Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HUENDA WATEKAJI WALIWAPIGIA..................NJOONI MCHUKUE KIJANA WENU!Hata mimi nawaza tu hivyo .
Na kwa nini family wameenda kumchukuwa peke yao ?!.
WaTz tuweni makini.
Sii alikuwa karibu na hapoAmetupwa viwanja vya gymkana saa nane za usiku!
Kiingilishi wanasema “suspects are a still at large stay vigilant”.Press conference ya siku ya kutekwa imeenda kufanywa siku ya kuachiwa huru.
Tena katupwa gymkhana, wazungu bado wako uraiani, tuwe makini.
Utoto mwingi Tanzania
Wazungu wa nchi jiraniKama alitupwa Gymkhana inamaanisha "wazungu" hawajakamatwa na nchi haiko salama kwani hawa wazungu ni hatari kwa usalama wa raia.
Akaenda kavaa vizuri kwa ajili ya press conferenceKamanda mambossa alipgiwa cm na moo narudi au?
Aje sasa atuambie yaliyomsibu huko
Hiyo sahau,Karibu tena nyumbani. Kashoggi (rip) masikini yeye hakuweza kurejea! Haya basi tuhadithie hao Wazungu wawili wa Mamboleo wanasema walikutekea nini?
Wivu huoHahahaha ushamba wa jiwe utamcost siku moja
Cover story hapa itakuwa ni nini ? Maana hata mtoto mdogo anajua Mo alichukuliwa na kina nani .
Halafu watu wa aina hii ndio wakakae meza Moja na kina Prof Thontorn wa Barrick tutegemee kulipwa na Accasia matrilioni ??
Tutakesha tukisiburia hilo
Naona makontena yaliyo kwama bandarini sasa yatakombolewa.Aisee kaachiwa usiku wa manane. Watu wana hila walitaka makusudi tukose hiyo bilioni moja
SERIKALI NA CCM NDIO WAMETUINGIZA KATIKA UCHAFU! VITU VILIUZWA LEO UNAANZA KUDAI NI UHUJUMU UCHUMI AU MTU KUJITAJIRISH KWA MALI ZA UMMA?? NYUMBA ZA SERIKALI ZILIZOUZWA KWA M3, NYUMBA YA KIGAE AMBAYO THAMANI YAKE NI ZAIDI YA MILIONI 80 ILIWEZEKANA VIPI??MO atakuwa na mawaa huyo. Serikali hii inataka kuonyesha vya umma vina wenyewe. Kwamba utajiri wake unatokana na kuhujumu vya umma kwa njia moja au ingine. Nahisi Madhaifu mengi serikalin yalisababisha yeye atajilike zaidi. Sioni sababu ingine ya kutekwa kwake.
Unamaanisha waliomteka hawatoki mbali na hapo Gymkhana au ni watu wenye hela hawahitaji hizo 1Bil au vyote kwa pamoja?? Embu fafanua nikuelewe zaidi mkuu.Nawaza kwa sauti.
Kwa hio hakuna alieramba ile 1 B??...coz ametupwa katka viwanja vya gumcana..
Hakuna simba hakimbii msitu kisa mbweha wengi abaki hapahapa niwakati sasa serikali isimamie usalama wa matajiri. Mkoloni alitenga maeneo yaliitwa uzunguni huko huendi hovyohovyo. Ziwepo private clubs unaingia kwa password tena members onlyWamebana wameachia, Jiwe siyo Mtu!.
Namshauri Mo asepe atulie zake huko Brunei au Kisiwa chochote cha Pasifiki ale bata miaka saba ipite kisha arudi tujenge nchi!, yeye bado kijana, kupumzika miaka saba siyo ishu!