Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matusi ya nini? Bangi anavuta mama yako, full stop
Exactly!Bila kusahau SAUTI KUBWA
Angalau umekiri CCM imeonyesha udhaifu kushughulikia sakata la MO naona umeanza kukomaa kisiasa.Udhaifu ni sehemu ya maisha!
Hata wewe ninaamini una udhaifu!
Ukubwa na udogo wa udhaifu ni debatable kwa sababu binadamu tuna mitazamo tofauti.
By the way,Uzinduzi wa sera za CHADEMA umefia wapi?
hahaa jana tuliambiwa watekaji walikimbilia kawe "... so wameamua kumtoa Mo kawe mpaka Gymkhana na kumtelekeza hapo ....!!?Gymkhana?
We bichwaa sangaraa nijibu, kaokolewa na mapolisi au watekaji wameamua kumwachia?Haha bavicha bwana hivi ni kelele ndio zimemtafuta mpaka akapatikana?
Jeshi la polisi na vyombo vingine vya dola vimedhibitisha weledi wake.
Sio kila jambo mnalilia wachunguzi wa kimataifa.
Chadema mnekuwepo wakati wa vita vya Idd amini si ajabu pia mngeshauri wachunguzi wa kimataifa waje kutusaidia.
Jeshi linalojipendeza kama hili ni la kulaaaniwa kabisa!Hongera kwa jeshi la polisi na wananchi
Kapatikana au karudi?!!jambo la kushukuru kuwa kapatikana akiwa salama.
Yan mkuu Mungu akunyime vyote akupe hekima na maarifa,hii cinema yao hata mtoto wangu wa sdt one humdanganyi. Shida akili ndogo inatawala akili kubwa ndo maana kila siku wanaumbuka na utaahira wao!hahaha ccm wanalitia aibu TAIFA . hakuna muwekezaji mwenye akili timamu atakaye jitoa kimaso maso ... kuja kuwekeza kwenye nchi yenye matukio ya kinyama kama hivi ... wawekezaji wengi huwa wanapenda nchi salama kwa uhai wao na rasilimali zao ....
poor ccm
Kama nakuona sharubu mzee babaMatusi ya nini? Bangi anavuta mama yako, full stop
MFANYABIASHARA MAARUFU MOHAMMED DEWJI APATIKANA AKIWA HAI
Amepatikana akiwa ametupwa kwenye viwanja vya Gymkhana
Baada ya kutekwa Gari ya watekaji iliendeshwa kwa kasi sana na kwenda kuwekwa kwenye chumba akiwa amefunikwa uso
Asema watekaji walikuwa wakiongea lugha inayoonekana kuwa ni ya Afrika Kusini
View attachment 904322
View attachment 904323
Hili jambo limeshazungumzwa BBC, CNN,Aljazeera na vyombo vyote vikubwa vya Habari Duniani. Na hawa wote ni nchi zenye uzoefu na utekaji.Jiwe mshamba sana. Ona sasa kaumbuka, kasababisha picha mbaya kwenye nchi yetu.
Na Taxi ya Uber. Yule driver wa Uber alie muona akitekwa gym🤣🤣 ndio kamrudisha.Aisee...amerudije nyumbani sasa??
IT IS OFFICIALLY NOW THAT 1 BILLION HAS VANISHED IN A THIN AIR.
january nae alipigiwa simu au alipiga simu? mbona anakua wa kwanza kwanza kuongea na hiyo familia na kutoa habari