Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Status
Not open for further replies.


Sheikh Mohamed Said Abdallah alizaliwa mnamo tarehe 25 Februarikatika mwaka wa 1952 huko Gerezani jijini Dar es Salaam - ambapo ndiko kulikokuwa na asili ya upinzani dhidi ya ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika. Babu yake, Mzee Salum Abdallah Popo alikuwa muasisi wa harakati za vyama vya wafanyakazi na alikuwa mmoja kati ya watu wa awali kabisa kuanzisha upinzani na kuunga mkono hoja ya kupinga utawala wa kikoloni. Mwaka wa 1947, Mzee Popo aliongoza mgomo wa kwanza nchini Tanganyika katika majimbo ya kati nchi uliopangwa na wafanyakazi wa Tanganyika Railways. Tanganyika ilipopata uhuru wake mwaka 1961, Mzee Popo aliachana na mkono wa Nyerere kama jinsi wengi walivyofanya na alitiwa kizuizini na serikali kwa ajili ya msimamo wake wa kuwa vyama vya wafanyakazi sharti viwe huru. Akiwa mwenyekiti wa Tanganyika Railways African Union (TRAU) alipinga vyama vya wafanyakazi kuwekwa chini ya Tanganyika African National Union (TANU) chini ya Rais Julius Nyerere. Sheikh Mohamed Said ana shahada katika masuala ya Sayansi ya Siasa kutoka katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Vilevile ana Stashahada katika masuala ya Maritime Studies kutoka katika Chuo Kikuu cha Wales huko mjini [[Cardiff, Uingereza na nyingine ya BIMA kutoka katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha cha Dar es Salaam (IFM).


Utafiti juu ya historia ya uhuru wa TangayikaEdit

Mohamed Said amefanya utafiti mwingi sana juu ya historia ya uhuru wa Tanganyika, historia ambayo kabla ya utafiti wake ilichukuliwa kama iliyohitimishwa na ameweza kufukua mambo muhimu ambayo yalifichwa katika historia iliyokuwa ikitambulikana rasmi. Alianza kufahamika zaidi katika miaka ya themanini kupitia makala zake za kusisimua zilizokuwa zinahangaisha fikra za wasomaji kwa kufichua yale yaliyofichwam zilizoelezea mchango muhimu wa Waislamu na Uislamu katika harakati za kupinga ukoloni katika Tanganyika na khiyana waliofanyiwa Waislamu na serikali zote mbili, yaani, kabla ya uhuru na baada ya uhuru - jambo ambalo kwa wakati ule lilikuwa mwiko kufanyiwa utafiti au kuandikwa. Makala hizo zilipata kuchapishwa katika magazeti na majarida maarufu barani Afrika na katika magazeti ndani na nje ya Tanzania. Baadhi tu ya makala zake za utafiti ni pamoja na "In Praise of Ancestors" (1988), "Africa Events (London), "Abdulwahid Sykes: Founder of a Political Movement" Africa Events - London (1988), "Islam and Politics in Tanzania" (1989), Al Haq Internation (Karachi), "The Plight of Tanzania Muslim" (1993) Change (Dar es Salaam) na "The Secular Unsecular State" (1995) Change (Dar es Salaam).


Tazama piaEdit



Viungo vya Nje

Chanzo: https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Mohamed_Said

Huyu Mohammed Said akili yake imepinda.
Dunia anaiona katika miwani ya uislamu, si mbaya, lakini ni mfitini mkubwa.
Na anaipaka matope dini tkufu ya Kiislamu kuonekana ni ya wafitini.
 
Asili Mia 95% ya Wazanzibari ni Waislamu, Zanzibar ni nchi ndogo sana,kuna dini ya Hindu,Wakristo na WACHAWI.. lakini cha kushangaza ni Wakristo tu ndio wanaolalamika kuhusu Mila na Tamaduni za Zanzibar

Wazanzibari ni lazima wajilinde ili ITIKADI, MILA na TAMADUNI zao zisipotee..
Ukisikiliza hotuba ya chuki za kidini aliyoitoa LUKUVI akiwa kanisani hapo ndio utawafahamu

Ni haki yao kwa Wazanzibari wafanye hivyo, DEMANDING za Wazanzibari ni moja katika mbinu za kulinda hatma ya nchi yao na vizazi vijavyo
Australia 95% sio waislam ila uliona walichokuwa wanataka hao waislamu??
 
