Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Status
Not open for further replies.
Trumpeter anaonekana anaropoka ila yupo sahihi wewe ni kigalula ni mmoja wa waafrika mnaotakiwa kupimwa na kuchunguza kama waafrika waarabu koko wanastaili kuwa binadamu au wapo kwenye kundi la wanyama pori.Binafsi najia ukombozi na vyama vya ukombozi kuanzia TAA,TANU na vilivyo kuwepo kabla ya hivyo ni matokeo ya mashujaa kama Mangi Simeon kokkan laiseri,Mango meli,mangi mariale,mangi shangali na wengine.Hakuna dini ya aina yeyote iliyotaka kuikomboa afrika zaidi ya kuinyonya.
Waarabu na dini yao walikua mbwa na wataendelea kuwa mbwa tu.
Wazungu na dini zao walikia mbwa na wataendela kuwa mbwa tu.
Na misukule inayotetea kuwaabudu nayo ni mbwa tu shame on you unataka kusema uhuru ulichangiwa na dini swine kabisa.
tumbo bro, yaani kutetea tumbo na kuhakikisha shibe inaendelea unaweza lopoka lolote mbona mifano mingi tu,
 


Sheikh Mohamed Said Abdallah alizaliwa mnamo tarehe 25 Februarikatika mwaka wa 1952 huko Gerezani jijini Dar es Salaam - ambapo ndiko kulikokuwa na asili ya upinzani dhidi ya ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika. Babu yake, Mzee Salum Abdallah Popo alikuwa muasisi wa harakati za vyama vya wafanyakazi na alikuwa mmoja kati ya watu wa awali kabisa kuanzisha upinzani na kuunga mkono hoja ya kupinga utawala wa kikoloni. Mwaka wa 1947, Mzee Popo aliongoza mgomo wa kwanza nchini Tanganyika katika majimbo ya kati nchi uliopangwa na wafanyakazi wa Tanganyika Railways. Tanganyika ilipopata uhuru wake mwaka 1961, Mzee Popo aliachana na mkono wa Nyerere kama jinsi wengi walivyofanya na alitiwa kizuizini na serikali kwa ajili ya msimamo wake wa kuwa vyama vya wafanyakazi sharti viwe huru. Akiwa mwenyekiti wa Tanganyika Railways African Union (TRAU) alipinga vyama vya wafanyakazi kuwekwa chini ya Tanganyika African National Union (TANU) chini ya Rais Julius Nyerere. Sheikh Mohamed Said ana shahada katika masuala ya Sayansi ya Siasa kutoka katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Vilevile ana Stashahada katika masuala ya Maritime Studies kutoka katika Chuo Kikuu cha Wales huko mjini [[Cardiff, Uingereza na nyingine ya BIMA kutoka katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha cha Dar es Salaam (IFM).


Utafiti juu ya historia ya uhuru wa TangayikaEdit

Mohamed Said amefanya utafiti mwingi sana juu ya historia ya uhuru wa Tanganyika, historia ambayo kabla ya utafiti wake ilichukuliwa kama iliyohitimishwa na ameweza kufukua mambo muhimu ambayo yalifichwa katika historia iliyokuwa ikitambulikana rasmi. Alianza kufahamika zaidi katika miaka ya themanini kupitia makala zake za kusisimua zilizokuwa zinahangaisha fikra za wasomaji kwa kufichua yale yaliyofichwam zilizoelezea mchango muhimu wa Waislamu na Uislamu katika harakati za kupinga ukoloni katika Tanganyika na khiyana waliofanyiwa Waislamu na serikali zote mbili, yaani, kabla ya uhuru na baada ya uhuru - jambo ambalo kwa wakati ule lilikuwa mwiko kufanyiwa utafiti au kuandikwa. Makala hizo zilipata kuchapishwa katika magazeti na majarida maarufu barani Afrika na katika magazeti ndani na nje ya Tanzania. Baadhi tu ya makala zake za utafiti ni pamoja na "In Praise of Ancestors" (1988), "Africa Events (London), "Abdulwahid Sykes: Founder of a Political Movement" Africa Events - London (1988), "Islam and Politics in Tanzania" (1989), Al Haq Internation (Karachi), "The Plight of Tanzania Muslim" (1993) Change (Dar es Salaam) na "The Secular Unsecular State" (1995) Change (Dar es Salaam).


