ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
hahaa tunashukuru Ubalozi wa Marekani kwa kuwakaalia kooni bila ya hivyo wasingemuachia kirahisi..eti ile gari alionyesha IGP Ziro ndio imetelekweza Gymkhana..Yaani watekaji wamerejesha gari na MO.
Narudia IQ za wanaopanga hizi sinema zipo chini sana
HAHAHAHA
MWANA MLAAAANIWA WALAHI
USA JAMAL KHASHOGGI YUKO KOONI, hana mpango na wewe imbecile uwiii!
Vijana wamatukio mmedoda walahi