Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,710
- 2,587
Hawakuwa na msaada na hawakupaswa kujurishwa hapa wa kumshukuru MMungu, watekaji na familia. Sababu hata walioojulishwa walikimbilia media ili wauze nyago.Kwa yote tunayojua Mo na kila mtu alijua kupatika kwa MO polisi walipaswa kujulishwa kwanza. Ninashangaa kwa nini polisi walipewa umuhimu wa mwisho pamoja na juhudi kubwa walizokuwa wamefanya?
Family wameonyesha weledi.
Muda wa kulazimisha kusifia hata pasipo na shaka kama kweli wameweza waambie washtakiwa wako wapi.