Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Ni kweli kabisa tunamshukuru Mwenye Mungu kwenje jambo hili, ila asipotuambua alikuwa wapi na tukio zima la kutekwa kwake lilikuaje watanzania hatuta mwelewa!
Watanzania tunaelewa usilimletee Mo balaa kwani wewe ulikua hujui nani kamteka??
 
Hahahaha ushamba wa jiwe utamcost siku moja

Cover story hapa itakuwa ni nini ? Maana hata mtoto mdogo anajua Mo alichukuliwa na kina nani .

Halafu watu wa aina hii ndio wakakae meza Moja na kina Prof Thontorn wa Barrick tutegemee kulipwa na Accasia matrilioni ??

Tutakesha tukisiburia hilo
Mimi sina uenyeji na jiji la joto ebu nijulisheni hapo MO alipotupwa ni mbali na mjini au ni nje kidogo kama ni mjini means hawa watekaji wanazurura tu mjini daslaam mjini bila tatizo
 
Hongera Mo kwa kurudi. Pole kwa watanzania wote, ni hatari sana pale watanzania tunapokuwa na watu wa kututushia usalama wetu badala ya kuulinda. Aibu kubwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama. Vijihoji na virudi kwenye misingi yake ya kikatiba.
 
Siro alitumwa kimkakati kuongea na press, Sina hakika kama alijua alichokuwa anaongea. Nilibaki na mshangao mkubwa
 
Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!

Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!

Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom na hakuna makubaliano.

Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini kwa matajiri.

Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.

Je, kuna uwezekano na Tanzania tukaelekea ambako nchi za kusini mwa Afrika ziliko kwenye biashara ya kidnapping and ransom?
Nafasi pekee Ni kusepa! Utafute wewe wale wengine
 
Yan ameachiwa saa tisa du ko huo muda wa saa tisa usiku ametoka nchi jilan akaletwa Tanzania?au alikua humu hum Tz tu wanacheza na akil zetu
WAITAFUTE SASA ILE GARI AGX 404 MC. TUMJUE MMILIKI KAMA ALIVYOAHIDI KAMANDA NA PIA TUWAJUE WALIOMTEKA MO! MAMBO YASIISHIE HAPA MH. SANA KAMANDA NYAKARO!
 
MO atakuwa na mawaa huyo. Serikali hii inataka kuonyesha vya umma vina wenyewe. Kwamba utajiri wake unatokana na kuhujumu vya umma kwa njia moja au ingine. Nahisi Madhaifu mengi serikalin yalisababisha yeye atajilike zaidi. Sioni sababu ingine ya kutekwa kwake.
 
Wamebana wameachia, Jiwe siyo Mtu!.

Namshauri Mo asepe atulie zake huko Brunei au Kisiwa chochote cha Pasifiki ale bata miaka saba ipite kisha arudi tujenge nchi!, yeye bado kijana, kupumzika miaka saba siyo ishu!
Aamishe miradi yake hapo uzombini
 
unaipa hongera kwa usanii? Wao wanajua alipokuwepo! Tz imekuwa Nchi ya ajabu Sana sasa hivi tunasemwa vibaya na wenzetu. Ukipita mtaani au mghahawa wanaonifahamu wanauliza maswali ya ajabu!
Kwa ulivyoandika kwa uhakika wewe utakuwa unajua story nzima ya kutekwa kwake.
 
Kitendo cha kamanda mambosasa kwenda kwa dewji kumuona, kunaonyesha nae anashangaa kama sisi na polisi ni wasaka tonge tuu
 
Back
Top Bottom