Sio Zanzibar tu (hiyo ya Zanzibar ni cha mtoto mtu aende Pakistan, Iran au Afghanistan akaone cha moto) nchi zote za Kiislamu sheria zao zipo hivyo. Hio hali eventually itaenea dunia nzima.

Kwa mujibu wa Vitabu vya Daniel na Ufunuo wa Yohana; Uislamu ndio itakuwa dini pekee itakayoruhusiwa kuwepo hapa duniani kabla ya ujio wa Bwana Yesu Kristo. Na wakati huo ukifika kutakuwa na option mbili tu: ama uwe Muislamu au UFE. (Kina Kiranga na atheists wenzako option yenu haitakuwepo kipindi hicho). Ndio maana hakuna Muislamu asiesema "uislamu unazidi kukua na ndio dini pekee itakayobaki". Sentensi hiyo sio ya kweli per se maana kutakuwa bado na watu watakaokubali kuchinjwa kuliko kuacha Uyahudi au Ukristo wao. Kabla ya (Wakristo na Wayahudi) wote kuisha Bwana wetu Yesu atarudi na kuanzisha Utawala wake usio na mwisho.

Alichokisema Bwana Yesu kwenye Marko 8: 36-37 ndio hasa maana yake. Chagua uislamu ili usife na utakuwa umepata ulimwengu lakini kwa gharama YA NAFSI YAKO.
Jiandae ndugu kiroho.
Mkuu, unajua nini maana ya neno "ISLAM"?!
ISLAM ni neno la kiarabu lenye maana kwa kingereza "Total submission to the willing of GOD"

Kwa Kiswahili "kujikubalisha moja kwa moja kwa Mungu bila pingamizi yoyote"

Katiika kitabu cha Tora/Taurat, chenye maana ya SHERIA alichoteremshiwa Musa aka Moses, Sheria ya mwanzo inasema
"O Hear Israel, The LORD our God, the LORDs is one"
kwa kiswahili cha moja kwa moja "Mungu wetu mmoja" Euteronomy 6:4

Jessu aka Yesu alipoulizwa na wafuasi wake Sheria gani ni bora zaidi aliwajibu kama maneno sheria za Musa "The lord our God, the Lord is one" maana yake "Mungu ni Moja"

Mohamad Mtume mwisho kuteremshwa, wakati ndio kwanza anaanza kuutangaza Uislm alitembelea na watu watatu waliotka kujua ni nani hasa huyu Mungu anaemtangnza..

MMuhammad aliwajibu kwa kiarabu "Allah ahadu, allahu samad......"

Allahu ahadu = The lord our God is one = Mungu ni mmoja..

ISLAM ni kujisalimisha kwa Mungu, Muislam ni yule aliejisalimisha kwa Mungu,, kama alivyofanya Musa aka Moses, Isa aka Jesus aka Yesu na Muhammad..

Nategemea na wewe." You will be total submited to God", Utajisalisha kwa Mungu = Islam
 
Mimi hata sio Mkristu ndugu
Na kama unasema eti makundi mengine yanaishi kwa amani na Waislam pengine hujui kinachoendelea kwenye hii Dunia

Unaifahamu Historia ya India na Pakistan, Wahindu vs Waislam? Au Wabuddha vs Waislam?
Nafikiri tunazungumzia Zanzibar, hao wengine utamaduni wao ni kuuwana..
 
Hizi teuzi zilizojaa udini zinazofanywa na utawala huu ni ushahidi mzuri wa hii video.
Nchi hii inanuka udini
 
Hongereni kwa,hili bandiko. Nimepitia comment zote na kusikiliza clip. Kimsingi Waisalam bado MNA hisia za kuonewa tuuu! Si kweli. Tufanye maendeleo ya kwenda MBELE. Tanzania si dsm pekee. Huku mikoani kuna waislam wengi tu ambao wanaangalia maisha. Siku moja niliwaambia Halmashauri inauza viwanja, wenzenu RC wameomba viwanja vya Makanisa na makazi na wamelipia kila kitu, wao wanataka kwenda mmoja mmoja. Nawaambia ndenibkm taasisi. Wanasema wao si Bakwata. Ikawa shida, wamechelewa wenzao wamepata eneo kubwa, na sasa idadi ya wakszi imeongezeka wamejenga kabisa kubwa sana. Lawama zinaanza wanapendelewa. Wao wanaswali kwenye msikiti mdogooooo!!
 
Sema neno taf
Mkuu Dada yangu, nikuzimiaye, Faiza Foxy, kwanza asante kutuletea hii clip ya Redio Kheri, yenye maurongo wa Mzee wetu na member mwenzetu Maalim Mohamned Said, maana bila wewe kuileta humu, akina sisi, tusingejua jinsi mnavyodanganyana humo na kufanya uchochezi kwenye hizo redio zenu za dini!.

Nimeisikiliza yote nikakuta ...Du...!, mnapigwa kamba kweli kweli na Mzee wetu huyu...
huu ni muendelezo wa ule ule urongo wa siku zote wa uchochezi wa udini, kusingizia kitu cha urongo marehemu kina karma kali sana!.

Japo namheshimu sana Maalim Mohammed Said, kitu pekee mimi ninachotofautiana nae ni matumizi ya takwimu za urongo ili kupush forward agenda zake ovu za uchochezi wa udini.

Kwenye mahojiano hayo, ameongopa kuwa 76% ya wabunge wa Bunge la JMT, ni Wakatoliki,18% madhehebu mengine ya Kikristu yaliyobakia, halafu Waislamu ni just 6%!. Huu ni urongo wa kiwango cha lami mchana kweupe. Mtu huhitaji kufanya sensa ya Wabunge Waislamu kujua huu ni urongo, bila hata sensa, Wabunge wote kutoka Zanzibar ni Waislamu ambao kabla hujawajumlisha wabunge Waislamu wa bara, hao Wanzibar tuu wenyewe wanafanya theluthi moja ya Wabunge wote!. Huu ni urongo!.

Hata kwa kutumia tuu just ordinary common sense, inakuja kweli akilini, 76% ya wabunge wakawa ni Wakatoliki?!,this doesnt make sense to me, this is non sense, just bull shit!.
(ashakum for this)

Ukiwa na asilimia 99% ya ukweli, na just 1% ya urongo, huo urongo una nullify ukweli wote wa hoja zake kuzifanya null and void ab initio.

P.
 
Nafikiri tunazungumzia Zanzibar, hao wengine utamaduni wao ni kuuwana..
Nimekutolea hiyo mifano kuonyesha tu ni trend ya Waislam Duniani kote, wanagombana na kila mtu na wakiwa wenyewe wanagombana pia

Nigeria, Sudan, Somalia, Mali, Saudi Arabia kote huko wanachinjana, wanachinja wasio Waislam au Waislam wa madhehebu tofauti
 
Daah Faiza tangu nikujue kupitia humu ni siku nyingi sana ila mpaka leo bado naendelea kukushangaa unaposemea au kujadiri mambo ya siasa huku ukiendekeza udini.
Hakuna chama kilichokua kua cha watu waliojinasibu kupigania Uhuru katika mtizamo wa udini tofauti na UMNUT..unaposema kua TANU kilikua chama cha Kiislamu unatukosea na kutudanganya. Leteni objective History ila si hii ambayo imechafuliwa.
 
Nyerere alibebwa na Waislam kufika alipofika kisha akawageuka Bibi Titi Mohammed alimfunga kifungo cha maisha kwa kupingana nae baada kumuona ameageuka.

Jina la Bibi Titi likaondoshwa katika historia ya wanaharakati walio dai UHURU wa Tangannyika.

Mwinyi kwa kuujua ukweli ndio aliekuja kumwachia huru na angalau akapewa jina la Mtaa mmoja kama kumbukumbu ya juhudi yake.

Takadiri (ambae mchonga akampachika jina la MTAKADINI)
Vilevile ni mfano mwengine wa wahanga hawa wapo wengi.
Unaweza kutuambia ilo kundi la Waislaam liliitwa je?
Je ,ujui kuwa kuwepo ofisi za TANU ukanda wa Pwani ilitokana na harakati ili zifanikiwe haraka?
 
Nimekutolea hiyo mifano kuonyesha tu ni trend ya Waislam Duniani kote, wanagombana na kila mtu na wakiwa wenyewe wanagombana pia

Nigeria, Sudan, Somalia, Mali, Saudi Arabia kote huko wanachinjana, wanachinja wasio Waislam au Waislam wa madhehebu tofauti
Hata Uislam wenyewe ulianzishwa kwa kuchinjana majambia kulazimisha udini.

Muhammad alikufa akiwa chongo
 


Sheikh Mohamed Said Abdallah alizaliwa mnamo tarehe 25 Februarikatika mwaka wa 1952 huko Gerezani jijini Dar es Salaam - ambapo ndiko kulikokuwa na asili ya upinzani dhidi ya ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika. Babu yake, Mzee Salum Abdallah Popo alikuwa muasisi wa harakati za vyama vya wafanyakazi na alikuwa mmoja kati ya watu wa awali kabisa kuanzisha upinzani na kuunga mkono hoja ya kupinga utawala wa kikoloni. Mwaka wa 1947, Mzee Popo aliongoza mgomo wa kwanza nchini Tanganyika katika majimbo ya kati nchi uliopangwa na wafanyakazi wa Tanganyika Railways. Tanganyika ilipopata uhuru wake mwaka 1961, Mzee Popo aliachana na mkono wa Nyerere kama jinsi wengi walivyofanya na alitiwa kizuizini na serikali kwa ajili ya msimamo wake wa kuwa vyama vya wafanyakazi sharti viwe huru. Akiwa mwenyekiti wa Tanganyika Railways African Union (TRAU) alipinga vyama vya wafanyakazi kuwekwa chini ya Tanganyika African National Union (TANU) chini ya Rais Julius Nyerere. Sheikh Mohamed Said ana shahada katika masuala ya Sayansi ya Siasa kutoka katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Vilevile ana Stashahada katika masuala ya Maritime Studies kutoka katika Chuo Kikuu cha Wales huko mjini [[Cardiff, Uingereza na nyingine ya BIMA kutoka katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha cha Dar es Salaam (IFM).


Utafiti juu ya historia ya uhuru wa TangayikaEdit

Mohamed Said amefanya utafiti mwingi sana juu ya historia ya uhuru wa Tanganyika, historia ambayo kabla ya utafiti wake ilichukuliwa kama iliyohitimishwa na ameweza kufukua mambo muhimu ambayo yalifichwa katika historia iliyokuwa ikitambulikana rasmi. Alianza kufahamika zaidi katika miaka ya themanini kupitia makala zake za kusisimua zilizokuwa zinahangaisha fikra za wasomaji kwa kufichua yale yaliyofichwam zilizoelezea mchango muhimu wa Waislamu na Uislamu katika harakati za kupinga ukoloni katika Tanganyika na khiyana waliofanyiwa Waislamu na serikali zote mbili, yaani, kabla ya uhuru na baada ya uhuru - jambo ambalo kwa wakati ule lilikuwa mwiko kufanyiwa utafiti au kuandikwa. Makala hizo zilipata kuchapishwa katika magazeti na majarida maarufu barani Afrika na katika magazeti ndani na nje ya Tanzania. Baadhi tu ya makala zake za utafiti ni pamoja na "In Praise of Ancestors" (1988), "Africa Events (London), "Abdulwahid Sykes: Founder of a Political Movement" Africa Events - London (1988), "Islam and Politics in Tanzania" (1989), Al Haq Internation (Karachi), "The Plight of Tanzania Muslim" (1993) Change (Dar es Salaam) na "The Secular Unsecular State" (1995) Change (Dar es Salaam).


Tazama piaEdit



Viungo vya Nje

Chanzo: https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Mohamed_Said

Hapo ndipo ninapowakubali Katoliki walikuja na Bakwata na sasa waswahili mmebakia historia tu.

Waseminari wa Kikatoliki wameshika hatamu hao akina Abdul wamebakia historia!
 
Boss FaizaFoxy Napenda Mada zako,

Lakini wewe ni MDINI sana na mno.

Miaka nenda miaka Rudi, Tanzania kama Nchi haina Dini, Ila WaTanzania ndio wana Dini.






Sheikh Mohamed Said Abdallah alizaliwa mnamo tarehe 25 Februarikatika mwaka wa 1952 huko Gerezani jijini Dar es Salaam - ambapo ndiko kulikokuwa na asili ya upinzani dhidi ya ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika. Babu yake, Mzee Salum Abdallah Popo alikuwa muasisi wa harakati za vyama vya wafanyakazi na alikuwa mmoja kati ya watu wa awali kabisa kuanzisha upinzani na kuunga mkono hoja ya kupinga utawala wa kikoloni. Mwaka wa 1947, Mzee Popo aliongoza mgomo wa kwanza nchini Tanganyika katika majimbo ya kati nchi uliopangwa na wafanyakazi wa Tanganyika Railways. Tanganyika ilipopata uhuru wake mwaka 1961, Mzee Popo aliachana na mkono wa Nyerere kama jinsi wengi walivyofanya na alitiwa kizuizini na serikali kwa ajili ya msimamo wake wa kuwa vyama vya wafanyakazi sharti viwe huru. Akiwa mwenyekiti wa Tanganyika Railways African Union (TRAU) alipinga vyama vya wafanyakazi kuwekwa chini ya Tanganyika African National Union (TANU) chini ya Rais Julius Nyerere. Sheikh Mohamed Said ana shahada katika masuala ya Sayansi ya Siasa kutoka katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Vilevile ana Stashahada katika masuala ya Maritime Studies kutoka katika Chuo Kikuu cha Wales huko mjini [[Cardiff, Uingereza na nyingine ya BIMA kutoka katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha cha Dar es Salaam (IFM).


Utafiti juu ya historia ya uhuru wa TangayikaEdit

Mohamed Said amefanya utafiti mwingi sana juu ya historia ya uhuru wa Tanganyika, historia ambayo kabla ya utafiti wake ilichukuliwa kama iliyohitimishwa na ameweza kufukua mambo muhimu ambayo yalifichwa katika historia iliyokuwa ikitambulikana rasmi. Alianza kufahamika zaidi katika miaka ya themanini kupitia makala zake za kusisimua zilizokuwa zinahangaisha fikra za wasomaji kwa kufichua yale yaliyofichwam zilizoelezea mchango muhimu wa Waislamu na Uislamu katika harakati za kupinga ukoloni katika Tanganyika na khiyana waliofanyiwa Waislamu na serikali zote mbili, yaani, kabla ya uhuru na baada ya uhuru - jambo ambalo kwa wakati ule lilikuwa mwiko kufanyiwa utafiti au kuandikwa. Makala hizo zilipata kuchapishwa katika magazeti na majarida maarufu barani Afrika na katika magazeti ndani na nje ya Tanzania. Baadhi tu ya makala zake za utafiti ni pamoja na "In Praise of Ancestors" (1988), "Africa Events (London), "Abdulwahid Sykes: Founder of a Political Movement" Africa Events - London (1988), "Islam and Politics in Tanzania" (1989), Al Haq Internation (Karachi), "The Plight of Tanzania Muslim" (1993) Change (Dar es Salaam) na "The Secular Unsecular State" (1995) Change (Dar es Salaam).


Tazama piaEdit



Viungo vya Nje

Chanzo: https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Mohamed_Said
 
Dada faiza, hapo kwa kuanzia huyo mzee mohamed said kasema waislamu walijipanga kuanzisha shule za awali, za sekondari pamoja na vyuo vikuu ila nyerere ndio aliwabania! Swali langu, kwa nini msianzishe sasa hayo mashule na vyuo vikuu????maana sasa ivi ndio rahisi sana kwa kuwa watu wana uelewa miundombinu ipo ya kutosha?
HAWAWEZIII..!!!!


Wallah nakuambia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom