Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Status
Not open for further replies.
Dada faiza, hapo kwa kuanzia huyo mzee mohamed said kasema waislamu walijipanga kuanzisha shule za awali, za sekondari pamoja na vyuo vikuu ila nyerere ndio aliwabania! Swali langu, kwa nini msianzishe sasa hayo mashule na vyuo vikuu????maana sasa ivi ndio rahisi sana kwa kuwa watu wana uelewa miundombinu ipo ya kutosha?

Huyo Said ni mjinga mkubwa pamoja na kuwa amesoma ila hajaelimika, sasa umri umekwenda anasubiri mungu achukue uhai afanye jambo litakaloacha alama yake baada ya kifo aache Udini na ubinafsi.
 
Uliza suali lako nijibu
Wewe ni Slow learner...right?

Kwanini unanipa jukumu la kuuliza swali tena ilihali nimekuuliza maswali ndani ya Uzi huu huu na Uzi haujafutwa.

Rejea maswali niliyokuuliza kisha unijibu kinagaubaga.

Huo ndio mjadala.
 
Wewe ni Slow learner...right?

Kwanini unanipa jukumu la kuuliza swali tena ilihali nimekuuliza maswali ndani ya Uzi huu huu na Uzi haujafutwa.

Rejea maswali niliyokuuliza kisha unijibu kinagaubaga.

Huo ndio mjadala.
Nafkir umeishiwa
 
Nyerere alibebwa na Waislam kufika alipofika kisha akawageuka Bibi Titi Mohammed alimfunga kifungo cha maisha kwa kupingana nae baada kumuona ameageuka.
Jina la Bibi Titi likaondoshwa katika historia ya wanaharakati walio dai UHURU wa Tangannyika.
Mwinyi kwa kuujua ukweli ndio aliekuja kumwachia huru na angalau akapewa jina la Mtaa mmoja kama kumbukumbu ya juhudi yake.
Takadiri (ambae mchonga akampachika jina la MTAKADINI)
Vilevile ni mfano mwengine wa wahanga hawa wapo wengi.
Ukisoma kichwa kichwa hapa unaweza ukaamini Bibi Titi alifungwa tu bila kosa ila dini yake. Hivi kwanini huwa mnapenda kupandikiza chuki kwenye jamii? Utapata faida gani mkuu watu wakichukiana?!
 
Teh ...

wewe ni mjinga na mpumbavu ...

Badilika ...

Nafurahi kutaarifu kuwa mimi SIO mjinga na wala SI mpumbavu kama ulivyoandika hapa - unless ulikuwa unamu-address mtu mwingine.
All the same; Ingependeza (kwa manufaa ya wengi) ukauainisha huo "ujinga na upumbavu" ulio uona wewe.
 
Mama angu mzazi ni muislam,mzawa wa kariakoo mtaa wa jangwani...ni muislamu moderate,najua angefatisha quran na hadith kwa 100% angenitupa chooni ningali mchanga sababu ni dini tofauti..narudia uislamu wenyewe na sio wenu huu wa kuigiza unataka watu wote wawe waislamu la sivyo wauawe...
Hii haimaanishi ukristo ni mzuri,ukristo uliua watu wengi kuwalazimisha kuufata pengine kuliko uislamu
Kwa ufupi uislamu na ukristo ni upuuzi wa waarabu na wazungu usiomithirika,mjinga tu asiyeona hadithi za kijinga zilizoandikwa mle na walevi
nyabhingi kwa nini mama yako angekutupa chooni ungali mchanga kama angefuatisha quran na hadithi?
Najua Quran wala hadithi haziamuru watoto wauliwe hata kama mtoto wa nje ya ndoa haruhusiwi kuuwawa.
 
Mkuu Dada yangu, nikuzimiaye, Faiza Foxy, kwanza asante kutuletea hii clip ya Redio Kheri, yenye maurongo wa Mzee wetu na member mwenzetu Maalim Mohamned Said, maana bila wewe kuileta humu, akina sisi, tusingejua jinsi mnavyodanganyana humo na kufanya uchochezi kwenye hizo redio zenu za dini!.
Kwa kuanzia tuu, kuanzia headline ya bandiko hili ni urongo, Tanu hakijawahi kuwa ni chama cha Kiislamu, kuanzia kuasisiwa kwake, hakuna Muislamu yoyote aliwahi kuasisi chama chochote cha kupigania uhuru wa Tanganyika, Tanu ilitokana na TAA, ambayo ilitokana na AA. Muasisi wa AA ni Mkristo Cecil Kalaghe, muasisi wa TAA ni Mkristo Dr. Kyaruzi, na muasisi wa Tanu ni Mkristo Mwl. Julius Kambarage Nyerere, tangu AA, TAA hadi TANU, hakuna wakati wowote vyama hivi viliwahi kuwa vya dini fulani, ila kitu ambacho ni kweli, Tanu ilimuwa na members wengi Waislamu kuliko Wakristu, ila nguvu ya chama chochote ni logistical support, mfadhili mkuu wa Tanu ni Mkristo tajiri Mzee John Rupia, na sio wale masikini wa Gerezani japo pia tusiudharau mchango wao wa senti 5 ya samaki, senti 10,senti 20 ya mbuni, thumuni ya sungura, na shilingi ya mwenge, enzi hizo, noti ni ya shilingi 5, 10,20, 50 na noti kubwa ilikuwa Sh.100 ya masai.
Nimeisikiliza yote nikakuta ...Du...!, mnapigwa kamba kweli kweli na Mzee wetu huyu...
huu ni muendelezo wa ule ule urongo wa siku zote wa uchochezi wa udini, kusingizia kitu cha urongo marehemu kina karma kali sana!.
Japo namheshimu sana Maalim Mohammed Said, kitu pekee mimi ninachotofautiana nae ni matumizi ya takwimu za urongo ili kupush forward agenda zake ovu za uchochezi wa udini.
Kwenye mahojiano hayo, ameongopa kuwa 76% ya wabunge wa Bunge la JMT, ni Wakatoliki,18% madhehebu mengine ya Kikristu yaliyobakia, halafu Waislamu ni just 6%!. Huu ni urongo wa kiwango cha lami mchana kweupe. Mtu huhitaji kufanya sensa ya Wabunge Waislamu kujua huu ni urongo, bila hata sensa, Wabunge wote kutoka Zanzibar ni Waislamu ambao kabla hujawajumlisha wabunge Waislamu wa bara, hao Wanzibar tuu wenyewe wanafanya theluthi moja ya Wabunge wote!. Huu ni urongo!.
Hata kwa kutumia tuu just ordinary common sense, inakuja kweli akilini, 76% ya wabunge wakawa ni Wakatoliki?!,this doesnt make sense to me, this is non sense, just bull shit!.
(ashakum for this)
Ukiwa na asilimia 99% ya ukweli, na just 1% ya urongo, huo urongo una nullify ukweli wote wa hoja zake kuzifanya null and void ab initio.
P.
Ayayayayaya nimejikuta napata midadi (Misismko) ya ajabu sana kwa kujua historia hii tukufu nikatamani kushuka maandiko matakatifu ya Kristo Yesu kwenye Mathayo 7:21-23 dhidi ya waongo.
Huyu Bi Faiza anamatamanio makubwa sana kwa siku za usoni kuona Taifa letu linakuwa lakidini au watu wote waTanzania tunakuwa waislamu kitu ambacho hakiwezi kutokea daima.
Kwa sisi wakristo tuna amini wokovu ni akili njema. Nahisi nina wito wa kuwa muinjilisti 😂😂
 
Kati ya mambo ya kipuuzi tunayoshabikia ni hili la kusema chama fulani au dini fulani ilileta Uhuru. Uhuru tulipewa tu na Waingereza baada ya kuona kuendelea kushikilia Makoloni ni gharama kwao baada ya vita.

Jambo jingine la kipuuzi ni kutambuana kwa Dini zetu, Makabila yetu, Vyama vyetu badala ya Utanzania wetu. Mwalimu Nyerere alijitahidi kwa uwezo wake kutuunganisha pamoja, lakini sasa umoja wa taifa letu unamomonyoka, Tujisahihishe!
 
nyabhingi kwa nini mama yako angekutupa chooni ungali mchanga kama angefuatisha quran na hadithi?
Najua Quran wala hadithi haziamuru watoto wauliwe hata kama mtoto wa nje ya ndoa haruhusiwi kuuwawa.
Wa kiislamu,wa kikristo ni hadithi nyingine
Mimi kwa sasa sio mkristo wala muislamu lakini ukiniuliza nina amani upuuzi gani ukitawala dunia kati ya uislamu na ukristo nitakwambia bora upuuzi wa kikristo sababu at least siku hizi wameacha kuua watu kwa kuwalazimisha kuufata,wanawatia uzombi wa akili kwa kuwaaminisha kuna mungu mtu anaitwa yesu siku moja atashuka mawinguni na jeshi la viumbe vinavyoitwa malaika kuwahukumu...garbage
 
Hivi huyu Bw Said anafanya utafiti gani wa kutufanya Watanzania wote tumuamini?, maana kuna dhana imejengeka kana kwamba harakati za kupinga ukoloni zilifanyika tu Dar es Salaam...kwamba ma great thinker wote wa nchi hii waliishi Dar?

Na tukumbuke pia hata Mwalimu akiwa Makerere alikuwa na mpango wa kuanzisha chama cha kupigania uhuru, lakini alishauriwa/ambiwa kuhusu yanayoendelea Dar, chama cha TAA na hivyo alisitisha mpango wake na kufungua tawi la TAA.

Mwalimu alimtaja Mzee Mwangosi kama mmoja wa waliomshauri na kumtaka aje Dar kuungana nao, na sidhani kama Watu kama hawa kina Mwangosi wanatajwa kwenye hizi historia feki za Bw Said, maana yeye kang'ang'ana na Waisilamu tu.

Ni kweli kwa location ya Dar si ajabu kukuta wengi wao ni waumini wa dini ya kiislamu, lakini hao hao waliona umuhimu wa Mwalimu, hata kama sio wote ila wengi wao waliona hivyo...yeye Bw Said hakuwepo, maana labda angechagua upande wa kupinga.

Mwalimu ndio alikuja na 'road map'.....sanasana Wazee wa Bw Said walikazana kumshirikisha 'dua' zao ngumu ambazo Mwalimu alilazimika kushiriki ili tu waende sawa.
 
Mwinyi kwa kuujua ukweli ndio aliekuja kumwachia huru na angalau akapewa jina la Mtaa mmoja kama kumbukumbu ya juhudi yake.
Mwinyi mwaka 1972 alikuwa na mamlaka gani ya kumtoa jela bibi Titi , mwaka aliotolewa jela?
 
"A people without the knowledge of their past history, origin and culture is like a tree without roots." - Marcus Garvey
Kabla ya uislam kuja mlikuwa na dini gani. Hiyo ndio ilifaa muitete . Hiyo ndio dini ya wafrika. Hakuna asiejua kwamba uislam nao uliletwa
 
Mimi hata sio Mkristu ndugu
Na kama unasema eti makundi mengine yanaishi kwa amani na Waislam pengine hujui kinachoendelea kwenye hii Dunia

Unaifahamu Historia ya India na Pakistan, Wahindu vs Waislam? Au Wabuddha vs Waislam?
Mimi naifahamu kwa kiasi Fulani
 
Mi nadhani kwa Elimu yake uliyotujuza kuwa nayo, analakufanya kuwasaidia waislam badala ya historia isiyo tija. Ikiwa ni kweli so what?

What happened ?

Au mwahitaji mrusishiwe Tanu (ccm) yenu? Ichukueni maana imetusababishia umasikini usio stahimilika , no vision no plans wao wanawaza kushinda uchaguzi na kugawana vyeo. Hakuna mikakati ya sayansi na teknolijia wala uchumi.

Take it
A suggestion to think about!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom