Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Chama ni cha waislamu, ila anakuja mkristo anawaburuza humo alafu mpo tu mnabaki kulialia!yaani ni sawa na leo gwajima aongoze bakwata na kuwaburuzaElimu! Elimu! Elimu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama ni cha waislamu, ila anakuja mkristo anawaburuza humo alafu mpo tu mnabaki kulialia!yaani ni sawa na leo gwajima aongoze bakwata na kuwaburuzaElimu! Elimu! Elimu!
NISTUE AKIJIBUFounder wa TANU ni nani?
Muislamu ndugu yake muislamu! Hicho ndicho waliambiwa, hata siku moja usifikiri muislamu ndugu yake atakuwa mkristo(kama unanielewa, ila kutokana na maisha yalivyo hawana jinsi tu)tuache ujinga sasa ,sisi sote ni ndugu hakuna dini,kabila wala tabaka bora ktk jamii yetu ,tupambane Na uchumi tulionao
Unabii hautafsriki hivyo Mkuu. Basi unabii mwingine unasema nchi zote zinazotegemea mafuta zitakuwa mufilisi muda siom mrefu sana. ZITAKUWA CHOKA MBAYA. Kwa mabadiliko ya teknolojia na magari ya umeme na nishati mbadala we unaonaje ? SIO NDIO MWELEKEO, hata Saudi Arabia ameanza kuwekeza kwenye bishara tofauti. Hiyo nguvu wakati wako mufilisi choka mbaya itatoka wapi au kwa Ibilisibin Shetuani bin lucifer
Sasa huyo nyerere aliwazidia wapi hadi kuja kuwaongoza humo chamani?Nyerere hakuanzisha chama. Nyerere alikaribishwa na Wazee wa Dar. Akina Sykes. Chama aanzishe Nyerere jina la chama atowe Abdul Wahid Sykes na Ally Sykes?
Ni Biblia gani hiyo ya wapi inatumika katika dini gani au dhehebi gani iliyoutaja uislamu kwenye maandiko yake?
Kumbuka uislamu upo mwaka 1440 sasa ukristo una miaka zaidi ya 2000.
Katika Ukristo sisi ni watu wa uzima hatuneni mauti tena wala dhambi Kristo Yesu alishayashinda hayo na sisi watu wa mataifa tumekombolewa kupitia damu yake.
Huwezi kumsikia Mkristo anaongea au anawaza kuchinjwa, kupigwa mawe, ama kufa siku atakayorudi Messiah ama sasa! kwa sababu hatuna Torati tena tuna habari njema Kristo katuweka huru.
Ukristo hauna maandiko popote yakumlazimisha mtu kuwa Mkristo kwa vitisho Mungu huwa anajipambanua kwa namna yake Kama alivyofanya kwa mzee wetu Remy Ongala.
No No No sijasema wewe umesema mi ndio nakuambia hao waarabu wataakavyo filisika mafuta yatakuwa sio dili tena I drink only water. Have a good dayKuna mahali nimeandika hayo maneno "choka mbaya"? What have you been drinking?.
Aliwazidia kwny uwezo wa ubongo kufikiri (IQ)Sasa huyo nyerere aliwazidia wapi hadi kuja kuwaongoza humo chamani?
Itakuwa kweli, maana haiingii akilini chama ni chenu alafu anakuja mgeni anawaburuza anavyotakaAliwazidia kwny uwezo wa ubongo kufikiri (IQ)
Kwanza napenda ifahamike kuwa dhumuni la kuipandisha clip hii hapa ni kumpinga huyo anaejiita "Sungura Media" aliyeipandisha clip hii youtube na kuandika kuwa eti ni "video ya siri". Haya mafundisho ya historia ya Alama Mohamed Said siyo siri, yapo mtandaoni, yapo kwenye tovuti yake na yameshajadiliwa sana hapa JF.
Mfahamu Alama Mohamed Said:
Sheikh Mohamed Said Abdallah alizaliwa mnamo tarehe 25 Februarikatika mwaka wa 1952 huko Gerezani jijini Dar es Salaam - ambapo ndiko kulikokuwa na asili ya upinzani dhidi ya ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika. Babu yake, Mzee Salum Abdallah Popo alikuwa muasisi wa harakati za vyama vya wafanyakazi na alikuwa mmoja kati ya watu wa awali kabisa kuanzisha upinzani na kuunga mkono hoja ya kupinga utawala wa kikoloni. Mwaka wa 1947, Mzee Popo aliongoza mgomo wa kwanza nchini Tanganyika katika majimbo ya kati nchi uliopangwa na wafanyakazi wa Tanganyika Railways. Tanganyika ilipopata uhuru wake mwaka 1961, Mzee Popo aliachana na mkono wa Nyerere kama jinsi wengi walivyofanya na alitiwa kizuizini na serikali kwa ajili ya msimamo wake wa kuwa vyama vya wafanyakazi sharti viwe huru. Akiwa mwenyekiti wa Tanganyika Railways African Union (TRAU) alipinga vyama vya wafanyakazi kuwekwa chini ya Tanganyika African National Union (TANU) chini ya Rais Julius Nyerere. Sheikh Mohamed Said ana shahada katika masuala ya Sayansi ya Siasa kutoka katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Vilevile ana Stashahada katika masuala ya Maritime Studies kutoka katika Chuo Kikuu cha Wales huko mjini [[Cardiff, Uingereza na nyingine ya BIMA kutoka katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha cha Dar es Salaam (IFM).
Utafiti juu ya historia ya uhuru wa TangayikaEdit
Mohamed Said amefanya utafiti mwingi sana juu ya historia ya uhuru wa Tanganyika, historia ambayo kabla ya utafiti wake ilichukuliwa kama iliyohitimishwa na ameweza kufukua mambo muhimu ambayo yalifichwa katika historia iliyokuwa ikitambulikana rasmi. Alianza kufahamika zaidi katika miaka ya themanini kupitia makala zake za kusisimua zilizokuwa zinahangaisha fikra za wasomaji kwa kufichua yale yaliyofichwam zilizoelezea mchango muhimu wa Waislamu na Uislamu katika harakati za kupinga ukoloni katika Tanganyika na khiyana waliofanyiwa Waislamu na serikali zote mbili, yaani, kabla ya uhuru na baada ya uhuru - jambo ambalo kwa wakati ule lilikuwa mwiko kufanyiwa utafiti au kuandikwa. Makala hizo zilipata kuchapishwa katika magazeti na majarida maarufu barani Afrika na katika magazeti ndani na nje ya Tanzania. Baadhi tu ya makala zake za utafiti ni pamoja na "In Praise of Ancestors" (1988), "Africa Events (London), "Abdulwahid Sykes: Founder of a Political Movement" Africa Events - London (1988), "Islam and Politics in Tanzania" (1989), Al Haq Internation (Karachi), "The Plight of Tanzania Muslim" (1993) Change (Dar es Salaam) na "The Secular Unsecular State" (1995) Change (Dar es Salaam).
Tazama piaEdit
- Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes
- Sheikh Ilunga Hassan
- Sheikh Suleiman Takadir
- Abdulwahid Sykes
- Ally Sykes
- Azimio la Tabora
- TANU
- Titi Mohamed
- Ali Msham
Viungo vya Nje
Chanzo: https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Mohamed_Said
cc: Mohamed Said
Yani mtu anajitapa kabisa kwamba "TANU kilikuwa chama cha Waislamu" kama hiyo ni sifa nzuri ya kujivunia?Chama ni cha waislamu, ila anakuja mkristo anawaburuza humo alafu mpo tu mnabaki kulialia!yaani ni sawa na leo gwajima aongoze bakwata na kuwaburuza
Hahaha hahahaha.........!Kwa mfano vimondo angani ni mizinga anayotumia allah kumzuia shetani asiingie mbinguni..
Jua kuzama kwenye dimbwi la maji machafu,mohamed kupasua mwezi vipande viwili,mohamed kupaa na farasi hadi mbinguni
This video is unavailable!Nyama ipo kwenye hiyo clip, isikilize.
Mbona wanadundana sana Waislam,Allah Wakbal huku wanatoa uhai wa mtu.Umejazwa ujinga na ukakujaa. Uislam ni salama kabisa.
Umetaja kitabu cha Daniel ambacho ni agano la kale na Ufunuo wa Yohana ambacho ni agano jipya hivi vyote havina neno uislamu.Rudia tena kusoma nilichoandika kwenye hiyo post yangu uliyoijibu. Hakuna nilipoandika kuwa Wakristo watachinja au watalazimisha watu wawe Wakristo.
Btw; soma vitabu nilivyovitaja.