Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
-
- #41
Mfyatuaji,Kanda za Khomein za nini? kwa nini uje nazo?? wakati wewe sio Mshia!
Akaja...mtu mwenyewe anatoa story robo robo na haina minofu
Sherrif,Mkuu Mohammed Said kwanza pole sana na mkasa huo.
Na subiri muendelezo wa kisa cha ustaadh kudhaniwa ni mzungu wa unga
Kenstar,Tuthibitishie kuwa waliokukamata ni wakristo,naona mmejengewa misingi ya chuki,na kulalamika ndo maana kila kitu mtakitazama kwenye misingi ya dini,Leo hii waislamu wanazikimbia nchi zao sababu ya chuki za kuuwana waislamu Kwa waislamu wanakimbilia kwenye nchi za makafiri wakaonyeshwe Upendo, kwann wasiende kwenye nchi za waislamu wenzao? Imetoka list ya Wauza unga majina mengi ni waislamu rejea gazetini mtasema sasa wanaondamwa ni waislamu? Hapana msisingizie dini panapo maovu kujifichia kupata popularity km alivofanya Osama na Makundi ya kigaidi. Me ni mkristo kabla sijasoma habari za uchunguxi niliamini ugaidi na uislamu ni kitu kimoja baada ya kuujua ukweli, kumbe uislamu hauna uusiano na ugaidi, dhana ya ugaidi imeingizwa na Freemasons ktk uislamu rejea history ya ugaidi ulianza lini, nani waanzilishi, na nn ajenda yake kuelekea new world order,soma history ya mapinduzi ya Irani,soma kuhusu vita vya msalaba nk.lengo la ugaidi kwanza ni kuusambaratisha uislamu, kupata mafuta Kwa mabadilishano ya silaha, kuifanya middle east isitulie Kwa usalama wa Israel,na kujipatia himaya ya kidunia Kwa kujifichia kwenye dini, na wenye kujua ajenda kuu ya ugaidi ni viongozi wakuu wa Makundi hayo na si wapiganaji wao hawaelewi chochote wameaminishwa wanapigania dini.Sababu ukitaka waislamu wachinjane waaminishe wanapigania dini,kumbe wapo kutimiza matakwa ya Freemasons toka magharibi. Shida kubwa ya waislamu wengi wameshajijengea dhana ya tunaonewa,tunadhulumiwa ukimgusa muislam hata Kwa mambo nje ya dini anakimbilia kwenye dini tunaonewa sababu tu waislamu. Ukiwaambia mnaonewa nn hawajui inakuwa sawa na wimbo wa taifa Kwa kila moja.Cha msingi ondoeni ile dhana tunaonewa,tunachukiwa nk sababu hakuna MTU ashawahi zuiwa fanya yake ya halali Kwa kufuata sheria sababu ya dini yake.
Wise...mbona unaleta yasokuwapo?Hivi huwa hamuwaulizi waislam walio madaktari au wanasheria au mawaziri wamefikaje kwenye hizo nafasi!?...inakuaje huu udini unaonekana na wale wenye elimu akhera tu!?
We mbona umeleta uislam kwenye mambo ya unga?Wise...mbona unaleta yasokuwapo?
[emoji106]Leloo...
Nimesema kuwa nitakuwekeeni kidogo maana ni mkasa mrefu.
Sikutaka kuwachosha wasomaji wangu.
Ila ikiwa unataka kujua nini kiliendelea naweza nikakuwekea
kipande cha mwisho In Sha Allah.
Mpaka hapo sina haja ya kuendelea kusoma kwsb jamaa limeishaingiza masuala ya udini kwahyo story yake abakie nayo tuMpaka hapo ulipoishia ni kuwa message yako inalenga kwenye udini..! acha udini mkuu na propaganda za chuki dhidi ya muislamu na mkristu.
REJEA.
“Nakuapieni nyie msingethubutu kumkamata Mkristo anaetoka Vatican mkutanoni. Lakini kwa kuwa mie ni Muislam sina wa kunitetea. Nchi hii nani atakuuliza kwa kumnyanyasa Muislam?” Walishtuka na wakawa wanyonge sana wakasema si kweli kuwa naponzwa na dini yangu.
Bafa,
Natafutwa kwa lipi?
Kwa kuuza unga?
Umeshaingiza udini humo wa kutia chuki Kati ya wakristu na waislanu
Hii defamation chunga domo lakoWewe sio mhariri wa lile gazeti kweli.... linalotaka magu awape vitengo wakati elimu dunia hamna... nyie waislam kulalamika ni nguzo ya sita kwenu
Mhhhh pole sana ila pia big up kwa msimamo wako mzuriBafa,
Sasa nimekupata.
Hebu soma hapo chini:
Kilichobaki sasa ni kueleza sababu ya mimi kukamatwa. Mwaka wa 2006 Chuo Kikuu cha Ibadan, Nigeria kilifanya kongamano la kimataifa hapo chuoni kwao kuzungumza kuhusu Ugaidi katika Afrika ya Mashariki na Maendeleo (Conference on Islam, Terrorism and African Development). Mimi ninlitoa mada iliyokuwa na anuani hii: Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience. Katika mada hii nilijikita mahsusi katika kuisema Marekani kwa udhalimu wao duniani. Nikaeleza kuwa huo udhalimu wao ndiyo unaopelekea wao kuchukiwa dunia nzima. Hapa ningependa kufahamisha kuwa mkutano huu wafadhili wakubwa walikuwa Iran na Marekani. Saudi Arabia ilikataa kuchangia mkutano ule. Wakati nasema maneno haya ya kuwakanyanga wenyewe Waamerika wapo hapo mkutanoni.
Baada ya kuwalani Waamerika sasa nikaigeukia serikali ya Tanzania na kuishutumu vikali kwa kupitisha Sheria ya Ugaidi. Hapa nikaeleza kuwa Waamerika wasione kuwa Tanzania imepitisha sheria hiyo ya ugaidi kwa haraka kwa sababu Tanzania ina tatizo na ugaidi. Nikaeleza kuwa sheria hiyo imepitishwa kwa sababu Bunge la Tanzania limehodhiwa na Kanisa na kupitishwa kwa sheria hiyo hakuna uhusiano wowote na ugaidi ila Wakristo wamepata fursa ya bure ya kupambana na Uislam wakitumia serikali ya Marekani kama upawa wao wa kuopolea chinyango ya moto kwenye chungu kinachotokota. Nikauchekesha mkutano kwa kuwaambia kuwa Wamarekani wamefanywa wajinga na Kanisa kwa kuchonganishwa na Waislam wa Tanzania ambao hawana ugomvi nao asilani. Baada ya kusema hayo nikahitimisha kwa kueleza nguvu ya Waislam Tanzania, kwanza kwa wingi wao na kisha kwa historia yao iliyotukuka iliyodumu takriban miaka mia wakipambana na ukoloni wa Wajerumani kwa silaha (1905 - 1907), kisha ukoloni wa Waingereza (1929 1961) na kuhitimisha kwa kuleta uhuru na kuanzia 1961 hadi sasa wanapambana na nguvu ya kanisa katika kupiga vita Uislam.
Kufikia hapa ukumbi ukawa umepata joto. Wanigeria wamesimama kutaka niwaeleze vipi Waislam watakuwa wamepigania uhuru kisha wako wengi nchini wanaruhusu wao kufanywa raia daraja la pili. Wakashangazwa kuwa hata historia ya mashujaa Waislam waliopigana Maji Maji na kunyongwa na wakoloni na mashujaa walipigania uhuru wa Tanganyika hawatajwi katika historia ya ukombozi. Nilitoa majibu kadri Allah alivyoniwezesha. Nakumbuka kitu kimoja walichosema wale ndugu zetu Wahausa. Walisema hali hiyo iliyoko kwenu haiwezekani kutokea Nigeria kwa kuwa hiyo itakuwa na sawa na kutangaza vita. Kisha wakanihakikishia kuwa sheria hiyo ya ugaidi haitapitishwa Nigeria hata siku moja.
Wapashaji habari wangu wakajanieleza baadae ni hili hitimisho langu ndilo lililosababisha Wamarekani kuleta taarifa Dar es Salaam kutaka taarifa zangu za “ugaidi” ikawa sasa sababu imepatikana ya mimi kushughulikiwa na vyombo vya dola. Ndipo ikatengenezwa hadithi ya kuku na ng’ombe dume (cock and bull story) kuwa Mohamed Said ni Mzungu wa Unga kwa hiyo akamatwe.
Ila mkuu nataka niongeze kitu hapa miaka ya 2000 Arabian peninsula ilikua imtulia tuli kwa kiasi chake ila kuna yule cha uroho kafanya figisu matokeo yake hapakaliki kule hakuridhika chauroho yule akaja Libya kafanya figisu leo hapakaliki watu wanahamia huko huko kwa lie chauroho na washirika wake unajua ukimbomolea MTU nyumba umpe na hifadhi sio kumuacha hivi hivi LA si hivyo atalala hats jikoni kwako sasa huwaga najiuliza kwa mini wasivamie korea huko China na kwingine ila nia arabian peninsula pekee any way tuendelee na madaTuthibitishie kuwa waliokukamata ni wakristo,naona mmejengewa misingi ya chuki,na kulalamika ndo maana kila kitu mtakitazama kwenye misingi ya dini,Leo hii waislamu wanazikimbia nchi zao sababu ya chuki za kuuwana waislamu Kwa waislamu wanakimbilia kwenye nchi za makafiri wakaonyeshwe Upendo, kwann wasiende kwenye nchi za waislamu wenzao? Imetoka list ya Wauza unga majina mengi ni waislamu rejea gazetini mtasema sasa wanaondamwa ni waislamu? Hapana msisingizie dini panapo maovu kujifichia kupata popularity km alivofanya Osama na Makundi ya kigaidi. Me ni mkristo kabla sijasoma habari za uchunguxi niliamini ugaidi na uislamu ni kitu kimoja baada ya kuujua ukweli, kumbe uislamu hauna uusiano na ugaidi, dhana ya ugaidi imeingizwa na Freemasons ktk uislamu rejea history ya ugaidi ulianza lini, nani waanzilishi, na nn ajenda yake kuelekea new world order,soma history ya mapinduzi ya Irani,soma kuhusu vita vya msalaba nk.lengo la ugaidi kwanza ni kuusambaratisha uislamu, kupata mafuta Kwa mabadilishano ya silaha, kuifanya middle east isitulie Kwa usalama wa Israel,na kujipatia himaya ya kidunia Kwa kujifichia kwenye dini, na wenye kujua ajenda kuu ya ugaidi ni viongozi wakuu wa Makundi hayo na si wapiganaji wao hawaelewi chochote wameaminishwa wanapigania dini.Sababu ukitaka waislamu wachinjane waaminishe wanapigania dini,kumbe wapo kutimiza matakwa ya Freemasons toka magharibi. Shida kubwa ya waislamu wengi wameshajijengea dhana ya tunaonewa,tunadhulumiwa ukimgusa muislam hata Kwa mambo nje ya dini anakimbilia kwenye dini tunaonewa sababu tu waislamu. Ukiwaambia mnaonewa nn hawajui inakuwa sawa na wimbo wa taifa Kwa kila moja.Cha msingi ondoeni ile dhana tunaonewa,tunachukiwa nk sababu hakuna MTU ashawahi zuiwa fanya yake ya halali Kwa kufuata sheria sababu ya dini yake.
Ni haki ya kikatiba ibara ya 11 to 29 swali lako halina mashiko labdaKanda za Khomein za nini? kwa nini uje nazo?? wakati wewe sio Mshia!