Mo amepatikana, eidha ilipangwa au laa. Muvi imeisha. Wewe ni nini zaidi unachokitaka?
sasa utajuaje kama walinzi walipewa marlekezo na polisi?
La msingi MO amelishukuru Jeshi la polisi
Dady na mwanaye BashiteKaachiwa kwani alikuwa anashikiliwa na nani ?
Ingia kwenye profile ya mleta mada kwanza ili ujiridhishe ni mtu ws mlengo gani?@ cha mitandaoni .......Halafu nyie chadema muwe mnajiheshimu sometimes
Uko sahihi kabisa. Jee ni utaratibu wa kawaida vile vile kwa watekaji kuacha zana zao za kazi (eg silaha, gari) kwenye eneo la kubadilishana mateka / pesa?Huo ndio utaratibu unaotumika duniani kote, katika kubadilishana mateka kwa ransom, familia inaelezwa, kama mnamtaka ndugu yenu akiwa hai, leteni kiasi fulani mahali fulani pa wazi, no police involvement, unaelekezwa mahali pa kuacha fuko la fedha kisha unapigiwa simu mahali pa kumkuta mtu wenu, biashara inamalizika.
Sawa Engineer. MatolaIngia kwenye profile ya mleta mada kwanza ili ujiridhishe ni mtu ws mlengo gani?
Si vyema kukatika mauno mbele ya walume utazamishwa madole next time.
Povu lanini kaka!?Maswali km haya muwe mnaanza kuulizana kwenu baina yenu,mama yako na nduguzo kisha unatushirikisha nasi!
Ndio akili yako ndogo inavyokutuma, wewe endelea na shughuli zako. Sisi tunapambana tupate ukombozi zidi ya utawala wa kidikteta!!
Safi sana! Nimisemo ya masikiniKwa nini watu weusi tu huwa tuna hiyo misemo? Sijawahi kusikia Muhindi, Mchina au hata Mwarabu akisema sijui we are all one, mara utasikia its only the color au kama wewe different color one people, hii ni misemo ya masikini na watu wasiojithamini na wasiothaminiwa, ni low IQ .
Yes watekaji makini wanaacha ushahidi ili ku dupe uchunguzi, silaha zote hizo zilizoachwa ni stolen elsewhere ambazo ni genuine na registered ili kuzitumia kama chambo cha kuwapotezea tuu maboya polisi wetu.Uko sahihi kabisa. Jee ni utaratibu wa kawaida vile vile kwa watekaji kuacha zana zao za kazi (eg silaha, gari) kwenye eneo la kubadilishana mateka / pesa?
Any way. Tusitake ku pre empty the story. Uchunguzi wa kitaalamu unaendelea, ukiendeshwa na majeshi yetu mahiri. Mwisho wa uchunguzi kila kitu kita make sense. Tuendelee kushirikiana na vyombo hivi kwa kuvipa taarifa sahihi. Tuachane na uzitto na ulema.
Wewenimeoteshwa utekaji bado unaendelea. swali kuu who is next?
Kuna ukweli wowote juu ya yeye mo kutelekezwa gymcana?Yes watekaji makini wanaacha ushahidi ili ku dupe uchunguzi, silaha zote hizo zilizoachwa ni stolen elsewhere ambazo ni genuine na registered ili kuzitumia kama chambo cha kuwapotezea tuu maboya polisi wetu.
P.
Nashauri pia script ifanyiwe uhariri kabla ya kuingia eneo la tukioMuvi ijayo watumie wale jamaa wa holiwudi
Kabisa mkuuNashauri pia script ifanyiwe uhariri kabla ya kuingia eneo la tukio
Ni kuteka kiongozi wa upinzaniSeason gani inafata vile
DZUDZUKU, MO alitekewa (AKITOKEA AU/AKITOKA )GYM kwa hiyo labda ndiyo maana katelekezwa GYMCANA (GYM- CANA)Kuna ukweli wowote juu ya yeye mo kutelekezwa gymcana?