Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

The 1967 census has not been able to show the reasons for the sudden decrease of Muslim population nor the growth of animists amidst believers in the span of the last ten years.
Mkuu Maalim Mohammed Said, kuna swali nataka kukuuliza, ila kabla sijauliza, kwanza naomba maana ya neno "animist" ulimanisha nini?. Na hao uliowaita "believes" unamaanisha nini ndipo swali langu lifuate.
Paskali
 
Sooth,
Kaka unanipeleka wapi huko?
 
Kuhusu "chokochoko" ukiisoma vizuri ile post amekuwekea alichomjibu Nanren, katika uzi mwengine.

Hiyo chokochoko ilielekezwa kwa Nanren. Kasome tena utaelewa kuwa ile post katuwekea alichomjibu Nanren.
Sawa bibi kifimbo cheza nimerudia kuusoma na nimeelewa nashukuru.

swali la kizushi.. inamaana kwenye hilo bandiko langu hujaona kabisa?
 

Hiyo "dini na madhehebu" yako ni ipi?

Kumbe dini yako ni "inferior" kupita "Roman Catholic"? Yenye haya 10 secrets of the Vatican exposed ambayo dini na madhehebu yako inayaona bora na kutaka kuyaiga?

Unafikiri kuwa na ardhi kubwa ndiyo kuwa na dini na dhehebu bora?

Laiti ungaliujuwa Uislam japo kiduchu usingekuja na hoja muflis kama hiyo.

Nakuomba fungua uzi tuje tukupe darsa ni nini Uislam.

Unajitahidi sana kuutoa mjadala kutoka historia na kuupeleka kwenye dini, tunaelewa.
 
Siku zote kinachofanyaga utoe ile kauli yako ya maudhi ni nini eti?

= kinachofanya

Hata historia hii anayotupa Alama Mohamed Said inawaudhi wengi.

Seuse FF anaekupa ilm ya bure.

Ni vigumu sana mtu aliyesomea ujinga kumfundisha akakuelewa - kumbuka hilo.
 
Dada Faizan mimi nakuonyesha MTO ulipo, kunywa maji ni hiari yako. Nimetekeleza wajibu wangu kama mtanzania.
 
= kinachofanya

Hata historia hii anayotupa Alama Mohamed Said inawaudhi wengi.

Seuse FF anaekupa ilm ya bure.

Ni vigumu sana mtu aliyesomea ujinga kumfundisha akakuelewa - kumbuka hilo.
seuse = seuze.

caught you at your own game, missus!!
 
Mohamed Said

Mimi ni mkiristo niliwahi kusimamishwa hapo airport na kusachiwa kwa madai kwamba nasafari Sana na wanadhani ninajihusisha na madawa.

Nilikalishwa hapo masaa matatu kuulizwa maswali ambayo hayana kichwa wala miguu.
Ndungu zangu waliokuja kunipokea na wenyewe
Wakapigwa maswali ambayo hayana mbele wala nyuma.

Wakaniambia yakwamba watakuwa wanafuatilia mwenendo wangu. sababu hawakupata kitu walichokiwa wanatafuta. mpaka nimeichukia airport ya Dar .

Hata siku moja sijawahi kuwaza wanafanya hivyo sababu mimi ni mkristu. Nilichokuwa nawaza ni kwamba hawa watu wanahitaji elimu kwa vile mtu unasafiri Sana haimaanishi unafanya biashara haramu.

Thread yako imekosa maana ulipoingiza udini .
 
I love you so much (mada zako kali na arguments zako zimekomaa, ttz lako udiiiiiiiini mpaka kufa)


Sasa huo udini tatizo langu au lako? Au tatizo lako ni Uislam? Funguka tu.

Maana mimi nikii quote biblia au Qur'an ni mdini? Wewe uki i quote biblia au Qur'an au useme huviamini vyote na u mpagani basi si mdini? Fikiri.
 
Dada Faizan mimi nakuonyesha MTO ulipo, kunywa maji ni hiari yako. Nimetekeleza wajibu wangu kama mtanzania.


Nnaona hoja imekuingia na unaanza kubwabwaja na kuhororoja bila mpango. Ulifikiri "yetu" ingekusaidia?

Unioneshe mto wakati nna kisima uani kwangu, si upunguani huo.
 
Kwa umri wa huyu mzee alipaswa kuwa na busara. Ni kwa nini kila linalomhusu au kumkuta maishani lazima analihusisha na dini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…