Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Baada wadau kuhoji ile gari na picha zake za magumashi, wakaona wamebugi, itakuwa aibu kwa jeshi la police, bora wamuachie tu...

Alhamdullah Mo
Ile 1 bilioni tupatie japo vocha ya mb please

Ha haaaa ,wew Jamaa wew .
 
Amakweli yanahuzunisha hii km series naona haina jina maana adui anajulikana na kajisalimisha mwenyewe tunakoelekea kubaya Sana
 
Ni kweli kabisa tunamshukuru Mwenye Mungu kwenje jambo hili, ila asipotuambua alikuwa wapi na tukio zima la kutekwa kwake lilikuaje watanzania hatuta mwelewa!
Thubutu, sanasana ataunga juhudi
 
Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!

Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!

Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom na hakuna makubaliano.

Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini kwa matajiri.

Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.

Je, kuna uwezekano na Tanzania tukaelekea ambako nchi za kusini mwa Afrika ziliko kwenye biashara ya kidnapping and ransom?
Comment ndefu utafikiri una uhakika na unachosema
 
Kama hatasema kilichomsibu itakuwa ngumu jamii kimuelewa. Hili swala limetoka private kwenda public..., ila kama tweeter ya kwanza anashukuru jeshi la police kwetu tushasoma uelekeo .... Roma style na kujaribu kuimba vionyimbo uchwara na jamii iliyolichukulia tukio kwa uzito ikiachwa na butwaa,
Hivi kuna kosa lolote mtu kuwashukuru police embu tuacheni siasa yaani chuki yako dhidi ya jeshi la police unataka kuwaambukiza wengine uwe na shukrani bwana, wewe usiku umelaka na familia yako police wanakesha kukulinda leo unaishia kuwadharau kisha sababu za kisiasa muogope Mungu mkuu.
 
Yaan mtu unatupwa saa tisa usiku na unapata ujasiri wa kupost muda uleule maajabu sana haya
 
Mungu ni mwema! Karibu tena uraiani MO na vp watekaji wamekamatwa au kujulikana?
 
Back
Top Bottom