Mkuu nakuunga mkono kwa hoja zako! Kamanda yupo highly tampered inaonyesha ni maagizo tu daahHii video inazungumza kila kitu.Wenye akili tumeelewa.Kuanzia sauti ya Mambosasa hadi sura ya Mo!The message is there.
Nawahurumia askari wetu wana pressure kubwa sana awamu hii.
Pole sana kamanda Mambosasa.Sura na sauti yako vinazungumza hapo.Pole baba.Ukitoka hapo piga zako laga mbili tatu ulale.Wananchi tumeona.Umetuonyesha Mo wetu.Nawe pia wakwetu.Sura yako hapo imeonyesha.Mie sitakulaumu.Niseme tu thank you Kamanda.
Bavicha mmekasirika sana Mo kupatikana. Nawaonea huruma wiki hii hamna tukio la kudandia.
Nakuunga mkono asilimia mia moja.Daah... Nyie binadamu ni balaa tupu! Alipopotea mkailaumu serikali, kapatikana bado mnailaumu serikali. Naamini hata asingetekwa mgeilaumu serikali.
Tofauti ni kwamba Lisu ni jasiri na hana vimeo, Mo ana kashfa ya kuleta mchele mbovu na hakuna mfanyabiashara clean for 100%Sasa ndiyo hicho kilichanifanya niseme wewe ni zuzu! Kwa kifupi unajikaanga kwa mafuta yako! Hoja yangu ni hii: Kama Lissu aliumizwa kiasi kile na akawa na ujasiri wa kuituhumu serikali (bila kujali tuhuma zake ni za kweli au la) ni nini kinachomfanya MO aogope kusema ukweli? Kulingana na maelezo ya awali ameishukuru serikali kwa kupatikana kwake. Kwanini ninyi mnang'ang'ania kuishutumu serikali?
Umechanganyikiwa kabisa, na waliokuwa wanashinikiza arudishwe ni akina nani, unageuza kibao mapema.hivi. Wenye akili kubwa tumeshaconnect dots zote.Hapa nionacho, chadema na tawi lake la bavicha WAMEKASIRISHWA sana na kupatikana kwa Mo tena akiwa mzima wa afya maana watakosa tena tukio la kudandia.
Sibiri muda maalumu ufike ili uovu wenu wa hila za kisiasa utakapowekwa hadharani.Utatafuta sululu la kuchimba shimo la kujificha kwenye mchanga utalikosa.Ukiwa biashara nyingi, lazima uchague maneno ya kusema ili biashara zako ziendelee kuwa salama.
Who is an African?.....nenda kamsome Cheick Anta Diop,'Hountodji',Samba,Nkrumah...Nilifundisha mwafrica ni mtu aliye zaliwa Africa Na kukulia tamaduni za kiafrica Na mwenye asili ya kiafrica sasa anakuwaje mzungu
Hahahah, Kweli fumbo mfumbie mjinga.Chadema wamechukizwa mno na kupatikana kwa Mo maana kiki yao imebuna.
Shida na Matatizo yanayoipata Tanzania ndiyo ufahari wa Chadema!
G LEMA njoo na press ya Ben Saanane sasa
Hana kingine cha kuongea zaidi ya kuishukuru serekali, na tayari ameishaongea.Hilo ni wazo lako. Lakini mimi bado nasubiri MO atulize akili na atoe kilichomsibu. Nitasikiliza kutoka kwake kwani tukio kama hili akidanganya atakuwa anajidanganya mwenyewe. Ila nachojua kwa sasa yeye ameishukuru serikali mnayoituhumu ninyi.
Sio dola, wameshika vifaru na wameambiwa yeyote anaewapinga muueni Kwa sababu mahakama ni yetu na hawatafanya kitu.Kinachowalinda hawa watu ni kwasababu wameshika dola.
Kama nawe una akili kubwa basi kuna majanga ufipa.Umechanganyikiwa kabisa, na waliokuwa wanashinikiza arudishwe ni akina nani, unageuza kibao mapema.hivi. Wenye akili kubwa tumeshaconnect dots zote.
Bavicha mmekasirika sana Mo kupatikana. Nawaonea huruma wiki hii hamna tukio la kudandia.
kama walivyokuwa wana fisiemu waliona invisible tukio la kutekwa kwa Mo!Hawa watekaji ni wataalam sana kiasi cha kwamba wana liquid flan hivi ukiimwagia kwa gari inakua Invisible
Hata mlima huanguka kwa land slide na hiyo landslide itakuja kwa,njia ya ballot boxHawezi kuleta mizoga ya jiwe na ya mungu wa darisalama
Jipeni pole wiki hii kuna uwezekano kusiwe na tukio la kudandia. Mnazidi kupotea, akili ikija wakaa sawa 2020 oktoba iko kwenye kona.Pole sana!
Kwani Lugola aliongea kama mwanaccm you are doomed, tunataka mtuonyeshe ushiriki wa CCM kama chama.Naona imekugusa sana niliposema Mo ni mwanaccm tena by membership, valid member anayelipia kadi yake, sio kibaraka au shabiki tu kama nyie bavicha mnaotumika kama makarai.
Serikali ya ccm ndio ilikuwa bize kumtafuta raia wa Tz na pia mwanachama wake mwenye mchango mkubwa ktk taifa hilo. Kwani Kangi Lugola alipoongea yeye ni chadema? Au mpaka polepole aongee ndio MTASIKIA RAHA? Mnampenda sana huyu jamaa maana akiongea anawapa raha.