Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Hiyo hapo chini niko Kenyatta University, Nairobi:

FwN6Py4jtViAOvgiSixHgJqp1H5OJIFHeIY97BOVmSE2sDTovsla1K1VTWQEOkd8CWnemuijMc3AqAHzvgswk4AD_tcsE220HNbk65l8wOlbYlFxyucAbleuOsVzfZt38YPfbX3hJlH2Giy-cnSdO-aZUYH6Yq8Cc2CZ39nLWJM0c2hgMQQH-Cfe65EiqIRtlyD0VOU1cqN_Teg0JjG4bfR3xWNQ7gzGeQfLPQjuzFXSUYpaZWtlooYSlwDD6Vs_6mzP4LrIitb76JQHYrAi-8x4LpN16qxisjwgm5LRvbPViRpi2QsWz8GXr20oJr4jtphvo9cDepVdCDCUj32H0SHdFXBePLoaJTtfZDWd6nngiH8y0ppAOnU12vXQtblPO09aC5woTrPqI1jyg_AqCmxOj3Y2wdRdocWDmGG1zPONInwyqifdJURLO6RKd3d8L9HZz05AhOC2Gd-WkfPm4xuLS-PVdZ8t78yAG89QThGbCc8M87Q-VuXETg19zQBaN9e755NJWo4CIRzce0Ry06OD7FRDJZnABFJ4c2dLfvkOTmeVMpcr5zaXQs31ZMcQafjyVX6__4BGCkbAmD5-a1fZTDaTYBcvcbZzKP0xbfeUHzWvaPkHJzEJlMPReBq3luk=w840-h630-no


Hii niko United Nations, Geneva:

OJYlgcL6C8mkR7A0KOTlLscS0GrFoj0Vv95CCA3HJp-Fjpd0FhNrLs_bgVpuzjAbl2ACTKvQ5LmKsy_afJMxkRI3aUKrzLwh2wNQFZcUSqefTECt0mmjPghzbCkZV2CCeY1c8ZvDFeJJD_53Ur30eJ1t6nLIzFqa-bhn_WWXjE30U6P8DOrsaZxq7OV5LX1l6pUgamHiQ6fQzwfZaGdBDm2n8dc5pQr5Jhwv8u8NGUpHBYA99nsDT2AyfCYTFKHxkbz5qj8GitHoGnIb3ERbD44FHsj7cK5Wni86UAeT2zLqOKqtx8FU4YV_58anrlw3hcwjnkL51E7dioQYCqJpD8NTzKgoAmCMDpBcudfwiFWHCZ6VND3AjRME64mmN2l1qKN3fad4Y_UcS_jI5qAesn8AmzlkO-5Dbi0cd9ZYq13uZnyj1xxk58tB-v9lurkfbdp91dNdpqbp6CSWqOtpGhKNxtTpY9Xt2CY_oxlJyDxW92MkTjLZnH1JSyovedaU0XIao0X71mRrSvpiT6TiDAbCoakn4O4Sr1FSVhL8P9cminhgwB5myyWyMRvdL9nbcocsd3sESbtDN2JZmfBsXPRC65kOCwYuBJFnkM6MLrc=w480-h360-no


Nime notice ukiwa Nairobi, Kariakoo and Hausa country unavaa vibaraghashia na kanzu za Mtume, ukiingia DC, Chicago, Geneva unavua haraka sanaaaa...

Nimeomba details za elimu yako ya msingi na sekondari. Wanapohakiki vyeti hawajali shahada, tunataka STANDARD 7, FORM IV, FORM VI. Huwezi kutaja, elimu yako ya awali ni suspect!

By the way, ulipokuwa Hausa country umetudanganya walikwambia Nigeria hakuna na hawawezi kuwa na anti-Terrorism laws. Nigeria inaongoza Afrika kwa uhanga wa ugaidi, haiwezi kuwa haina anti terror laws. The Terrorism Prevention Act, 2011 as amended in 2013 zipo.

Wale watu wa airport ambao mwisho wa siku ulikuja gundua walikuwa hawana mpango wa kukuwekea madawa ulirudi kuwaomba msamaha? Manake walikuwa kazini in good faith wakifuatilia suspicions and instructions za USA juu yako, a firebrand islamist zealot...

Kuruani Takatifu inakataza dhana, Al Isra, sura ya 17 pamoja na Al Hujurat, sura ya 49. Ukidhani nduguyo ana nia ovu ukaja gundua ulimhisi kimakosa kaombe radhi. Muislam unapigania nafasi ya dini yako wakati we mwenyewe huna high moral ground?
 
Nime notice ukiwa Nairobi, Kariakoo and Hausa country unavaa vibaraghashia na kanzu za Mtume, ukiingia DC, Chicago, Geneva unavua haraka sanaaaa...

Nimeomba details za elimu yako ya msingi na sekondari. Wanapohakiki vyeti hawajali shahada, tunataka STANDARD 7, FORM IV, FORM VI. Huwezi kutaja, elimu yako ya awali ni suspect!

By the way, ulipokuwa Hausa country umetudanganya walikwambia Nigeria hakuna na hawawezi kuwa na anti-Terrorism laws. Nigeria inaongoza Afrika kwa uhanga wa ugaidi, haiwezi kuwa haina anti terror laws. The Terrorism Prevention Act, 2011 as amended in 2013 zipo.

Wale watu wa airport ambao mwisho wa siku ulikuja gundua walikuwa hawana mpango wa kukuwekea madawa ulirudi kuwaomba msamaha? Manake walikuwa kazini in good faith wakifuatilia suspicions and instructions za USA juu yako, a firebrand islamist zealot...

Kuruani Takatifu inakataza dhana, Al Isra, sura ya 17 pamoja na Al Hujurat, sura ya 49. Ukidhani nduguyo ana nia ovu ukaja gundua ulimhisi kimakosa kaombe radhi. Muislam unapigania nafasi ya dini yako wakati we mwenyewe huna high moral ground?
Kwameh,
Sijui kwa nini huniamini.
Nimekwambia kuwa mie mtupu sina elimu ndugu yangu.

Kuhusu mavazi itabidi nikufahamishe hulka yangu na jinsi nilivyofunzwa
kuhusu mavazi.

Mimi nimewaona wazee wangu wakienda kazini wanavaa shati suruali kama
kawaida lakini wakirudi nyumbani baada ya kazi jioni huwa wanavaa kanzu
na ndani wanavaa seluni.

Hizi ni nguo nyepesi na zinamfanya mvaaji kuwa ''relaxed.''

Mimi nikialikwa nje ya nchi na inategemea na mazingira na nyakati hupenda
kuvaa kanzu, kofia na hutupia kashda kuonyesha utambulisho wangu kama
Muislam.

Nikiwa kwenye miji mikubwa ya dunia kama Paris, London, New York wakati
niko shughulini kuvaa kanzu itanizuia ''movement,'' hivyo navaa mavazi muafaka
na hali iliyopo.

SAM_1572.JPG


New York Grand Central hapo juu nitachekesha kama nitakuwa nimevaa kanzu na makbadhi
nadandia treni kwenda kwangu Manhattan.

Tambua pia kuwa mavazi yanakwenda na umri.

Angalia picha hii hapo chini nilipokuwa kijana hapo nipo London wakati wa Kiangazi
kiasi cha miaka 30 iliyopita:

e3Tx-demOTNeXtHjhG1OnBbgyG2KwJEYomhlK2rehnrRwioBo6Iy5kp_8dty2Dxg8zpyNG-M7g2gWpVyE7-QhQe5BJ0lA4nG_FR9X-dYgFcV2YIt41KXzi4dz5nHvWix-aXhaI4ePm-QggIlRFbtD9XtlMmDakdJijw-7vO8mtBxObvhoe9rIH-rnD8i00TqwParXTLjJ_xEsBPyMOynZNTXc8NYEDxyA8s5k-o7RXcCYEh7tIhXaYpq6SIUAZpP09KNVT4pdj9K36flxBhFLy9mIRMyWvrU7K5Zcq6cKk05DYDmel3Si_Zt5z-hCslqxIXapSgQSKhvGm2X-ugcweB3Q-eaDRSZdE5QCovUNmPXIhwKfFcVJ6Fp7mP0JEFWIijQ-3MRTp6mo7dQMNECDzukMb9kaUTKlTu-Vst7BsPu9drRrGURa2bxzm2z-aZcuxpe72_heqmzWNu_MH2luoPksGpp-5Kjlb4wNs2JRCXJmMUSS7tFOH0HDbe9BWeyWUTFsfVOlNGxtRjz49J1z7eZppJYFh1J4Qc_isd61ALH_ZpHFOu5phz8HpnCx-rJcoeYas53zOmKwMOfhj4tEH7efUwgYDP1-LJTt0w6rzk=w480-h360-no


Na hii chini niko kijana Paris 1993 na navaa kama vijana wanavyovaa kwa umri
wao unavyoruhusu tena nipo Paris Central Mosque 1993 nimekuja kusali.

R6C8a7km-YmWQVzxU-s5fsYEyvGilxIvLOjU60FQ36Ucjvu9zGKnuBGO_W6hSSZtn4lzn17T0vag8UKIx0VTKN2UI9XmfEg30tEk_EG2U-h7neEH_BFA-uuEubgpKDQIsgumcR9AyDVBqVfYyUeXRDGg_7e5No87Ohb_l9bO74r4YQQ5jsr6h28MP1xj7VlEW1fs5XLksAaYWXX6JohoxwUzPsiKQuBbBln_jeQIeQhMgMhm1Ve9SzoRWZx_fLdiJs_zyB5z3BEXmTxpgZWVGhnRuS1J6PiqhO4J6MyUGhCC3FuDsvUXomHK3DwF877AT-wyQ1p_h8_peWeARoXzuQhkKLQI8ehkM_05hMHYCWdpyAvSLnGoUlPziWKjJrpkIApXmqBasjOpGS3gk-uwjUawGMfCRhoYub1XWqILxAI3FWc6MLegmoGDhlKs5cj1GJBULjwi1T_llsFh7vssp3gvx10XunS_qdOUvBIbzXqYORfLW0IYLQEf2LqbBomOj9jl4FK4c8ZQyDOez9hdgVbY7j4Dr3RTxZtQw30nSPfd1JCQdOIZzcWZW4OxMQx1Lkf11g=w435-h643-no


Angalia sasa mtu mzima 2011 niko Paris nimevaa vipi:

0cY2PIJqs1fsxbc4Jwihmh2Bwu4eDI4U8mk5iReQiHCw2QE_Ll47fVLNZReZ7vWS4sACWUY1r6BPST67sWJbnJITNEgNIJDIp9naT6Rbp6RJNnfE7b4sXCvJdtHUQsOjojSrloAFcXacTEgdRm0mUtUQU5z6b1ASBoZ8ZyEItj3OY4z2-dI6wbQ53-BuhQFooAKxNFcBEMZvQI3mIdnE-LlnBP3ygjUnR3ubUxSHvur0mSBdEsX-L7wVOHA9Aa8HelYIWdDAFxmGoIpiEQq-gD3McTnPlyRJxEcR_vWPyDuF9oY-skgKBhxKO3fYY5KcvWfJ59NmjG1phmSPMSWUx43qT_RPlJT-rgWTopy2lsfWc7nsopwZop0Bds7LX0tkksiyFVmfDUGGDqR9qpUY9jHOLO6aQAiPxCoYVIUQbf9RamOdQxB0Y_d5ohJ1P273uzqEUrw__IN_u7q-vGYvxQPo0bu9EQI6TVELFghHx20B6WAnltvb4H9t_u0ovxHWqi8zn9XnIv5y6HAgbYHKt9NpAyOOkvLWsyS63OY00rM9A-Igry88kmn_fY76pLOMy5KzGZmfKhOuPLoCBuFQ6U82IF0hmHurlzrhn3wwz_0=w360-h480-no


Hapo chini niko Cape Town:
2016%2B-%2B3


Hapo chini nipo Hamburg Train Station nitachekesha kama nitakuwa
ndani ya suti ya Yves Saint Laurent (YSL) au Gucci.

EurK5V7ydkyGww-bRuXK85XUhZfPTBj6qsjOtG0oUergGnqmh--JSL_FRfoJytfORqXQTaDJFBqswEUQ5qV129rtDY78qiSvt8mwHBpd-Z0GlKXWOpJ1mDq_RfClI7PwL-Ztbcur7rhpnFA5n5uwBxy1K8-2kO83EhDs2abXoLW10__Cvdp1NDK4fJ18Q9zX4D4Ym15u5pckYBuwkIVXQDUlKybOrRXP7m2X9mnsIRlsqY72Q-gDvDcY1maNUpWjeaZsP43KsX4Om7C8gasko9q3LMCuQmayiKyDNwd9uxLlFc6Y_t_NLalU6uq4DTa3YdKNcQCezWdXZpWvpJxrDsprCYWlDidSmXZK5unHX7kOtKlo_lfMjmyqaBjSmMfVzrWbkvuY51i9Un3-L7BUF6Abt_Ebf-bRRMwJccK4oU9cWGvWuXrAxlcNW0WE0QcTR9mfPK-vTACPJahi-pTcksAJp3GRHzj81ISBmfNmgNcCXvAiD68AUwUapD6NyIAxvF47GfIhVT-g3XgJmSU4ceuARFbGWpZ6-P8RHOI_4e_olFw3-f01xpRqMLr26eV3s18txbOifxbNU3XdkTtg_AEk8E03Tb6o-Nhy0FaAetg=w360-h480-no


Tungeweza kuzungumza mengi katika mavazi lakini naamini kwa mifano
hii utakuwa umeelewa.

Kuhusu sheria ya ugaidi Nigeria mimi sikusema uongo.

Wakati nazungumza Chuo Kikuu Cha Ibadan mwaka 2006 sheria hii ilikuwa
bado kupitishwa.

Hayo mengine nitakuwa kimya maana naona ndugu yangu sijui niite hasad au
kitu gani naona unapandwa na mori na chuki dhidi yangu pasi na sababu na
unanishambulia.

Umebeba joto kali katika kifua chako.
Huu ni mjadala ndugu yangu usikuathiri kwa kiwango hicho.

Niko Makka:

Od6-LouZlN4b-UtEzV_Qt5bzHwonITzOH65L9T4BvsqCsoUjvb9GK9SQNnXyvQ245j7kfg3pPpFRPgQN0gZoaQ3L3xz2AD-kgVfUiUpqqJu5AO7tbnN-wqNb3vC2St5SoHAU2EQmukKWryxMZpqeCZnISCnMGkwpDu2SY70DoKtvnjOvkQZ7iM01lWCSqDzpGBGRTYUVTHLVLg-QiSKPAjSWLL5ZL4fuU6R8_hvMYAEP2rRcSQd7oT-zyQDoCar3kzf6kLLS4yNOtEnt1nGB7OyhfxfVyW6stSXDZ1RrJXTrDzRzOeGdLxZNTV73iOT17sFNxgwY-JdzmzxwkgVGCPqD92VZTrwsEGQoRJNBNw6FgFsdhMKrKe_rRD1mfF7At92R9E95op903T9EmNpCS39K58fk1TICixcxsQejAQfF8izNJiLGlN8TDHMptDa84uhgrE7kDrDdPcxsbGU_U_GXmhKOg7jm3mntxaiDuVLJ_-oFujXV3w85w0wPPz9OUeaNanENJsyQQ4VEqt2diZQmYI-Bm-RJM6e5tl0zoj9mHXIshmsTalYqqTd1J-Y_rifghloumOttYtf_W7HI0vtxPHifEC0uhm8PdBVyMF4=w1119-h630-no


Nilikotoka:

GCGy6U6qqXiXv7Y4uWgjgd4DXep3p622ZwEDEvFdpnsf_OS4_LCTUYTSUEyq_fZLi22yLbEsklvB6jAxXoj45vQ0ICLOXMokuIresjDiCX4JGUgnI32LZJFkm7f7HK-iQZZ7TEiLy_cAWW2S85NBHh4g3UZwUvCrJ3sNNhGRy22WVvnyt3H8yH4iHDXNgbjU1F74RtwfMlS-EBbqfFl-oiIWd4MZPJy56USDmfTOlcicDSsdenYGb0uvNO6TNGqQ8f7FqbW7OsO2ajx7WW6b8Tljz-UHRZzFRhNZ9hDraZEyHCh-S0zLxErFUUt7faRjQ0KFM81VKfETsG2LUxg7hKUSTArozycoMK91wuLyt2k3bGRahRskoYWvHxCqr7k_TpwzMyFbFTeEuZn8pphrxaw6QIAqlcym1ki_Xm568jSe3i8WoaRWnT-yI17C_8RnjfJpgh_aBZC51-qX_JYjQZLc4Zmwux0NIhOk_R1Sqs5-ezQd7RRGh7cvAM1aRIezHHjbGIBX5CtMUMn-RDvpqDyFhSlzcczSbH_tNEWUkGiAk48p_uqdya3VmWMmqRdMYvW7Cxo4A7moKNe6To-A5mEvqkRcVJfN9pYcMNXqTsM=w416-h630-no
 
Umesema Nigeria walikwambia kwamba, unlike Tanzania, Nigeria hakuna na kamwe hakutakaa kuwepo sheria za anti-terrorism.

Umeonyeshwa sheria unasema safari yako ilikuwa mwaka 2006.

Simple question: Ulipoleta hadithi yako February 2017 hapa JF, miaka 11 baada ya kutoka Nigeria, ulijua ama hukujua kwamba kwa sasa sheria hizo zipo?
 
Kwameh,
Mie sitobadili majibu yangu wala sitakuja na ghadhabu na kejeli kwako.

Wala hapana haja kwako kuja na maneno makali ya "kufyata," na mfano wa hayo.

Najua fika nini kinakula nafsi yako.

Hukutegemea haya kutoka kwa mtoto wa Kariakoo na hili nalisema kwa kurejea katika kibri na dharau uliyoanzanayo kwangu.

Umeshtushwa sana na ukweli uliokudhihirikia.
Unadhani unaweza kunifedhehesha.

Umejaribu na taratibu umeanza kutambua na kufahamu unachokabiliananacho.

Basi yapo makubwa zaidi na wala sitofanya haraka kukufahamisha.

In Shaa Allah nitakujibu taratibu na kwa ustaarabu.

Mimi nimesoma ilm ya mnakasha yaani majadiliano katika madrasa na maalim wangu ni marehemu Sheikh Haruna.

Katika moja ya sheria za mnakasha ni adabu.

Kumpa heshima yule unaemkabili katika mazungumzo.

Hutakiwi kuonyesha kiburi, dharau wala kumtusi.
Ndiyo maana mimi sikukejeli wala kukutukana.

Lakini umeniongezea kitu kuhusu haiba tabia yako na ulikotokea.

Unatofautiana nami kwa mengi na kubwa ni katika adabu.

Wewe umeweza kunitusi mimi.

Hata mie ningeweza kukutukana lakini tofauti yetu huenda ikawa mimi mama yangu kanifunza adabu udogoni na chuoni Sheikh Haruna kanifunza adabu pia.

Mwenzangu huenda hukubahatika.

Mimi nasimama mbele ya hadhira kubwa katika vyuo vikuu kadhaa ndani na nje ya nchi nazungumza na naulizwa maswali na nayajibu.

Hebu rejea kwa nilikopita na nilivyoandika katika haya tunayojadili.

Wewe mwenzangu uwanja wako ni hapa JF umejificha nyuma ya keyboard na unadhani unaweza ukatukana, ukakejeli na kusema lolote hakuna akuonae.

Mimi naandika na najibiwa na watu wenye ufahamu mkubwa wa somo lenyewe tena kwenye "journal" maarufu duniani kama Cambridge Journal of African History na wanaonijibu ni wasomi wa sifa kama John Iliffe, Jonathon Glassman, James Brennan na mfano wa hao.

Wewe huko huwezi kufika hili nalisema kwa uhakika kwa kupima unayoandika.

Hapa ndipo ulipo upogo yaani tofauti baina yetu.

Haya yote yanakuchoma moyo na kukuzidishia chuki na hamaki.

Kuhusu swali lako la Sheria ya Ugaidi ni kweli mzungumzaji alisema Nigeria haitapitisha sheria hiyo na kama sheria imepitishwa hapana neno wala mie sipingi kupitishwa kwa hiyo sheria.

Nimeeleza lile nililoambiwa.
Umeiona hiyo picha yangu ya utoto.

Picha hiyo kanipiga marehemu Mzee Shebe 1952/53 studio yake ilikuwa mkabala na nyumba yetu Mtaa wa Livingstone na Kipata.

Mzee Shebe TANU ilipoasisiwa 1954 akaja kuwa mpiga picha wa kwanza wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
 
Mm ninaposhindwa kukuelewa mara nyingi ni pale unapotumia karata yako ya udini, nimeshasimamishwa mara mbili kwenye kiwanja chetu kichovu na mm ni mkristo na mwisho niseme maswali niliokuwa naulizwa ni ya kipuuzi sana na watu wa usalama na hata kutishiwa kwamba wao wana uwezo wa kuzuia safari yangu lakini majibu yangu yalikuwa ya kuwafanya wajione ni watu wajinga sana ...nafikiri kwenye kichwa chako una pattern za kuunganisha matukio ya maisha yako na madhila mengine na imani yako! If that’s the case, sidhani kuna tiba katika hilo.
 
Sheria ya Ugaidi ni kweli mzungumzaji alisema Nigeria haitapitisha sheria hiyo na kama sheria imepitishwa hapana neno wala mie sipingi kupitishwa kwa hiyo sheria.

Hupingi sheria ya ugaidi ?

Soma maneno yako hapa chini Mnafiqun mkubwa!

Baada ya kuwalani Waamerika sasa nikaigeukia serikali ya Tanzania na kuishutumu vikali kwa kupitisha Sheria ya Ugaidi. Hapa nikaeleza kuwa Waamerika wasione kuwa Tanzania imepitisha sheria hiyo ya ugaidi kwa haraka kwa sababu Tanzania ina tatizo na ugaidi. Nikaeleza kuwa sheria hiyo imepitishwa kwa sababu Bunge la Tanzania limehodhiwa na Kanisa na kupitishwa kwa sheria hiyo hakuna uhusiano wowote na ugaidi ila Wakristo wamepata fursa ya bure ya kupambana na Uislam

"....nikaigeukia serikali ya Tanzania na kuishutumu vikali kwa kupitisha Sheria ya Ugaidi....

...nikaeleza kuwa sheria hiyo imepitishwa kwa sababu Bunge la Tanzania limehodhiwa na Kanisa

... Wakristo wamepata fursa ya bure ya kupambana na Uislam"


Hayo maneno yako hapo juu utayala au utayatapika?
 
John,
Hapana mimi naeleza kama ninavyokua kutokana na uzoefu.

Naamini kabisa kuwa wasingeweza kumfanyia mtu aliyetokea
Vatican haya waliyonifanyia mie.

Juu ya haya sikukatazi kuwa na fikra tofauti.

Kwanini uamini wasingeweza kumfanyia mtu aliyetoka Vatican yaliokukuta ww? Uzoefu gani unaozungumzia? Kwamba watu wanaotoka Vatican hawasimamishwi?!

Labda ungekuwa umetoka Saudi Arabia kuhiji huko ukasimamishwa na kupekuliwa na kuhojiwa ningeshtuka.
 
Kwameh,
Kwa lugha ya Kiarabu umekosea kusema "munafiqun."

Jitulize tufanye mjadala wa kupendeza na hili jamvi linawiri wasomaji wanufaike na ilm zetu.
 
Mtoto...
Hakika hakuna jipya katika haya ninayoandika.

Kitabu changu cha Abdul Sykes sasa ni mwaka wa 20 toka kilipochapwa
London.

''Paper,'' zangu na makala ni nyingi sana wala sijui hesabu yake.
Mimi sina ''inferiority complex,'' kwa kuwa si mnyonge kwa lolote lile.

Wala simuogopi yeyote ila Allah.
Ushahidi ni huu niko hapa kwa jina langu halisi na nakuwekea na picha.

Muoga ni wewe uliyejificha nyuma ya jina lisilo lako.

Waislam sisi Allah katufunza katuaambia tusidhulumu wala tusikubali
kudhulumiwa.

Sasa mtu unaye onekana successful kama wewe inakuaje una woga namna hii au ndio uswahili? meaning wale wa nyumba ya jirani wakipika pilau basi upande wa pili wana nuna ,kwani umetoka background gani ?. haiwezekani uanze kuhususha ubaguzi wa dini na masuala yalio kukuta.
Kama msafiri na mtu uliye na exposure unatambua kabisa nchi uliyo tembelea ina husika na masuala ya madawa ya kulevvya hata ukiwa singled out , haimaanishi ni personal, ni moja ya kazi zao katika kupambana na janga hilo la madawa ambalo hao waislamu wenzako wengi wana taabika na kuteseka humo kwa wingi ,hapo nimetaja waislamu wenzako sabab ina wezekana wewe ni mmoja wa wale watu wanao dai ndugu ya mwislamu ni mwislamu ,ila ukweli sote tuna athirika na janga hilo la madawa kwa tu tunao wajali .
Msomi kama wewe achana na ma wazo hayo, iko siku usomi wako utakuja kuwa ni bure , kwani hauta hubiri kingine zaidi ya kupambana na makafiri na mfumo kristo, je utapoteza vijana wa kiislamu wangapi walio aminishwa na wewe kwenye vita vya jihad isiyo halali?
 
Mm ninaposhindwa kukuelewa mara nyingi ni pale unapotumia karata yako ya udini, nimeshasimamishwa mara mbili kwenye kiwanja chetu kichovu na mm ni mkristo na mwisho niseme maswali niliokuwa naulizwa ni ya kipuuzi sana na watu wa usalama na hata kutishiwa kwamba wao wana uwezo wa kuzuia safari yangu lakini majibu yangu yalikuwa ya kuwafanya wajione ni watu wajinga sana ...nafikiri kwenye kichwa chako una pattern za kuunganisha matukio ya maisha yako na madhila mengine na imani yako! If that’s the case, sidhani kuna tiba katika hilo.

Hiyo hakika kabisa, hata mimi imenitokea , nika simamishwa na sio Tanzania pekee hata Kenya walinisimamisha na huku jina langu la kikristo, siku feel chochote zaidi ya kuona wana fanya kazi yao , ingawa pia niliwaona wajinga kwa maswali yao.
 
Exactly!

Makka unavaa vibarakashia na kanzu.

Ukienda Manhattan unaufyata! Usije kuonekane illiterate Jihadist.

Acha kulionea aibu vazi la Mtume ukishuka kwenye ndege Ulaya na Marekani.

Nimeshangzwa sana na maamuzi yake ya kuficha identity yake kwnye mavazi, Nimesha safiri miji hiyo mikubwa nimeona wengi wakiwa kwnye mavazi ya kiislamu ,kwanini yeye afiche, huyu ana lake jambo moyoni .
 
Sokwe,
Sina tatizo na maelezo yako lakini uzoefu wako na wangu ni tofauti sana.

Wala mimi sina karata ya udini.

La unataka tulizungumze tatizo hili mie niko tayari.
 
Hupingi sheria ya ugaidi ?

Soma maneno yako hapa chini Mnafiqun mkubwa!



"....nikaigeukia serikali ya Tanzania na kuishutumu vikali kwa kupitisha Sheria ya Ugaidi....

...nikaeleza kuwa sheria hiyo imepitishwa kwa sababu Bunge la Tanzania limehodhiwa na Kanisa

... Wakristo wamepata fursa ya bure ya kupambana na Uislam"


Hayo ni maneno yako hapo juu

Kwameh,

Nikisoma jina lako unanikumbusha Nkrumah wa Ghana.
Nimesoma kitabu chake, ''Challenge of the Congo,'' nina umri wa miaka 15.

Siku hizo Maktaba ya Taifa imesheheni vitabu.

Hayo hakika ni maneno yangu lakini umefanya haraka kutoa hukumu na
umechagua uishie wapi.

Soma hadi chini kidogo nimeeleza nini kilitokea baada ya sheria ya ugaidi
kupitishwa.

Waliokamatwa ni Waislam ambao wamekuwa wakisaidia maendeleo ya
Uislam Tanzania.

Baada ya muda waliachiwa kwa kukosa ushahidi.
Hii maana yake nikuwa hawakuwa magaidi.

Naamini unaelewa kuwa sasa muongo mmoja umefika na hakuna hata
Muislam mmoja aliyekutwa na kosa la ugaidi.

Hii nini maana yake?
Jibu utatoa wewe.
 
Sasa mtu unaye onekana successful kama wewe inakuaje una woga namna hii au ndio uswahili? meaning wale wa nyumba ya jirani wakipika pilau basi upande wa pili wana nuna ,kwani umetoka background gani ?. haiwezekani uanze kuhususha ubaguzi wa dini na masuala yalio kukuta.
Kama msafiri na mtu uliye na exposure unatambua kabisa nchi uliyo tembelea ina husika na masuala ya madawa ya kulevvya hata ukiwa singled out , haimaanishi ni personal, ni moja ya kazi zao katika kupambana na janga hilo la madawa ambalo hao waislamu wenzako wengi wana taabika na kuteseka humo kwa wingi ,hapo nimetaja waislamu wenzako sabab ina wezekana wewe ni mmoja wa wale watu wanao dai ndugu ya mwislamu ni mwislamu ,ila ukweli sote tuna athirika na janga hilo la madawa kwa tu tunao wajali .
Msomi kama wewe achana na ma wazo hayo, iko siku usomi wako utakuja kuwa ni bure , kwani hauta hubiri kingine zaidi ya kupambana na makafiri na mfumo kristo, je utapoteza vijana wa kiislamu wangapi walio aminishwa na wewe kwenye vita vya jihad isiyo halali?
Mtoto,
Mimi si muoga.

Ningekuwa muoga nisingeandika kitabu cha maisha ya Abdul Sykes
tena kwa wakati ule sasa zaidi ya miaka 20.

Nadhani nimekieleza kisa kizima na sababu za mimi kukamatwa.
 
Mm ninaposhindwa kukuelewa mara nyingi ni pale unapotumia karata yako ya udini, nimeshasimamishwa mara mbili kwenye kiwanja chetu kichovu na mm ni mkristo na mwisho niseme maswali niliokuwa naulizwa ni ya kipuuzi sana na watu wa usalama na hata kutishiwa kwamba wao wana uwezo wa kuzuia safari yangu lakini majibu yangu yalikuwa ya kuwafanya wajione ni watu wajinga sana ...nafikiri kwenye kichwa chako una pattern za kuunganisha matukio ya maisha yako na madhila mengine na imani yako! If that’s the case, sidhani kuna tiba katika hilo.
Sokwe,
Angalia hapo chini kisha nieleze nani aliye na karata ya udini:

9k2dCQMOO_DAbcnpBwMsRF9wBd64KxhMmXx2nW7PZE84iEwJEv_5dPS_964z6x1bWQHYD02o0M4nwmjGTuqdeugB7N95N2f_6TbO36pKo0_f4GTy3C-5l-adwdFA0njm11GcivctEP5DwGJf4NhLsGiLN7iAc6rVreSROalWDCwuFJv3UUWUtvVgE29xz--xFQB7qAnA8PTRJ4lHrV8fBn5OVtmfYuKoupzq_fANF9i8S_XFH7Hrj1WcYpd3W9-ANbsgs2-_HbjuSxsxrSaUSlT5Ia8-oBJSuBG7lEGPSkn1_d91Cba2WjzgEP3KiHamRt5rtYWr9RmRKleicCmMKcjHK9evSs-h260gigp-ir1KNbt-uT7yvuSYAPCs-Azm9lRLd1FveXBOIIltciZ24-VcEr_WLA83JAnwM9uCaRVFfMSvK2wkoENv5FEBOuM2NvKl5E6vw4oA493sw0ypUsG06at_6hPa_0i2Kcl5oyOFeKZABrg07_lz2OPlT7wa1YOaq4jV00P57gKdRZPz7x76kVXGI8xfIzDYbonn50-WA-tyiRY1Mi14GyGmz8aopen1XuIoNFu4WLRfHTqTZnrYWuz9ZOUdniWbOLdwXuY=w340-h483-no


HY3ULnN8c4N2OQ0tcvkUqzw-D45NOb559_Uc-9LdPhuo8QYhYem_eAbiRwQWONy-e1_LAbICfq_vfRNx4joSNIc56uo3Sa9ijs4pS1Pd8OzouJI7Tjz0AHKlO9in1rdzNGjeWUvjW0R0Amxu-3MS9mUirbhCsHMCvEe4sDUR-dLY9s4U4xJVGCMpOlRu6RfeI9R8IHkyon6dNA2gYhcx3f1bIv2tPVIbmULfU594AYwxOoaQ9DRZgf1HvGERMcVz9fE1t3Ky9qMZldnRR-zfFovEVeI44UjZUxTWuLriscew3wxyVoTJUDIbD2mU_aLLCp5iSQpv066ht7c4vuTsBf7AFZOubTcfvToq1XafFw72Lov19CUQcy7uFKE3oRUOcMJ8r8c4hipKrgUJVU1pLIl3FnZpft9tfsquj5-B2J-0RPjVD7UV5nJ6Eibgab6dDrqWdWtHxpvnqM6wVSNpVZFg8JLzrW87206NDfPfY5uyGwZndhpjUtQ6w1GTuwOA4D3Ub2fMUb6xXF-kSO2oM5O5ddZRntAtcfhHrXrasbt38uid5KO5WBc5IfkN9JOQkYAc-yqjFz8xf73KiH3ydhu383hLfFEmSTYmjxoZDAE=w421-h630-no
 
Nimeshangzwa sana na maamuzi yake ya kuficha identity yake kwnye mavazi, Nimesha safiri miji hiyo mikubwa nimeona wengi wakiwa kwnye mavazi ya kiislamu ,kwanini yeye afiche, huyu ana lake jambo moyoni .

Yani yeye Uislamu wake wa siasa kali mwisho Chumbe, akishuka kwenye ndege Europe haraka sana anavua kanzu, vibaraghashia. Kuna benefit anazitaka kutoka Magharibi, hataki kuonekana ni half-schooled jihadist, anapenda kuingia kupiga picha Library of Congress n.k. Akirudi Afrika ana siasa kali. Akienda Uarabuni mujahedeena. Anajijua fika yuko kwenye watch list na anajua akijipindua tu wakamuona na paraphernalia za Kiislamu watamtia kwenye no-fly-zone!
 
Kwameh,
Unaamini kweli kuwa mtu anaweza kujificha kwa kubadili nguo katika hii dunia ya leo?

Mjadala huu ndipo ulipogota hapa?
Unadhani kanzu ndiyo utambulisho wa Muislam?

Unadhani ninapopewa visa ya kuingia America au nchi za Shengeen wao hawanijui mimi?

Kwa taarifa yenu mimi kote huko naingia kwa sifa maalum na kwa mwaliko rasmi.

Sialikwi huko kupiga picha.
Wananialika ili wanufaike na tafiti zangu.

Si kitu rahisi kualikwa chuo chochote Marekani kwani inakubidi uwe na vitu vya maana ulivyoandika ambavyo vimeongeza elimu mpya katika taaluma.

Sasa hii sijui najificha, sijui majahidun inaonyesha kuwa ndugu zangu mie na nyie tunaishi dunia mbili tofauti.

Kuwa Wamarekani wanipe visa ya kuingia kwao kisha mie nikiingia Marekani nabadilisha nguo wasinitambue.

Leo mmenichekesha sana.
 
Back
Top Bottom