HujitambuiYaani kelele za Lema ziwe msingi wa kupatikana Dewji lakini kelele hizo hizo zisiweze kumleta Ben Saanane? You must be joking!
Nani mwenye uhusiano wa karibu kikazi na kimaisha kati ya Lema na Ben Saanene au Dewji?
Kumbuka Ben Saanane alikuwa mfanyakazi wa CHADEMA
Ulichofanya ni kutoa shukrani ambazo hazina hata ukweli kifikra!
Ni la msingi sana ili kukomesha vitendo vya utekajiHilo si la msingi.muhimu amerudi nyumbani salama bila madhara
Leo iwe siku ya mapumziko twendeni uwanja wa taifa kumwombea duaMohammed Dewji @moodewji is now back home safely. I have just spoken to him and his father 20 minutes ago. In his voice, he’s the usual Mo. So he is okay. Thank you all for your prayers. God is really great. Going to see him now.
Mungu Ni Mwema!
View attachment 904237View attachment 904239
Hahahaaaaa lazima awe bubu aisee, ila sijawahi kuona watu wajinga kama watu wasiojulikana maana michezo yao niya kijinga na yakitoto ila ipo siku tutawatoa ujinga wao ili tuheshimiane!.Baada ya press ya Ziro ku-backfire wameamua wamuachie..
Ila sidhani kama ataweza kusema yaliyomkuta, yatakuwa kama yale ya Roma.
Mungu ana makusudi ya kutuletea cdmChadema imesheheni hazina kubwa sana....
Kwa mujibu wa itv gar linaonekana limepachikwa namba nyingine ila za tz....Wanasema gari lile lile na plate namba zile zile ndiyo limepatikana kwenye eneo la tukio..Gymkhana .
Wewe mwenyewe utaenda kupumzika wapi hiyo miaka 7, au tandale kwa mtogole haha..Wamebana wameachia, Jiwe siyo Mtu!.
Namshauri Mo asepe atulie zake huko Brunei au Kisiwa chochote cha Pasifiki ale bata miaka saba ipite kisha arudi tujenge nchi!, yeye bado kijana, kupumzika miaka saba siyo ishu!
Hongera igipi kutuonyesha picha asubuhi na kumpata Mo instantly [emoji23]
What is wrong with you today,boss?You,oftenly,seems to be of your senses.You okay,my boss?Kumtafuta!!swali lingine?
Hilo si la msingi.muhimu amerudi nyumbani salama bila madhara
Sijui huyo mh. nani kafanyaje maana sijawahi kusikia hata akimtaja wala kumtakia poleDuh anakazi ya kusifia tu sasa !
Hapana mkuu, hii ni UNITED REPUBLIC OF GANGSTER .Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!
Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!
Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom na hakuna makubaliano.
Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini kwa matajiri.
Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.
Je, kuna uwezekano na Tanzania tukaelekea ambako nchi za kusini mwa Afrika ziliko kwenye biashara ya kidnapping and ransom?
SERIKALI NA CCM NDIO WAMETUINGIZA KATIKA UCHAFU! VITU VILIUZWA LEO UNAANZA KUDAI NI UHUJUMU UCHUMI AU MTU KUJITAJIRISH KWA MALI ZA UMMA?? NYUMBA ZA SERIKALI ZILIZOUZWA KWA M3, NYUMBA YA KIGAE AMBAYO THAMANI YAKE NI ZAIDI YA MILIONI 80 ILIWEZEKANA VIPI??
"And the suspects almost dropped him back at Colloseum hotel where they picked him up".Kiingilishi wanasema “suspects are a still at large stay vigilant”.