Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Status
Not open for further replies.


Kwanza napenda ifahamike kuwa dhumuni la kuipandisha clip hii hapa ni kumpinga huyo anaejiita "Sungura Media" aliyeipandisha clip hii youtube na kuandika kuwa eti ni "video ya siri". Haya mafundisho ya historia ya Alama Mohamed Said siyo siri, yapo mtandaoni, yapo kwenye tovuti yake na yameshajadiliwa sana hapa JF.

Mfahamu Alama Mohamed Said:

Sheikh Mohamed Said Abdallah alizaliwa mnamo tarehe 25 Februarikatika mwaka wa 1952 huko Gerezani jijini Dar es Salaam - ambapo ndiko kulikokuwa na asili ya upinzani dhidi ya ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika. Babu yake, Mzee Salum Abdallah Popo alikuwa muasisi wa harakati za vyama vya wafanyakazi na alikuwa mmoja kati ya watu wa awali kabisa kuanzisha upinzani na kuunga mkono hoja ya kupinga utawala wa kikoloni. Mwaka wa 1947, Mzee Popo aliongoza mgomo wa kwanza nchini Tanganyika katika majimbo ya kati nchi uliopangwa na wafanyakazi wa Tanganyika Railways. Tanganyika ilipopata uhuru wake mwaka 1961, Mzee Popo aliachana na mkono wa Nyerere kama jinsi wengi walivyofanya na alitiwa kizuizini na serikali kwa ajili ya msimamo wake wa kuwa vyama vya wafanyakazi sharti viwe huru. Akiwa mwenyekiti wa Tanganyika Railways African Union (TRAU) alipinga vyama vya wafanyakazi kuwekwa chini ya Tanganyika African National Union (TANU) chini ya Rais Julius Nyerere. Sheikh Mohamed Said ana shahada katika masuala ya Sayansi ya Siasa kutoka katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Vilevile ana Stashahada katika masuala ya Maritime Studies kutoka katika Chuo Kikuu cha Wales huko mjini [[Cardiff, Uingereza na nyingine ya BIMA kutoka katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha cha Dar es Salaam (IFM).


Utafiti juu ya historia ya uhuru wa TangayikaEdit

Mohamed Said amefanya utafiti mwingi sana juu ya historia ya uhuru wa Tanganyika, historia ambayo kabla ya utafiti wake ilichukuliwa kama iliyohitimishwa na ameweza kufukua mambo muhimu ambayo yalifichwa katika historia iliyokuwa ikitambulikana rasmi. Alianza kufahamika zaidi katika miaka ya themanini kupitia makala zake za kusisimua zilizokuwa zinahangaisha fikra za wasomaji kwa kufichua yale yaliyofichwam zilizoelezea mchango muhimu wa Waislamu na Uislamu katika harakati za kupinga ukoloni katika Tanganyika na khiyana waliofanyiwa Waislamu na serikali zote mbili, yaani, kabla ya uhuru na baada ya uhuru - jambo ambalo kwa wakati ule lilikuwa mwiko kufanyiwa utafiti au kuandikwa. Makala hizo zilipata kuchapishwa katika magazeti na majarida maarufu barani Afrika na katika magazeti ndani na nje ya Tanzania. Baadhi tu ya makala zake za utafiti ni pamoja na "In Praise of Ancestors" (1988), "Africa Events (London), "Abdulwahid Sykes: Founder of a Political Movement" Africa Events - London (1988), "Islam and Politics in Tanzania" (1989), Al Haq Internation (Karachi), "The Plight of Tanzania Muslim" (1993) Change (Dar es Salaam) na "The Secular Unsecular State" (1995) Change (Dar es Salaam).


Tazama piaEdit



Viungo vya Nje

Chanzo: https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Mohamed_Said

Mkuu Dada yangu, nikuzimiaye, Faiza Foxy, kwanza asante kutuletea hii clip ya Redio Kheri, yenye maurongo wa Mzee wetu na member mwenzetu Maalim Mohamned Said, maana bila wewe kuileta humu, akina sisi, tusingejua jinsi mnavyodanganyana humo na kufanya uchochezi kwenye hizo redio zenu za dini!.

Kwa kuanzia tuu, kuanzia headline ya bandiko hili ni urongo, Tanu hakijawahi kuwa ni chama cha Kiislamu, kuanzia kuasisiwa kwake, hakuna Muislamu yoyote aliwahi kuasisi chama chochote cha kupigania uhuru wa Tanganyika, Tanu ilitokana na TAA, ambayo ilitokana na AA. Muasisi wa AA ni Mkristo Cecil Kalaghe, muasisi wa TAA ni Mkristo Dr. Kyaruzi, na muasisi wa Tanu ni Mkristo Mwl. Julius Kambarage Nyerere, tangu AA, TAA hadi TANU, hakuna wakati wowote vyama hivi viliwahi kuwa vya dini fulani, ila kitu ambacho ni kweli, Tanu ilimuwa na members wengi Waislamu kuliko Wakristu, ila nguvu ya chama chochote ni logistical support, mfadhili mkuu wa Tanu ni Mkristo tajiri Mzee John Rupia, na sio wale masikini wa Gerezani japo pia tusiudharau mchango wao wa senti 5 ya samaki, senti 10,senti 20 ya mbuni, thumuni ya sungura, na shilingi ya mwenge, enzi hizo, noti ni ya shilingi 5, 10,20, 50 na noti kubwa ilikuwa Sh.100 ya masai.

Nimeisikiliza yote nikakuta ...Du...!, mnapigwa kamba kweli kweli na Mzee wetu huyu...
huu ni muendelezo wa ule ule urongo wa siku zote wa uchochezi wa udini, kusingizia kitu cha urongo marehemu kina karma kali sana!.

Japo namheshimu sana Maalim Mohammed Said, kitu pekee mimi ninachotofautiana nae ni matumizi ya takwimu za urongo ili kupush forward agenda zake ovu za uchochezi wa udini.

Kwenye mahojiano hayo, ameongopa kuwa 76% ya wabunge wa Bunge la JMT, ni Wakatoliki,18% madhehebu mengine ya Kikristu yaliyobakia, halafu Waislamu ni just 6%!. Huu ni urongo wa kiwango cha lami mchana kweupe. Mtu huhitaji kufanya sensa ya Wabunge Waislamu kujua huu ni urongo, bila hata sensa, Wabunge wote kutoka Zanzibar ni Waislamu ambao kabla hujawajumlisha wabunge Waislamu wa bara, hao Wanzibar tuu wenyewe wanafanya theluthi moja ya Wabunge wote!. Huu ni urongo!.

Hata kwa kutumia tuu just ordinary common sense, inakuja kweli akilini, 76% ya wabunge wakawa ni Wakatoliki?!,this doesnt make sense to me, this is non sense, just bull shit!.
(ashakum for this)

Ukiwa na asilimia 99% ya ukweli, na just 1% ya urongo, huo urongo una nullify ukweli wote wa hoja zake kuzifanya null and void ab initio.

P.
Mbona "quotation" yangu umeifuta na kuweka yako? Ndivyo ulivyofundishwa shule ya sheria au ndiyo kusomea ujinga kwenyewe huko?
 
Mkuu Dada yangu, nikuzimiaye, Faiza Foxy, kwanza asante kutuletea hii clip ya Redio Kheri, yenye maurongo wa Mzee wetu na member mwenzetu Maalim Mohamned Said, maana bila wewe kuileta humu, akina sisi, tusingejua jinsi mnavyodanganyana humo na kufanya uchochezi kwenye hizo redio zenu za dini!.

Kwa kuanzia tuu, kuanzia headline ya bandiko hili ni urongo, Tanu hakijawahi kuwa ni chama cha Kiislamu, kuanzia kuasisiwa kwake, hakuna Muislamu yoyote aliwahi kuasisi chama chochote cha kupigania uhuru wa Tanganyika, Tanu ilitokana na TAA, ambayo ilitokana na AA. Muasisi wa AA ni Mkristo Cecil Kalaghe, muasisi wa TAA ni Mkristo Dr. Kyaruzi, na muasisi wa Tanu ni Mkristo Mwl. Julius Kambarage Nyerere, tangu AA, TAA hadi TANU, hakuna wakati wowote vyama hivi viliwahi kuwa vya dini fulani, ila kitu ambacho ni kweli, Tanu ilimuwa na members wengi Waislamu kuliko Wakristu, ila nguvu ya chama chochote ni logistical support, mfadhili mkuu wa Tanu ni Mkristo tajiri Mzee John Rupia, na sio wale masikini wa Gerezani japo pia tusiudharau mchango wao wa senti 5 ya samaki, senti 10,senti 20 ya mbuni, thumuni ya sungura, na shilingi ya mwenge, enzi hizo, noti ni ya shilingi 5, 10,20, 50 na noti kubwa ilikuwa Sh.100 ya masai.

Nimeisikiliza yote nikakuta ...Du...!, mnapigwa kamba kweli kweli na Mzee wetu huyu...
huu ni muendelezo wa ule ule urongo wa siku zote wa uchochezi wa udini, kusingizia kitu cha urongo marehemu kina karma kali sana!.

Japo namheshimu sana Maalim Mohammed Said, kitu pekee mimi ninachotofautiana nae ni matumizi ya takwimu za urongo ili kupush forward agenda zake ovu za uchochezi wa udini.

Kwenye mahojiano hayo, ameongopa kuwa 76% ya wabunge wa Bunge la JMT, ni Wakatoliki,18% madhehebu mengine ya Kikristu yaliyobakia, halafu Waislamu ni just 6%!. Huu ni urongo wa kiwango cha lami mchana kweupe. Mtu huhitaji kufanya sensa ya Wabunge Waislamu kujua huu ni urongo, bila hata sensa, Wabunge wote kutoka Zanzibar ni Waislamu ambao kabla hujawajumlisha wabunge Waislamu wa bara, hao Wanzibar tuu wenyewe wanafanya theluthi moja ya Wabunge wote!. Huu ni urongo!.

Hata kwa kutumia tuu just ordinary common sense, inakuja kweli akilini, 76% ya wabunge wakawa ni Wakatoliki?!,this doesnt make sense to me, this is non sense, just bull shit!.
(ashakum for this)

Ukiwa na asilimia 99% ya ukweli, na just 1% ya urongo, huo urongo una nullify ukweli wote wa hoja zake kuzifanya null and void ab initio.

P.
Paskali naona bado na wewe hujaleta solution....

Cha ajabu na wewe umeleta data ku-favor Ukristo kua eti Wakristo ndio walikua waanzilishi na walikua wengi..

Cha ajabu na yeye ataleta data zake kutetea upande wake!

Nani mkweli zaidi ya mwenzake hatutaweza kujua kwa uhakika,japo wewe unasema kwako ndio kweli na yeye anasema kwake ndio kweli...

Hapa ni kila mmoja anataka kutuamisha upande wake ndio superior kwenye hii ishu.

Hivyo wote ni instigators tu!

Kwanini haya madini yenu mkayaachia makanisani na misikitini kwenu tu?

Hawa founders muwachukulie kama wanadamu who happened to have their personal religions which have nothing to do with the politics they were in!

Nyie wote mnaendeshwa na mapenzi binafsi ya dini zenu binafsi.

Na by the way mtu akiwa na jina linaloonekana la Kikristo au la Kiislamu haina udhibitisho kua he is indeed a Christian au Moslem..Jina tu sio udhibitisho!

Hivi wengine kama Wahindu,Wapagani,Wasio na Dini,etc walikua si waanzilishi wa taifa hili?

Naona ni vita ya dini mbili za kis3nge kama dini zingine ndio zinazogombaniwa humu!

Kwa faida ya nani hasa?
 
"A people without the knowledge of their past history, origin and culture is like a tree without roots." - Marcus Garvey
Mimi naona uislam na ukristo sio origin na culture yetu.
Hivi vitu vililetwa na wageni tu tena waliokuja kututesa na kutuuza kama ng'ombe.

Marcus alikuwa anataka watu weusi waijue historia yao na kuithamini ambayo ilikuwa haithaminishi dini za watawala wetu kuliko tamaduni zetu.
 
CHIZI WEWEEE HUELEWEKI
Una Akili na kumbukumbu?

Mimi nimechangia mada yoyote kuhusu Bibi Titi Mohammed?

Nimekuulizeni enyi wafuasi wa Mudy

Wakati Nyerere akianzisha Mfumo Kristo, akiukandamiza Uislam....mlikuwa wapi mpaka leo hii mje kulialia hapa kama ilivyo desturi yenu?
 
Mkuu dada yangu FaizaFoxy,lengo hasa la kuleta hiyo clip ni nini? Akili,busara,werevu na shule yako haviendani kabisa na huu upuuzi ulioanzisha. This is too low for you.
Kama unaona ni ajabu yeye kuleta uzi kama huu hapa JF, basi pengine humjui kabisa alivyo..mfuatilie vizuri
 
Dini ipi ni ya kweli ukristo au uislamu ?!

Mm naona dini ya kweli ni matendo mema !
Mbona upo nje ya mada kabisa? Fungulia uzi hayo maswali yako utakuja kujibiwa.

Naona historia hii kwako ni kama mwiba kooni, unajitahidi kila njia uutowe lakini umekukaa tu.
 
Wataka kubisha hakua ktk nondo kwa kifungo cha maisha akajakupata msamaha WA RAIS MSTAARABU MWENYE UTU NA UBINADAM ALHAJ SHEIKH ALI HASSAN MWINYI???

Wamekuambia alifungwa peke yake, mbona wakristo waliofungwa nae hamuwataji.
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli tuu jiulize kwa nini hacgukuliwi hatua mungeanza kwa MSIBA kwanza
Hacgukuliwi - Hachukuliwi

Msiba - Musiba

Hujajibu maswali yangu Sheikh

Halafu huko Madrassat hamfundishwi kuandika vizuri?
 
Mkuu dada yangu FaizaFoxy,lengo hasa la kuleta hiyo clip ni nini? Akili,busara,werevu na shule yako haviendani kabisa na huu upuuzi ulioanzisha. This is too low for you.
Historia ya uhuru wa nchi yetu. Wewe hupendi kufahamu historia ya nchi hii?

Halafu soma vizuri chini ya video clip kuna maelezo yangu pale.
 
Kama unaona ni ajabu yeye kuleta uzi kama huu hapa JF, basi pengine humjui kabisa alivyo..mfuatilie vizuri
mwambieni alete tu hizi story Nchi hii yetu wote. Aktaka elimu atapata elimu aki chambia mgomba ataondoka na mavi huyo faiza
 
CHIZI WEWEEE HUELEWEKI
Asiyeeleweka ni Mtume wako Mudy wa Mecca

Yaani alikiri hajui kusoma wala kuandika ila akawaasa mumuamini na kuamini kitabu chake alichodondoshwewa puu...!!
 
Hacgukuliwi - Hachukuliwi

Msiba - Musiba

Hujajibu maswali yangu Sheikh

Halafu huko Madrassat hamfundishwi kuandika vizuri?
Kuanza kuangalia makosa ya kiuandishi nikuthibitisha AKILI IMEFIKIA KIKOMO CHA KUFIKIRI TWENDE KWENE CONTENT
 
Sio Zanzibar tu (hiyo ya Zanzibar ni cha mtoto mtu aende Pakistan, Iran au Afghanistan akaone cha moto) nchi zote za Kiislamu sheria zao zipo hivyo. Hio hali eventually itaenea dunia nzima.

Kwa mujibu wa Vitabu vya Daniel na Ufunuo wa Yohana; Uislamu ndio itakuwa dini pekee itakayoruhusiwa kuwepo hapa duniani kabla ya ujio wa Bwana Yesu Kristo. Na wakati huo ukifika kutakuwa na option mbili tu: ama uwe Muislamu au UFE. (Kina Kiranga na atheists wenzako option yenu haitakuwepo kipindi hicho). Ndio maana hakuna Muislamu asiesema "uislamu unazidi kukua na ndio dini pekee itakayobaki". Sentensi hiyo sio ya kweli per se maana kutakuwa bado na watu watakaokubali kuchinjwa kuliko kuacha Uyahudi au Ukristo wao. Kabla ya (Wakristo na Wayahudi) wote kuisha Bwana wetu Yesu atarudi na kuanzisha Utawala wake usio na mwisho.

Alichokisema Bwana Yesu kwenye Marko 8: 36-37 ndio hasa maana yake. Chagua uislamu ili usife na utakuwa umepata ulimwengu lakini kwa gharama YA NAFSI YAKO.
Jiandae ndugu kiroho.
Teh ...

wewe ni mjinga na mpumbavu ...

Badilika ...
 
WEWE NA FAMILIA NZIA HAMUELEWEKI PMJ NA YESU WAKO MUIGIZAJI FILAMU WA KIENGEREZA ULOWEKA PICHA YAKE KANISANI
NGURUWE PORI WW NA FAMILIA YAKO
Asiyeeleweka ni Mtume wako Mudy wa Mecca

Yaani alikiri hajui kusoma wala kuandika ila akawaasa mumuamini na kuamini kitabu chake alichodondoshwewa puu...!!
 
Mkuu Dada yangu, nikuzimiaye, Faiza Foxy, kwanza asante kutuletea hii clip ya Redio Kheri, yenye maurongo wa Mzee wetu na member mwenzetu Maalim Mohamned Said, maana bila wewe kuileta humu, akina sisi, tusingejua jinsi mnavyodanganyana humo na kufanya uchochezi kwenye hizo redio zenu za dini!.

Kwa kuanzia tuu, kuanzia headline ya bandiko hili ni urongo, Tanu hakijawahi kuwa ni chama cha Kiislamu, kuanzia kuasisiwa kwake, hakuna Muislamu yoyote aliwahi kuasisi chama chochote cha kupigania uhuru wa Tanganyika, Tanu ilitokana na TAA, ambayo ilitokana na AA. Muasisi wa AA ni Mkristo Cecil Kalaghe, muasisi wa TAA ni Mkristo Dr. Kyaruzi, na muasisi wa Tanu ni Mkristo Mwl. Julius Kambarage Nyerere, tangu AA, TAA hadi TANU, hakuna wakati wowote vyama hivi viliwahi kuwa vya dini fulani, ila kitu ambacho ni kweli, Tanu ilimuwa na members wengi Waislamu kuliko Wakristu, ila nguvu ya chama chochote ni logistical support, mfadhili mkuu wa Tanu ni Mkristo tajiri Mzee John Rupia, na sio wale masikini wa Gerezani japo pia tusiudharau mchango wao wa senti 5 ya samaki, senti 10,senti 20 ya mbuni, thumuni ya sungura, na shilingi ya mwenge, enzi hizo, noti ni ya shilingi 5, 10,20, 50 na noti kubwa ilikuwa Sh.100 ya masai.

Nimeisikiliza yote nikakuta ...Du...!, mnapigwa kamba kweli kweli na Mzee wetu huyu...
huu ni muendelezo wa ule ule urongo wa siku zote wa uchochezi wa udini, kusingizia kitu cha urongo marehemu kina karma kali sana!.

Japo namheshimu sana Maalim Mohammed Said, kitu pekee mimi ninachotofautiana nae ni matumizi ya takwimu za urongo ili kupush forward agenda zake ovu za uchochezi wa udini.

Kwenye mahojiano hayo, ameongopa kuwa 76% ya wabunge wa Bunge la JMT, ni Wakatoliki,18% madhehebu mengine ya Kikristu yaliyobakia, halafu Waislamu ni just 6%!. Huu ni urongo wa kiwango cha lami mchana kweupe. Mtu huhitaji kufanya sensa ya Wabunge Waislamu kujua huu ni urongo, bila hata sensa, Wabunge wote kutoka Zanzibar ni Waislamu ambao kabla hujawajumlisha wabunge Waislamu wa bara, hao Wanzibar tuu wenyewe wanafanya theluthi moja ya Wabunge wote!. Huu ni urongo!.

Hata kwa kutumia tuu just ordinary common sense, inakuja kweli akilini, 76% ya wabunge wakawa ni Wakatoliki?!,this doesnt make sense to me, this is non sense, just bull shit!.
(ashakum for this)

Ukiwa na asilimia 99% ya ukweli, na just 1% ya urongo, huo urongo una nullify ukweli wote wa hoja zake kuzifanya null and void ab initio.

P.
Mkuu Pasikali umeeleza vizuri, ingawa nadhani haikuwa na haja ya kuweka hizo asilimia, maana ni kama tena umekubali kucheza huu mziki wao.

Huyu Bw Said ni Mpotoshaji wa historia kwa malengo anayoyajua mwenyewe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom