Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 3,135
- 3,392
Nanren,
Unakumbuka siku nilipokuhadithia historia ya babu yangu Salum Abdallah?
Nilikuambia uwe unafanya utafiti kabla ya kuandika.
Katika mkasa huu nakushauri urejee kukisoma kisa.
Walinikamata walinifahamisha, baada ya uchunguzi na kuridhika kuwa nauza unga.
Rudi kisome kisa upya.
Acha kupiga chenga.
Nirudi kusoma kisa kizima ili iweje?
Nimeijibu post yako kwa kui-quote. Tuendelee kuanzia hapo.
Isitoshe, si mara ya kwanza wewe kusimulia kisa hicho nimekisoma mara kadhaa.
Kama mwandishi aliyechoka, nafikiri kwa sasa umeishiwa cha kuandika. Unaandika yale yale kwenye threads tofauti. Utaongelea Habari za ibadan, na kukamatwa uwanja wa ndege, au utaanzisha thread ya Mwapachu au Kunambi au jina lolote lile, lakini hatimaye lengo ni ku-promote kitabu chako cha Sykes et al., na ku-promote chuki za kidini.
Nahisi hata wafuasi wako watakuwa wamekustukia, hawaji kwa kasi na matusi kama zamani au unaonaje kaka Moh'd?