Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Wanabodi,
Hii ni thread ya swali, nikipendekeza kwa kuuliza, maana siku hizi, ukiuliza kitu,, watu hawaonagi alama za kuuliza, wakadhani nimetoa statement.

Baada ya Mo kupatikana, baada ya juhudi kubwa sana za jeshi letu la polisi, baada ya ile ahadi ya motivation iliyopelekea hadi IGP kufanya press conference ya jana, hii imethibitisha kuwa kumbe Jeshi letu la polisi, linaweza, wala hatuhitaji wachunguzi wa nje. Jeshi letu la polisi sasa ndio linauwezo, au kama lilikuwa nao siku zote, then, likiamua, linaweza, ukijumlisha na ile ahadi ya motivation ya familia, bali limeweza kwa sababu, sasa ndio limeonyesha uwezo huo kwa kufanikisha Mo kupatikana akiwa mzima, salama uu salmini na bukheri wa Afya.

Sasa kwa vile familia tayari iliishatenga shilingi billion moja kwa atayefanikisha kupatikana kwa Mo, na waliofanikisha ni IGP Kamanda Sirro, na vijana wake, kwa ile Press Conference muhimu ya jana. Mimi Napendekeza hizo pesa apewe Kamanda Sirro na vijana wake, ili zitumike kuboresha jeshi letu la polisi nchini kwa kulijengea uwezo kuzuia matukio ya utekaji, kwa kuwa motivate, siku zote, mtu yoyote akitekwa au kushambuliwa na wasiojulikana, juhudi kama hizi za kumsaka MO, ikiwemo kuitisha press conference, zifanyike. Tena laiti kama tungelijua kabla namna ya kuwa motivate polisi wetu watimize wajibu wao, usikute hata Ben Saanane alipotoweka, tungejichanga tukatangaza dau, angepatikana,
Aliposhambuliwa Lissu, tungejichanga tukatangaza dau, wasiojulikana wale, wangepatikana, na alipopotea Azori Gwanda, sisi media tungejichanga tukatangaza dau, angepatikana, huwezi jua!, Bilioni moja jameni sii mchezo!.

Zamani tulizoea ahadi za motivation ni kwenye kutafutia kura tuu, lakini sasa, hata katika kutimiza wajibu.

Mungu Mkubwa, Pesa ndio kila kitu!, Masikini Ben Saanane, masikini Azori Gwanda
Jumamosi Njema
P.
Kweli nimeamini Pascal hua unaongea kinyume !!!.
Basi tu, na Zakaria mbona hukumtaja ?! Napo tutoe pesa ngapi ?! Ehehehiiii
 
Kosa kubwa mnalofanya ni kusema sehemu x ina usalama na uhalifu hauwezi kutokea pale. Lakini wataalam wa uhalifu wanakuambia kwa wahalifu wazoefu maeneo kama hayo ndiyo mazuri na salama kwa ku operate shughuli zao. Mimi bado nahifadhi comments zangu kwanza mapaka nisikie kutoka kwa mtekwaji mwenyewe.

Kwahiyo unataka kutuambia ni rahisi sana kufanya uhalifu White house au Magogoni.
Kama ni rahisi kufanya uhalifu maeneo sensitive sidhani kama watu wangetumia gharama kubwa kwenda kuishi kule..
 
Haya uliyosema yanatoka moyoni kweli?kwani watekaji huwajui?

Kamati kuu ya Chadema ili wahoji Watekaji then ikawapa Karipio

Muulize YericKo atakutajia Wabunge wa Chadema wenye tabia Za kuteka wenzao
 
HUWEZI KUWA MWANAUME ULIEKAMILIKA HALAFU UJE NA HUU USHUZI INAWEZEKANA ULIKAA SANA MOMBASA NA NINAKUOMBA URUDI MOMBASA WAKAENDELEE KUKUTEKA
Hizi hasira zako ingefaa uzielekeze kwa Kunea na Komu
 
Watanzania hatupo salama..
Magaidi wapo tanzania zaidi ya mwaka..
namaanisha tangu walipomteka Ben, Azori, wakamtwanga risasi lissu, wakamteka Roma, wakamteka Mo..
vyombo vyetu vya mziki vimefanikiwa kupata tu picha za cctv za kisasa ambazo ni HD coloured !
 
Hebu subir hapo hapo alipiga simu! Kwa hiyo walimpa na simu apige au alipata simu kwa msamaria mwema? Sasa huyo aliyempa simu ndo ana claim hiyo Billion au? Pia hilo gari lilimtokea walisema lishavuka mpaka! Tena leo tunaliona! Hawa wanatuona mazwazwa kabisa, haya tuleteeni hiyo cctv shootage maana jana mzee wa sisitiv alijaribu kuficha pic la gari lkn bado watu wakamzidi akili! Na ndo maana hawakusema rangi ya gari wala habari ya noah hawataki tusikie!

All in all nina furaha tajir karudi sasa kifuatacho ni kuwa zakaria tuu maana washa turuhusu kumiliki silaha.
Hapana hujaelewa vizuri mkuu. Gari limevuka mpaka mara 3. Yaani kwa kuingia, kwa kutoka likiwa na Mo, na kuingia tena likiwa na Mo. Yaani hatutapa watekaji wenye huruma kama hawa. Walivuka na Gari hadi Msumbiji ah! Sijui Kenya halafu wamemrudisha Mo na Gari wakatuachia. Fantastic.
 
Kwani MO ni wa kwanza kutekwa, siku hizi hayo ni matukio ya kawaida tu, mtu anachukuliwa katikati ya eneo lenye ulinzi mkali bila kizuizi chochote.
Kila mwenye smart phone nchi hii ni mtaalam wa uchunguzi.Mbona mnatumia nguvu nyingi kupotosha taarifa za polisi? Mnafaidika na nini? Wazungu waliopo south Afrika hawawezi kuongea lahaja ya South Africa?
Mtaumbuka mliotaka kufanya tukio hili lisilo la kawaida kujipatia ujiko wa kisiasa.
 
Nadhan inabid aishukuru jf

Kuliko kitu kingine

I mean akimshukuru mungu atushukuru sisi
 
Aliongea kama nani? Tena aliongea akiwa na KITABU CHAKE CHA KIJANI PEMBENI KINACHOMPA DIRA. Licha ya kuwa 'akili kubwa' huoni aliongea kama nani pia? Unanisikitisha kamanda.
Kutembea na ilani ni ushamba wa madaraka, katibu wenu mkuu alisema si kila kilichoandikwa humo kinatekelezeka kuna mengi mazuri hayaandikwa.
 
Kwanzia leo nawadharau

Tiss , nadhani ni watu washamba sana

Kwa kufanya huu upumbavu ..


Nisingekubal mm niwe director wa tiss

Hafu umavi umav huu unafanyika

Ni hollolical shit ... Tiss badiliken

Kuna vijana walitaman sana kuja kufanya kazi huko na ni wazalendo wa kweli ...

Ila hawatak ... Coz hawana njaa..

Na pia vitu mnavyofanya ni stupidity

Mtu anakwambia kabsa nkatumiwe na tiss kufanya upumbavu ...

Nooo
Young Man,

Tiss ina vitengo vingi, na si kila mtumishi wa Tiss anafahamu oparesheni za kitengo kingine.

Mtu wa kushughulikiwa kwa sasa ni Bashite na si vinginevyo ndio kiini cha uharamia wote huu.
 
Back
Top Bottom