Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Hivi kwanini mpaka leo hii Abdul Rauf Songea halikujulikana jina lake halisi mpaka aje Mohamed Said atujulishe?

Hivi kwanini ulikuwa haujuwi kuwa Mkwawa aliitwa Abdallah mpaka aje Mohamed Said atujulishe?

Hivi kwanini historia hii inawaumiza sana vichwa?

Unaweza kutupa mbadala?

Umeshawahi kumsoma Sivalon? Na Bergen?

Unakubaliana nao? Au kama hujawasoma tukupe vipande vya waliyoyaandika? Halafu utueleze wao nao ni wadini? Au mkuki kwa nguruwe tu?

Sishangai kuona unatishika baada ya kuelewa uliyokuwa umefichwa kuyaelewa.
Maalim Faiza,
Hawawezi kuwajadili Bergen hapa wala Sivalon wala Njozi.
Hawa ndugu zetu ni waoga na wala hawako huru katika fikra.

Juu ya jitihada zako za kuwapa, ''Elimu Bila Khiyana,'' wao kwa
hofu kuu waliyonayo na historia ya kweli bado wamejigubika
blanketi zito kwenye jua kali.
 
Maalim Faiza,
Hawawezi kuwajadili Bergen hapa wala Sivalon wala Njozi.
Hawa ndugu zetu ni waoga na wala hawako huru katika fikra.

Juu ya jitihada zako za kuwapa, ''Elimu Bila Khiyana,'' wao kwa
hofu kuu waliyonayo na historia ya kweli bado wamejigubika
blanketi zito kwenye jua kali.
Mimi nashangaa kila siku unabishana na hawa watu..Hao utawafahamisha siku nzima bado mwisho wa siku watabakia vile vile..kwani siyo kama ni ukosefu wa elimu ya Historia ya Tanzania ndiyo inayowafanya wawe hivyo bali hiyo historia hawaitaki na wako tayari ku pretend ya kuwa its never existed na ndiyo maana wanakuwa hivyo na zinapelekea arguments zao kuwa personal Zaidi. Kwa hivyo usipate tabu historia hawatoweza kuifuta milele ikawa watakataa wau watakubali sasa kama wameshindwa kubadilisha kila kitu miaka 24 ya mwanzo basi hivi sasa hawatoweza katu...
 
Mimi nashangaa kila siku unabishana na hawa watu..Hao utawafahamisha siku nzima bado mwisho wa siku watabakia vile vile..kwani siyo kama ni ukosefu wa elimu ya Historia ya Tanzania ndiyo inayowafanya wawe hivyo bali hiyo historia hawaitaki na wako tayari ku pretend ya kuwa its never existed na ndiyo maana wanakuwa hivyo na zinapelekea arguments zao kuwa personal Zaidi. Kwa hivyo usipate tabu historia hawatoweza kuifuta milele ikawa watakataa wau watakubali sasa kama wameshindwa kubadilisha kila kitu miaka 24 ya mwanzo basi hivi sasa hawatoweza katu...
Kizibao,
Ahsante kaka kwa mchango wako.
Kwangu mimi inatosha kuwa wanasoma haya niandikayo.

Hili la kwanza na la lipi na hili ndilo linanipa moyo ni kuwa
kila uchao napata wanafunzi wapya wanakuja kusikiliza darsa.
 
Kaka yeye amewatuhumu watu fulani kwa Udini na akaeleza sababu ya yeye kufanya hivyo. Kwanini unamgeuzia mpira?
Faru...
Katika blog yangu www.mohammedsaid.com ikiwa mtu atapenda
kusoma makala zangu ndani Africa Events kuhusu Tanzania anaweza
kufanya, ''search'' Africa Events na makala hizo zote atazikuta hapo
In Shaa Allah.
 
Mohamed Said Dr. Nakuheshimu sana,nathamini sana Mchango wako katika uandishi wa historia ya Tz. Ila nashindwa kuelewa hivi huwezi kuandika hiatoria ya nchi hii bila kuongelea Udini( Uislam umeonewa)

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 
Mnabuduhe hebu niwekee mahali niliposema kuhusu kuonewa. Kuhusu dini hili swali nalijibu mara zote kuwa category ni political history kama ilivyowekwa na Library of Congress. Lakini ikiwa kuna jambo unaona si la kweli katika historia ninayoandika nifahamishe.
 
Interface,
Unajua ile paper yangu ilibadili mwelekeo wa ile conference na mimi
nilikuwa kati ya wazungumzaji wa mwisho.

Waamerika ingawa wanajifanya wanajua lakini si kuwa kila kitu kiko
hadhir kwao.

Naamini walishtuka sana nilipowaambia kuwa Waislam wa Tanzania
hawana ugomvi na USA wao wana matatizo yao ya ndani na utawala
ulioko madarakani.

Walishtuka nnilipowaambia kuwa Waislam ndiyo waliopigania uhuru wa
Tanganyika wakianza na kwa kunyanyua silaha dhidi ya Wajerumani.

Walishtuka nilipowaambia kuwa Waislam wa Tanzania wangependa kuwe
na mjadala wa wazi kujadili matatizo haya yote.

Bahati mbaya Sheria ya Ugaidi imesababisha viongozi wao kukamatwa na
taasisi zao kufungwa kwa uonevu tu.

Sasa pale Chuo Kikuu Cha Ibadan kitabu cha Sykes kimekuwa kikisomeshwa
toka 2003.

Wanafunzi na waalimu wakawa wanaijua hali ilivyo Tanzania na hii ndiyo
sababu ya wao kusema Sheria ya Ugaidi haiwezi kupitishwa Nigeria kwani
huko ni kutangaza vita na Waislam.

Waamerika wakawa kwa njia moja nimewavurugia mipango yao.
Yaliyofuatia hapo sasa ni historia.
Kwa maelezo hayo ata kama ni MTU WA aina gani ni lazima achoke akili .nazidi kufatulia Uzi wako
 
Bro swala hili mbona umelishupalia me naomba tujaribu jambo dogo tu wewe shika bunduki au kimbilia msituni utaitwa muhasi ila Mimi nivae khanzu na panga language nimelipaka damu tu natamka shahada na viashiria flani hivi vya msimamo mkali obviously nitaitwa gaidi na mifano ipo al shabab na boko haram Mimi binafsi vitendo vyao haviendani na mafundisho ya uislam lakini having tofauti na M 23, IDDFDD , Na wale walikua wanaitwa Lord resistance Army kitu wqnafanya Hamna tofauti na al shabab na boko haram wote wanabaka wanaua watoto na raia wasiokua na hatia non combatant's lakini huku wakikamatwa wananyongwa huku ualifu wa kivita wa huku anaitwa muhasi ila wa huku gaid how
Inatosha kama ana nia ya kuelewa hatorudia kuuliza.hhahaha big up saana
 
Maandishi ya Sheikh Mohamed Said hayakamiliki bila kuunyooshea kidole Ukristo. Kwamba Ukristo ndio unarudisha nyuma jitihada za Waisilamu wa Tanzania kujiletea maendeleo yao wenyewe. Hivyo ni sahihi kuhitimisha kwamba ukiondoa Ukristo Tanzania , waumini wa dini ya Sheikh Said watapata maendeleo ya kuonewa wivu humu Tanzania.

Lakini ndani ya Ukanda huu wa Afrika ya Mashariki, hususani hapo ng'ambo ya Bahari ya Hindi (Zanzibar), Mombasa,Kenya (tamka Mambasa), Salima, Mozambique, Djibout ama Somaliland ambapo waamini wa dini ya Sheikh Said ni wengi, je maendeleo ya kiuchumi, kisiasa na kijamii pia yanakwamishwa na wananchi wachache wenye imani ya Kikristu?
Sababu ukweli unauma ndio ukaandika haya.aliyosema ni kweli na mfumo kristo ndio unaleta Matatizo mengi kwenye Taifa letu.pole sana
 
Sheikh Mohamed,

Naomba kujuzwa, haya majina ni ya "Kiislam" au ni ya "Kiarabu" bila ya kuathiri hoja ya dini za wenye majina hayo.

Kaka ...
 
Ndio maana hii vita ya makonda ya madawa it is a Joke and funny.....lakini tutafika japo kwa kuchelewa



HIYO VITA YA MAKONDA NA IANZIE NA KUWEKWA TUME HURU YA UCHAGUZI PAMOJA NA KATIBA MPYA YA MUUNGANO WA SERIKALI TATU VYENGINEVYO NI DANGANYA TOTO YA MASKANI
 
wee kama ni mshitakiwa fwata sheria achana na maswala ya udini umekamatwa na polisi udini unatoka wap apo. afu ukitaka kuingia ndani zaid utakuta kati kati ya hawo polisi waisilm wapo.
 
Mkuu Mohamed

Nina swali dogo sana,hivi kati ya mabinti zako ulio nao,akatokea mhindu au mkristo au mpagani kabisa anataka kumuoa,na wamependana ni watu wazima kwa hiyari yao,utakubali kumuozesha bintiyo kwa huyu mtu?

Kwanini una chuki sana na dini zingine hasa ukristo?Tatizo lako ni nini hasa?

Dini iliyoujaza moyo wako chuki kubwa namna hiyo haikufai...hiyo mifumo unayoisemea an innocent christian do not know them but again unamchukia huyu poor human being...

Usinidanganye huna chuki,you have an embedded hatred inherently in you....huwenda huwezi jua ila unayo,ukikataa ni denial tu.

I wonder mtu unaishi kwa hatred namna hii dunia hii sababu tu kuna kitabu kimesema hivyo....hizi dini ni za kuacha altogether...mwanadamu uliekamilika,mwenye ubongo sahihi,huna haja ya kufuata alichoandika mwanadamu mwenzio eti ukifuata ndio maisha sahihi wakati na yeye naye ana madhaifu ya kibanadamu kama wewe...hebu sometimes tutumie common sense tusisababishe maumivu kwa wanadamu wenzetu...dini ni useless na ni vyanzo vya chuki,hii ni kweli ni proven.

vitabu vya kanisa lako vinaongea , sikiliza

 
Kichengele kama ungefatilia kisa toka mwanzo ungeelewa kuwa tatizo lilianza na mada niliyowasilisha Chuo Kikuu Cha Ibadan. Bahati mbaya ndugu yangu unachangia kutoka hali ya wewe kuwa hukijui kiini cha mjadala. Baya zaidi unaingia na lugha ya kifedhuli.
 
Sababu ukweli unauma ndio ukaandika haya.aliyosema ni kweli na mfumo kristo ndio unaleta Matatizo mengi kwenye Taifa letu.pole sana

Kauli za kibaguzi hizi. Mimi sio Mkristo. Lakini kwa maoni yako haya, acha niongee kikristo kwamba "get used to it, your dreadful attitude won't take you a step further".
 
Back
Top Bottom