Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Hujitambui
 
Baada ya press ya Ziro ku-backfire wameamua wamuachie..
Ila sidhani kama ataweza kusema yaliyomkuta, yatakuwa kama yale ya Roma.
Hahahaaaaa lazima awe bubu aisee, ila sijawahi kuona watu wajinga kama watu wasiojulikana maana michezo yao niya kijinga na yakitoto ila ipo siku tutawatoa ujinga wao ili tuheshimiane!.
 
Wanasema gari lile lile na plate namba zile zile ndiyo limepatikana kwenye eneo la tukio..Gymkhana .
Kwa mujibu wa itv gar linaonekana limepachikwa namba nyingine ila za tz....
 
Wamebana wameachia, Jiwe siyo Mtu!.

Namshauri Mo asepe atulie zake huko Brunei au Kisiwa chochote cha Pasifiki ale bata miaka saba ipite kisha arudi tujenge nchi!, yeye bado kijana, kupumzika miaka saba siyo ishu!
Wewe mwenyewe utaenda kupumzika wapi hiyo miaka 7, au tandale kwa mtogole haha..
 
Kama Ni hivyo Lema si apige Press release nyingine kina Kubenea na Anthony Komu nao wamuachie Ben Sanane
 
Na gari lilitumika kumtekea, limepatikana likiwa limebadilishwa namba...Mambosasa ndio ametoa habari hiyo
 
Hapana mkuu, hii ni UNITED REPUBLIC OF GANGSTER .
 
Kelele za wanajamiii Forum namini pia zimesaidia Sana maana watu tulikuwa hatuamini amini kirahisi tarifa Fulani Fulani
 

Mtu kapiga halaf hashtakiki na hata akishtakika hashindwi kesi. Sasa unamfanyaje. Mtihani kwa kweli. Pole zao wenye kuchukua hatua za lawama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…