WALIOMTEKA MO! MAMBO YASIISHIE HAPA MH. SANA KAMANDA NYAKARO!Yan ameachiwa saa tisa du ko huo muda wa saa tisa usiku ametoka nchi jilan akaletwa Tanzania?au alikua humu hum Tz tu wanacheza na akil zetu
akirudi usisahau kunitagNa wale kina Ben saanane sijui watarudi lini!!!
Labda Sanane naye yuko njiani. Hilo likitokea itakuwa picha nzuri sana!Tusubiri picha jingine sasa hili limeisha...
Aamishe miradi yake hapo uzombiniWamebana wameachia, Jiwe siyo Mtu!.
Namshauri Mo asepe atulie zake huko Brunei au Kisiwa chochote cha Pasifiki ale bata miaka saba ipite kisha arudi tujenge nchi!, yeye bado kijana, kupumzika miaka saba siyo ishu!
Kwa ulivyoandika kwa uhakika wewe utakuwa unajua story nzima ya kutekwa kwake.unaipa hongera kwa usanii? Wao wanajua alipokuwepo! Tz imekuwa Nchi ya ajabu Sana sasa hivi tunasemwa vibaya na wenzetu. Ukipita mtaani au mghahawa wanaonifahamu wanauliza maswali ya ajabu!