Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Status
Not open for further replies.
Mkuu Dada yangu, nikuzimiaye, Faiza Foxy, kwanza asante kutuletea hii clip ya Redio Kheri, yenye maurongo wa Mzee wetu na member mwenzetu Maalim Mohamned Said, maana bila wewe kuileta humu, akina sisi, tusingejua jinsi mnavyodanganyana humo na kufanya uchochezi kwenye hizo redio zenu za dini!.

Kwa kuanzia tuu, kuanzia headline ya bandiko hili ni urongo, Tanu hakijawahi kuwa ni chama cha Kiislamu, kuanzia kuasisiwa kwake, hakuna Muislamu yoyote aliwahi kuasisi chama chochote cha kupigania uhuru wa Tanganyika, Tanu ilitokana na TAA, ambayo ilitokana na AA. Muasisi wa AA ni Mkristo Cecil Kalaghe, muasisi wa TAA ni Mkristo Dr. Kyaruzi, na muasisi wa Tanu ni Mkristo Mwl. Julius Kambarage Nyerere, tangu AA, TAA hadi TANU, hakuna wakati wowote vyama hivi viliwahi kuwa vya dini fulani, ila kitu ambacho ni kweli, Tanu ilimuwa na members wengi Waislamu kuliko Wakristu, ila nguvu ya chama chochote ni logistical support, mfadhili mkuu wa Tanu ni Mkristo tajiri Mzee John Rupia, na sio wale masikini wa Gerezani japo pia tusiudharau mchango wao wa senti 5 ya samaki, senti 10,senti 20 ya mbuni, thumuni ya sungura, na shilingi ya mwenge, enzi hizo, noti ni ya shilingi 5, 10,20, 50 na noti kubwa ilikuwa Sh.100 ya masai.

Nimeisikiliza yote nikakuta ...Du...!, mnapigwa kamba kweli kweli na Mzee wetu huyu...
huu ni muendelezo wa ule ule urongo wa siku zote wa uchochezi wa udini, kusingizia kitu cha urongo marehemu kina karma kali sana!.

Japo namheshimu sana Maalim Mohammed Said, kitu pekee mimi ninachotofautiana nae ni matumizi ya takwimu za urongo ili kupush forward agenda zake ovu za uchochezi wa udini.

Kwenye mahojiano hayo, ameongopa kuwa 76% ya wabunge wa Bunge la JMT, ni Wakatoliki,18% madhehebu mengine ya Kikristu yaliyobakia, halafu Waislamu ni just 6%!. Huu ni urongo wa kiwango cha lami mchana kweupe. Mtu huhitaji kufanya sensa ya Wabunge Waislamu kujua huu ni urongo, bila hata sensa, Wabunge wote kutoka Zanzibar ni Waislamu ambao kabla hujawajumlisha wabunge Waislamu wa bara, hao Wanzibar tuu wenyewe wanafanya theluthi moja ya Wabunge wote!. Huu ni urongo!.

Hata kwa kutumia tuu just ordinary common sense, inakuja kweli akilini, 76% ya wabunge wakawa ni Wakatoliki?!,this doesnt make sense to me, this is non sense, just bull shit!.
(ashakum for this)

Ukiwa na asilimia 99% ya ukweli, na just 1% ya urongo, huo urongo una nullify ukweli wote wa hoja zake kuzifanya null and void ab initio.

P.

Kaka Paskali; umeandika vema. Ila ujue kwa imani ya huyo mzee "urongo" si dhambi na adui zao wakuu ni wawili: Wakristo na Wayahudi (tatizo ni kuwa kwake Ukristo unawakilishwa na Ukatoliki). Na hiyo chuki ilianzishwa na muanzilishi wa hiyo imani yao.
 
Kabla ya uislam kuja mlikuwa na dini gani. Hiyo ndio ilifaa muitete . Hiyo ndio dini ya wafrika. Hakuna asiejua kwamba uislam nao uliletwa
Anzisha mada.

Hapa hatutaki kujuwa, soma mada. Hiyo ni historia ya uhuru wetu, unayo mbadala au huna?
 
Mkuu, unajua nini maana ya neno "ISLAM"?!
ISLAM ni neno la kiarabu lenye maana kwa kingereza "Total submission to the willing of GOD"

Kwa Kiswahili "kujikubalisha moja kwa moja kwa Mungu bila pingamizi yoyote"

Katiika kitabu cha Tora/Taurat, chenye maana ya SHERIA alichoteremshiwa Musa aka Moses, Sheria ya mwanzo inasema
"O Hear Israel, The LORD our God, the LORDs is one"
kwa kiswahili cha moja kwa moja "Mungu wetu mmoja" Euteronomy 6:4

Jessu aka Yesu alipoulizwa na wafuasi wake Sheria gani ni bora zaidi aliwajibu kama maneno sheria za Musa "The lord our God, the Lord is one" maana yake "Mungu ni Moja"

Mohamad Mtume mwisho kuteremshwa, wakati ndio kwanza anaanza kuutangaza Uislm alitembelea na watu watatu waliotka kujua ni nani hasa huyu Mungu anaemtangnza..

MMuhammad aliwajibu kwa kiarabu "Allah ahadu, allahu samad......"

Allahu ahadu = The lord our God is one = Mungu ni mmoja..

ISLAM ni kujisalimisha kwa Mungu, Muislam ni yule aliejisalimisha kwa Mungu,, kama alivyofanya Musa aka Moses, Isa aka Jesus aka Yesu na Muhammad..

Nategemea na wewe." You will be total submited to God", Utajisalisha kwa Mungu = Islam
Mkuu jitahidi kuinua kiswahili na kiingereza chako, nadhani hoja yako itaeleweka vizuri zaidi.
 
Mkuu Dada yangu, nikuzimiaye, Faiza Foxy, kwanza asante kutuletea hii clip ya Redio Kheri, yenye maurongo wa Mzee wetu na member mwenzetu Maalim Mohamned Said, maana bila wewe kuileta humu, akina sisi, tusingejua jinsi mnavyodanganyana humo na kufanya uchochezi kwenye hizo redio zenu za dini!.

Kwa kuanzia tuu, kuanzia headline ya bandiko hili ni urongo, Tanu hakijawahi kuwa ni chama cha Kiislamu, kuanzia kuasisiwa kwake, hakuna Muislamu yoyote aliwahi kuasisi chama chochote cha kupigania uhuru wa Tanganyika, Tanu ilitokana na TAA, ambayo ilitokana na AA. Muasisi wa AA ni Mkristo Cecil Kalaghe, muasisi wa TAA ni Mkristo Dr. Kyaruzi, na muasisi wa Tanu ni Mkristo Mwl. Julius Kambarage Nyerere, tangu AA, TAA hadi TANU, hakuna wakati wowote vyama hivi viliwahi kuwa vya dini fulani, ila kitu ambacho ni kweli, Tanu ilimuwa na members wengi Waislamu kuliko Wakristu, ila nguvu ya chama chochote ni logistical support, mfadhili mkuu wa Tanu ni Mkristo tajiri Mzee John Rupia, na sio wale masikini wa Gerezani japo pia tusiudharau mchango wao wa senti 5 ya samaki, senti 10,senti 20 ya mbuni, thumuni ya sungura, na shilingi ya mwenge, enzi hizo, noti ni ya shilingi 5, 10,20, 50 na noti kubwa ilikuwa Sh.100 ya masai.

Nimeisikiliza yote nikakuta ...Du...!, mnapigwa kamba kweli kweli na Mzee wetu huyu...
huu ni muendelezo wa ule ule urongo wa siku zote wa uchochezi wa udini, kusingizia kitu cha urongo marehemu kina karma kali sana!.

Japo namheshimu sana Maalim Mohammed Said, kitu pekee mimi ninachotofautiana nae ni matumizi ya takwimu za urongo ili kupush forward agenda zake ovu za uchochezi wa udini.

Kwenye mahojiano hayo, ameongopa kuwa 76% ya wabunge wa Bunge la JMT, ni Wakatoliki,18% madhehebu mengine ya Kikristu yaliyobakia, halafu Waislamu ni just 6%!. Huu ni urongo wa kiwango cha lami mchana kweupe. Mtu huhitaji kufanya sensa ya Wabunge Waislamu kujua huu ni urongo, bila hata sensa, Wabunge wote kutoka Zanzibar ni Waislamu ambao kabla hujawajumlisha wabunge Waislamu wa bara, hao Wanzibar tuu wenyewe wanafanya theluthi moja ya Wabunge wote!. Huu ni urongo!.

Hata kwa kutumia tuu just ordinary common sense, inakuja kweli akilini, 76% ya wabunge wakawa ni Wakatoliki?!,this doesnt make sense to me, this is non sense, just bull shit!.
(ashakum for this)

Ukiwa na asilimia 99% ya ukweli, na just 1% ya urongo, huo urongo una nullify ukweli wote wa hoja zake kuzifanya null and void ab initio.

P.
Nyerere hakuanzisha chama. Nyerere alikaribishwa na Wazee wa Dar. Akina Sykes. Chama aanzishe Nyerere jina la chama atowe Abdul Wahid Sykes na Ally Sykes?
 
Wa kiislamu,wa kikristo ni hadithi nyingine
Mimi kwa sasa sio mkristo wala muislamu lakini ukiniuliza nina amani upuuzi gani ukitawala dunia kati ya uislamu na ukristo nitakwambia bora upuuzi wa kikristo sababu at least siku hizi wameacha kuua watu kwa kuwalazimisha kuufata,wanawatia uzombi wa akili kwa kuwaaminisha kuna mungu mtu anaitwa yesu siku moja atashuka mawinguni na jeshi la viumbe vinavyoitwa malaika kuwahukumu...garbage
Sawa lakini huo ni uamuzi wako ambavyo uhuru wako wa kujichagulia ulivyokupeleka huko, itakuwa si vizuri kuwaita waislamu au wakristo wapuuzi kwa kuwa tu wewe huamini wanachokiamini. Kwani sisi kama wanadamu tunahitajiana baadhi yetu, tofauti zetu za imani zisilete kutukanana, wewe si unaona humu JF watu wanaweza kutofautiana kwenye mada moja na wakakubaliana mwenye mada nyingine, na binadamu hujafa hujaumbika huu ni msemo mzuri sana. Tuweke hoja fikirishi na si kashfa na matusi.
 
Ninachojua mimi AMNUT ndio kilichokua chama cha kiislam na kwa mujibu wa chama hicho kilitaka uhuru ucheleweshwe eti mpaka waislam wote wapate elimu. Ila inawezekana ndani ya Tanu kulikua na baadhi ya waislam pamoja na wafwas wa dini zingine kwa hio hilo haliwezi kufanya Tanu kua chama cha kislam.
 
Sio Zanzibar tu (hiyo ya Zanzibar ni cha mtoto mtu aende Pakistan, Iran au Afghanistan akaone cha moto) nchi zote za Kiislamu sheria zao zipo hivyo. Hio hali eventually itaenea dunia nzima.
Kwa mujibu wa Vitabu vya Daniel na Ufunuo wa Yohana; Uislamu ndio itakuwa dini pekee itakayoruhusiwa kuwepo hapa duniani kabla ya ujio wa Bwana Yesu Kristo. Na wakati huo ukifika kutakuwa na option mbili tu: ama uwe Muislamu au UFE. (Kina Kiranga na atheists wenzako option yenu haitakuwepo kipindi hicho). Ndio maana hakuna Muislamu asiesema "uislamu unazidi kukua na ndio dini pekee itakayobaki". Sentensi hiyo sio ya kweli per se maana kutakuwa bado na watu watakaokubali kuchinjwa kuliko kuacha Uyahudi au Ukristo wao. Kabla ya (Wakristo na Wayahudi) wote kuisha Bwana wetu Yesu atarudi na kuanzisha Utawala wake usio na mwisho.
Alichokisema Bwana Yesu kwenye Marko 8: 36-37 ndio hasa maana yake. Chagua uislamu ili usife na utakuwa umepata ulimwengu lakini kwa gharama YA NAFSI YAKO.
Jiandae ndugu kiroho.
Ni Biblia gani hiyo ya wapi inatumika katika dini gani au dhehebi gani iliyoutaja uislamu kwenye maandiko yake?
Kumbuka uislamu upo mwaka 1440 sasa ukristo una miaka zaidi ya 2000.
Katika Ukristo sisi ni watu wa uzima hatuneni mauti tena wala dhambi Kristo Yesu alishayashinda hayo na sisi watu wa mataifa tumekombolewa kupitia damu yake.
Huwezi kumsikia Mkristo anaongea au anawaza kuchinjwa, kupigwa mawe, ama kufa siku atakayorudi Messiah ama sasa! kwa sababu hatuna Torati tena tuna habari njema Kristo katuweka huru.
Ukristo hauna maandiko popote yakumlazimisha mtu kuwa Mkristo kwa vitisho Mungu huwa anajipambanua kwa namna yake Kama alivyofanya kwa mzee wetu Remy Ongala.
 
Nyerere hakuanzisha chama. Nyerere alikaribishwa na Wazee wa Dar. Akina Sykes. Chama aanzishe Nyerere jina la chama atowe Abdul Wahid Sykes na Ally Sykes?
Faiza unamatatizo fulani na Wakristo? Founder wa TANU ni Julius Kambarage Nyerere huwezi kupinga hilo kokote
 
Sawa lakini huo ni uamuzi wako ambavyo uhuru wako wa kujichagulia ulivyokupeleka huko, itakuwa si vizuri kuwaita waislamu au wakristo wapuuzi kwa kuwa tu wewe huamini wanachokiamini. Kwani sisi kama wanadamu tunahitajiana baadhi yetu, tofauti zetu za imani zisilete kutukanana, wewe si unaona humu JF watu wanaweza kutofautiana kwenye mada moja na wakakubaliana mwenye mada nyingine, na binadamu hujafa hujaumbika huu ni msemo mzuri sana. Tuweke hoja fikirishi na si kashfa na matusi.
Neno ipuuzi sio tusi,ni sifa ya kitu kulingana na ushahidi uliopo
Baada ya kusoma biblia na quran kwa kina nimefikia muafaka kuwa ni imani za kipuuzi,..sijui kuhusu wewe
 
Mkuu, unajua nini maana ya neno "ISLAM"?!
ISLAM ni neno la kiarabu lenye maana kwa kingereza "Total submission to the willing of GOD"
Kwa Kiswahili "kujikubalisha moja kwa moja kwa Mungu bila pingamizi yoyote"
Katiika kitabu cha Tora/Taurat, chenye maana ya SHERIA alichoteremshiwa Musa aka Moses, Sheria ya mwanzo inasema
"O Hear Israel, The LORD our God, the LORDs is one"
kwa kiswahili cha moja kwa moja "Mungu wetu mmoja" Euteronomy 6:4
Jessu aka Yesu alipoulizwa na wafuasi wake Sheria gani ni bora zaidi aliwajibu kama maneno sheria za Musa "The lord our God, the Lord is one" maana yake "Mungu ni Moja"
Mohamad Mtume mwisho kuteremshwa, wakati ndio kwanza anaanza kuutangaza Uislm alitembelea na watu watatu waliotka kujua ni nani hasa huyu Mungu anaemtangnza..
MMuhammad aliwajibu kwa kiarabu "Allah ahadu, allahu samad......"
Allahu ahadu = The lord our God is one = Mungu ni mmoja.. ISLAM ni kujisalimisha kwa Mungu, Muislam ni yule aliejisalimisha kwa Mungu,, kama alivyofanya Musa aka Moses, Isa aka Jesus aka Yesu na Muhammad..
Nategemea na wewe." You will be total submited to God", Utajisalisha kwa Mungu = Islam
Torati haipo tena katika Ukristo ni mfu.
 
Baada ya kumaliza kuandika pumba zako we sigara nyota nenda bafuni kaoshe vipuyuyu mumeo anarudi kaa mkao akugonge "0713"
 
Falla, Ni folly
muafi, Una historia mbadala wa iliyoletwa hapo? Umeusikiliza mkanda?

Hilo la "mafala" Kwa upande wangu hujakosea, mimi ni falah.

"Fala" ni neno linalotokana na neno la Kiarabu "falah" likimaanisha "peasant" Kwa Kiswahili "mkulima mdogo" au "mshamba". Karibu kwetu shamba.

Kwa upande wa Alama Mohamed Said nimekuwekea ukurasa wa wikipedia unaomuelezea, sidhani kama ana "qualify" kuwa fala.
 
Neno ipuuzi sio tusi,ni sifa ya kitu kulingana na ushahidi uliopo
Baada ya kusoma biblia na quran kwa kina nimefikia muafaka kuwa ni imani za kipuuzi,..sijui kuhusu wewe
Naomba unipe huo ushahidi wa upuuzi ndani ya Quran baada ya wewe kuisoma kwa kina, ili niufahamu na kuutafakari.
 
Sio Zanzibar tu (hiyo ya Zanzibar ni cha mtoto mtu aende Pakistan, Iran au Afghanistan akaone cha moto) nchi zote za Kiislamu sheria zao zipo hivyo. Hio hali eventually itaenea dunia nzima.

Kwa mujibu wa Vitabu vya Daniel na Ufunuo wa Yohana; Uislamu ndio itakuwa dini pekee itakayoruhusiwa kuwepo hapa duniani kabla ya ujio wa Bwana Yesu Kristo. Na wakati huo ukifika kutakuwa na option mbili tu: ama uwe Muislamu au UFE. (Kina Kiranga na atheists wenzako option yenu haitakuwepo kipindi hicho). Ndio maana hakuna Muislamu asiesema "uislamu unazidi kukua na ndio dini pekee itakayobaki". Sentensi hiyo sio ya kweli per se maana kutakuwa bado na watu watakaokubali kuchinjwa kuliko kuacha Uyahudi au Ukristo wao. Kabla ya (Wakristo na Wayahudi) wote kuisha Bwana wetu Yesu atarudi na kuanzisha Utawala wake usio na mwisho.

Alichokisema Bwana Yesu kwenye Marko 8: 36-37 ndio hasa maana yake. Chagua uislamu ili usife na utakuwa umepata ulimwengu lakini kwa gharama YA NAFSI YAKO.
Jiandae ndugu kiroho.
Unabii hautafsriki hivyo Mkuu. Basi unabii mwingine unasema nchi zote zinazotegemea mafuta zitakuwa mufilisi muda siom mrefu sana. ZITAKUWA CHOKA MBAYA. Kwa mabadiliko ya teknolojia na magari ya umeme na nishati mbadala we unaonaje ? SIO NDIO MWELEKEO, hata Saudi Arabia ameanza kuwekeza kwenye bishara tofauti. Hiyo nguvu wakati wako mufilisi choka mbaya itatoka wapi au kwa Ibilisibin Shetuani bin lucifer
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom