Mohamed Mwameja: Siwezi kumsamehe Muhidin Ndolanga

Hayo ya mwameja, ukisikia ya yusuf macho jinsi alivofanyiwa na hawa jamaa unaweza toka machozi japo hayakuhusu
Mwaga nondo mkuu. Ya Yusuf Macho ilikuwaje?
 
Anaitwa ALHAJ MUHIDIN NDOLANGA. Kuna wkt ktk utawala wake safu ya juu ya FAT wote walienda Makka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
POLE SANA...Tanzania One wetu wa jana...

Mpira wa bongo una wachawi wengi, roho za kwanini, unaidai timu, unachukua hela ya mchezaji, kisha unambania kupata riziki..

Duuh sasa hao ndiyo viongozi, wa chama cha mpira nchi, ukienda vyama vya mikoa nako ni balaa, fitina, unafiki, viherehere n.k.

Na manabii wote wapakwa mafuta tulionao na upepo wa kisulisuli umeshindwa kuzitoa hizo tabia...mbaya SANA

Everyday is Saturday..................😎
 
Hata mie nisingesamehe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi nina mchongo wa kwenda mambele, ila kila nikiwaza ofisi ninazotakiwa kwenda ili wanicertify napata stress sana.

Wabongo wakishaona unaenda kuyakamata maisha wanakuingizia figisu sijui kwa nini!

Unforgetable
 
ndolanga na rage ni viongozi wa ovyo waliowahi kuongoza mpira Tanzania
Mnakumbuka mwaka 1998, Yanga waliingia makundi klabu bingwa wa Afrika,Caf waliwapa Yanga takribani million Mia mbili na ushee,Ndolanga na Rage waliupiga juu kwa juu mkwanja wa Yanga,na kutoka madai mbalimbali ya kuwa wao(FAT)wanawadai pesa nyingi wana wa jangwani,kwa hiyo hawastahili kudai chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba ako amepata hasara sana kuzaa Toto km Wew

Sent using Jamii Forums mobile app
Umepaniki kumlaumu harakaharaka labda hukumuelewa. Anamaanisha siku alipodhulumiwa ilitakiwa asitukanane nao kwa sababu bado watu haohao akifuzu ndo ilitakiwa wamtayarishie hiyo ITC.

Ndo maana katolea mfano wa kuvunja daraja baada ya kuvuka ilihali unaweza kulihitaji baadaye. Kuna somo amenipa kwa ujumla.
 
Mwameja alikuwa kama mtoto at that mean time. Kwa nini mkamtreat kwa kumkomoa wakati nyie pale ni kama wazazi?

Pale mlipochukua dola 6000 alipanic lakini aliporudi kwa ajili ya ITC at least mngemsamehe kama wazazi na kutambua jitihada zake binafsi mkamsaidia.
 
Ndolanga na Rage nadhani pia walikuwa wachawi .
 
Training × = transfer✓

Sent using Jamii Forums mobile app

Transfer Certificate unasema wewe!

Ye mwenyewe kasema Training Certificate

Na hata kama ni Transfer Certificate, Mwameja alikuwa anatokea South Africa, anakwenda UK, FAT inahusika vipi na transfer yake?

Mwameja angekuwa kweli anatakiwa huko UK ni wenyewe English Premier League wangemwombea documents! Na kama ni haki yake zingekwenda!

Alitaka favor wakati keshatukanana na watu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…