Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

kusoma hujui basi hata picha ikusaidie zuzuwe[emoji83]
Zuzu ni mtu kama wewe unayelazimisha kusema katekwa na serikali wakati yeye anaishukuru! Tena zuzu kweli kweli! Wako walicharangwa na risasi mwili mzima na bado hawakuogopa sembuse yeye?
 
Ipe Uzito Thread Yako Kwa Attachment Ya Katuni Ya Masoud Ambayo Askari Kavaa Kofia Yenye Rangi Hii
 
Ni kweli kabisa tunamshukuru Mwenye Mungu kwenje jambo hili, ila asipotuambua alikuwa wapi na tukio zima la kutekwa kwake lilikuaje watanzania hatuta mwelewa!
Thubutuuu kwani yeye hana roho? Na ashukuru hawakumshushia alikotupwa Roma. Mwenyezi Mungu amesikia dua zetu asaa kheri. Kila lenye mwanzo halikosi mwisho
 
Watanzania wengi tumepata furaha baada ya kuskia mo amerudi nyumbani/amepatikana

Msemaji wa familia ya mo hapo awali aliahidi kiasi cha pesa endapo mo atapatikana ,,na mtoa taarifa ndie atakae ipata iyo pesa

Inavyo onekana mo hajapatikana kiurahisi bali amapatikana kwa nguvu ya billion 1

Msemaji wa familia ya mo amesema mo alipiga sim baada ya kuachiwa na watekaji ndipo wakamfuata na kumpata.

TETESI...hawajataka kumtaja au kutaja mahusiano ya atakae pata billion moja kwa kumpata mo kwasababu za kiusalama na kulinda makubaliano ambaya waliyaongea kua ikakua siri baina ya familia na muhusika...

 
Hivi mobimba bomaye lemutuz yupo au sijasikia fact zake kuhusu hili
 
Back
Top Bottom