Tazama piaEdit



Viungo vya Nje

Chanzo: https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Mohamed_Said
Lakini sasa nchi ni ya wakristo.
 
Mkuu Dada yangu, nikuzimiaye, Faiza Foxy, kwanza asante kutuletea hii clip ya Redio Kheri, yenye maurongo wa Mzee wetu na member mwenzetu Maalim Mohamned Said, maana bila wewe kuileta humu, akina sisi, tusingejua jinsi mnavyodanganyana humo na kufanya uchochezi kwenye hizo redio zenu za dini!.

Kwa kuanzia tuu, kuanzia headline ya bandiko hili ni urongo, Tanu hakijawahi kuwa ni chama cha Kiislamu, kuanzia kuasisiwa kwake, hakuna Muislamu yoyote aliwahi kuasisi chama chochote cha kupigania uhuru wa Tanganyika, Tanu ilitokana na TAA, ambayo ilitokana na AA. Muasisi wa AA ni Mkristo Cecil Kalaghe, muasisi wa TAA ni Mkristo Dr. Kyaruzi, na muasisi wa Tanu ni Mkristo Mwl. Julius Kambarage Nyerere, tangu AA, TAA hadi TANU, hakuna wakati wowote vyama hivi viliwahi kuwa vya dini fulani, ila kitu ambacho ni kweli, Tanu ilimuwa na members wengi Waislamu kuliko Wakristu, ila nguvu ya chama chochote ni logistical support, mfadhili mkuu wa Tanu ni Mkristo tajiri Mzee John Rupia, na sio wale masikini wa Gerezani japo pia tusiudharau mchango wao wa senti 5 ya samaki, senti 10,senti 20 ya mbuni, thumuni ya sungura, na shilingi ya mwenge, enzi hizo, noti ni ya shilingi 5, 10,20, 50 na noti kubwa ilikuwa Sh.100 ya masai.

Nimeisikiliza yote nikakuta ...Du...!, mnapigwa kamba kweli kweli na Mzee wetu huyu...
huu ni muendelezo wa ule ule urongo wa siku zote wa uchochezi wa udini, kusingizia kitu cha urongo marehemu kina karma kali sana!.

Japo namheshimu sana Maalim Mohammed Said, kitu pekee mimi ninachotofautiana nae ni matumizi ya takwimu za urongo ili kupush forward agenda zake ovu za uchochezi wa udini.

Kwenye mahojiano hayo, ameongopa kuwa 76% ya wabunge wa Bunge la JMT, ni Wakatoliki,18% madhehebu mengine ya Kikristu yaliyobakia, halafu Waislamu ni just 6%!. Huu ni urongo wa kiwango cha lami mchana kweupe. Mtu huhitaji kufanya sensa ya Wabunge Waislamu kujua huu ni urongo, bila hata sensa, Wabunge wote kutoka Zanzibar ni Waislamu ambao kabla hujawajumlisha wabunge Waislamu wa bara, hao Wanzibar tuu wenyewe wanafanya theluthi moja ya Wabunge wote!. Huu ni urongo!.

Hata kwa kutumia tuu just ordinary common sense, inakuja kweli akilini, 76% ya wabunge wakawa ni Wakatoliki?!,this doesnt make sense to me, this is non sense, just bull shit!.
(ashakum for this)

Ukiwa na asilimia 99% ya ukweli, na just 1% ya urongo, huo urongo una nullify ukweli wote wa hoja zake kuzifanya null and void ab initio.

P.
Wacha ubishi Historia ya Tanganyika imechakachuliwa mfano mzur ni huo mfano wa BIBI TITI MOHAMED ambae alikua Mwanamke wa mwanzo kuwa Mwenyekit ya Jumuia ya wanawake wa TANU
Unaweza kutueleza kosa alilolifanya mpk kuhukumiwa kifungo cha Maisha na Nyerere??

Tuanzie hapo kwanza
 
Wakati Nyerere anafanya hayo...waislam walikuwa wapi?
Kukujibu nitoke katika mada kidogo nijibu suali lifuatalo

Wakati Demokrasia inabanwa katiba inavunjwa magazetu yanafungwa midomo wapinazan kufunguliwa kesi ktk awamu hii
Wapinzani walikuwa wapi??
 
Wacha ubishi Historia ya Tanganyika imechakachuliwa mfano mzur ni huo mfano wa BIBI TITI MOHAMED ambae alikua Mwanamke wa mwanzo kuwa Mwenyekit ya Jumuia ya wanawake wa TANU
Unaweza kutueleza kosa alilolifanya mpk kuhukumiwa kifungo cha Maisha na Nyerere??

Tuanzie hapo kwanza
wewe umri wako ulikuwepo wakati anakamatwa tukio hilo wengi wapo hai na kumbukumbu kibao endeleeni kudanganyana
 
Kukujibu nitoke katika mada kidogo nijibu suali lifuatalo

Wakati Demokrasia inabanwa katiba inavunjwa magazetu yanafungwa midomo wapinazan kufunguliwa kesi ktk awamu hii
Wapinzani walikuwa wapi??
Hujajibu swali uliloulizwa,

Badala yake unauliza swali ambalo sijalihitaji.

Jibu swali uliloulizwa kisha tusonge mbele sheikh.

Waislam walikuwa wapi?
 
Kama Nyerere aliua Uislam kweli Tanzania
Basi aliona mbali sana

Maana nikiona demand wanazotaka Waislam huku Tz Bara halafu ukilinganisha na wanachowafanyia wasio Waislam kule Zanzibar, utaona kabisa hawa watu wakiwa na nguvu sana lazima amani ya nchi itatetereka tu au watajaribu ku Islamize nchi nzima

Waislam mtaona kama nina chuki na nyie ila huu ni ukweli unaouma mtanisamehe

Mfano, India na Pakistan zilikuwa nchi moja chini ya utawala wa Mwingereza, ila kutokana na demand za Waislam na vurugu zao ikabidi waigawe iwe nchi Mbili, Waislam wakaenda Pakistan, Wahindu wakabaki India
Asilimia kubwa ya waislamu wa hivyo ni walioshika dini.. utofauti wa mwislamu wa aina hiyo ni sifuri ukilinganisha na Mpumbavu!
 
Kama Mfungo wa Ramadhani ungekuwa ni mwaka mzima .... kuna uongo mwingine tusingekuwa tunausikia!!
Hahaha, Walikuwa wanasubiri mfungo uishe waanze Uzushi wao.

Hata Kitimoto italika sana wallah.
 
Wacha ubishi Historia ya Tanganyika imechakachuliwa mfano mzur ni huo mfano wa BIBI TITI MOHAMED ambae alikua Mwanamke wa mwanzo kuwa Mwenyekit ya Jumuia ya wanawake wa TANU
Unaweza kutueleza kosa alilolifanya mpk kuhukumiwa kifungo cha Maisha na Nyerere??

Tuanzie hapo kwanza
Mkuu Dega, mijadala humu inaendeshwa kwa hoja, mleta mada kaleta hoja ya uongo, na kuleta mahojiano yenye uongo mwingi na ukweli kidogo, tukaonyesha urongo ulipo.

Sasa wewe katika hili la Bibi Titi, hoja yako ni ipi haswa?.
P
 
Wacha ubishi Historia ya Tanganyika imechakachuliwa mfano mzur ni huo mfano wa BIBI TITI MOHAMED ambae alikua Mwanamke wa mwanzo kuwa Mwenyekit ya Jumuia ya wanawake wa TANU
Unaweza kutueleza kosa alilolifanya mpk kuhukumiwa kifungo cha Maisha na Nyerere??

Tuanzie hapo kwanza

Well said
 


Kwanza napenda ifahamike kuwa dhumuni la kuipandisha clip hii hapa ni kumpinga huyo anaejiita "Sungura Media" aliyeipandisha clip hii youtube na kuandika kuwa eti ni "video ya siri". Haya mafundisho ya historia ya Alama Mohamed Said siyo siri, yapo mtandaoni, yapo kwenye tovuti yake na yameshajadiliwa sana hapa JF.

Mfahamu Alama Mohamed Said:

Sheikh Mohamed Said Abdallah alizaliwa mnamo tarehe 25 Februarikatika mwaka wa 1952 huko Gerezani jijini Dar es Salaam - ambapo ndiko kulikokuwa na asili ya upinzani dhidi ya ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika. Babu yake, Mzee Salum Abdallah Popo alikuwa muasisi wa harakati za vyama vya wafanyakazi na alikuwa mmoja kati ya watu wa awali kabisa kuanzisha upinzani na kuunga mkono hoja ya kupinga utawala wa kikoloni. Mwaka wa 1947, Mzee Popo aliongoza mgomo wa kwanza nchini Tanganyika katika majimbo ya kati nchi uliopangwa na wafanyakazi wa Tanganyika Railways. Tanganyika ilipopata uhuru wake mwaka 1961, Mzee Popo aliachana na mkono wa Nyerere kama jinsi wengi walivyofanya na alitiwa kizuizini na serikali kwa ajili ya msimamo wake wa kuwa vyama vya wafanyakazi sharti viwe huru. Akiwa mwenyekiti wa Tanganyika Railways African Union (TRAU) alipinga vyama vya wafanyakazi kuwekwa chini ya Tanganyika African National Union (TANU) chini ya Rais Julius Nyerere. Sheikh Mohamed Said ana shahada katika masuala ya Sayansi ya Siasa kutoka katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Vilevile ana Stashahada katika masuala ya Maritime Studies kutoka katika Chuo Kikuu cha Wales huko mjini [[Cardiff, Uingereza na nyingine ya BIMA kutoka katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha cha Dar es Salaam (IFM).


Utafiti juu ya historia ya uhuru wa TangayikaEdit

Mohamed Said amefanya utafiti mwingi sana juu ya historia ya uhuru wa Tanganyika, historia ambayo kabla ya utafiti wake ilichukuliwa kama iliyohitimishwa na ameweza kufukua mambo muhimu ambayo yalifichwa katika historia iliyokuwa ikitambulikana rasmi. Alianza kufahamika zaidi katika miaka ya themanini kupitia makala zake za kusisimua zilizokuwa zinahangaisha fikra za wasomaji kwa kufichua yale yaliyofichwam zilizoelezea mchango muhimu wa Waislamu na Uislamu katika harakati za kupinga ukoloni katika Tanganyika na khiyana waliofanyiwa Waislamu na serikali zote mbili, yaani, kabla ya uhuru na baada ya uhuru - jambo ambalo kwa wakati ule lilikuwa mwiko kufanyiwa utafiti au kuandikwa. Makala hizo zilipata kuchapishwa katika magazeti na majarida maarufu barani Afrika na katika magazeti ndani na nje ya Tanzania. Baadhi tu ya makala zake za utafiti ni pamoja na "In Praise of Ancestors" (1988), "Africa Events (London), "Abdulwahid Sykes: Founder of a Political Movement" Africa Events - London (1988), "Islam and Politics in Tanzania" (1989), Al Haq Internation (Karachi), "The Plight of Tanzania Muslim" (1993) Change (Dar es Salaam) na "The Secular Unsecular State" (1995) Change (Dar es Salaam).


Tazama piaEdit



Viungo vya Nje

Chanzo: https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Mohamed_Said


What is the solution sasa?

Mi naona labda tufanye kitu kimoja...Tupige chini dini zote kabisa?

Au wewe unasemaje?

Au ulitafsiri vibaya kwamba huenda the founding fathers in the list happened kwamba walikua na islamic names na sio kwamba dini ndio imepelekea founding of the nation?

Huenda maana sidhani tunaweza unganisha directly uislamu kama religious denomination makusudically kupitia its decisions kama religious block ili intervene katika founding ya hii nchi...Maana ushahidi ninao uona hapo ni ushahidi unaonesha wale members happened kua walikua na dini yao kua ilikua uislamu which huezi dhibitisha directly kwamba uislamu kama taasisi ili-effect ki-decision kupata hii nchi.

Labda wewe unadhani solution iweje ili kila mtu aridhike hapa?
 
Kama Nyerere aliua Uislam kweli Tanzania
Basi aliona mbali sana

Maana nikiona demand wanazotaka Waislam huku Tz Bara halafu ukilinganisha na wanachowafanyia wasio Waislam kule Zanzibar, utaona kabisa hawa watu wakiwa na nguvu sana lazima amani ya nchi itatetereka tu au watajaribu ku Islamize nchi nzima

Waislam mtaona kama nina chuki na nyie ila huu ni ukweli unaouma mtanisamehe

Mfano, India na Pakistan zilikuwa nchi moja chini ya utawala wa Mwingereza, ila kutokana na demand za Waislam na vurugu zao ikabidi waigawe iwe nchi Mbili, Waislam wakaenda Pakistan, Wahindu wakabaki India
Uislamu ni janga la ulimwengu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom