Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mpaka sasa wamejenga misikiti mingi tu mikubwa na kufungua vituo vya radio na tv na shule nyingi za kiislamu zinashika mkia tangu tupate uhuru. hizo tv ndio zinatoa elimu ya kuzulumiwa haki na wagalatiaSasa mpaka sasa mmefanya nini?
Misikiti wanajengewa Sheikhmpaka sasa wamejenga misikiti mingi tu mikubwa na kufungua vituo vya radio na tv na shule nyingi za kiislamu zinashika mkia tangu tupate uhuru.
wewe umri wako ulikuwepo wakati anakamatwa tukio hilo wengi wapo hai na kumbukumbu kibao endeleeni kudanganyana
True, moja ya strategy yao ili wapate zaidi ni kulalamika kuwa wanaonewa, na kwenye kila jambo hulalamikaWaislam kwa kujifanya victims ili mpate zaidi tushawasitukia hiyo janja
Wakristo ndio victims ndio wanatakiwa wailalamikie Serkali kwasababu waislam wanapendelewa zaidi
Una akili finyu sana wewe AjuzaWazee wa TANU kuwapigania kupata kwa hali na Mali kupata Uhuru ni dogo hilo?
Jibu hilo ni jibu lako ukisema waislam walikuwa wapi wakati Bibi Titi anadhulumiwa nawe jibu watetez waki za binadamu wakowapi leo wakti UHURU WA HABAR UNANYIMWA WAKT WASEMA KWELI WANAPIGWA RISASI SAA NANE MCHANA WAKT WAANDISHI WANAPOTEA??Hujajibu swali uliloulizwa,
Badala yake unauliza swali ambalo sijalihitaji.
Jibu swali uliloulizwa kisha tusonge mbele sheikh.
Waislam walikuwa wapi?
Una Akili na kumbukumbu?Jibu hilo ni jibu lako ukisema waislam walikuwa wapi wakati Bibi Titi anadhulumiwa nawe jibu watetez waki za binadamu wakowapi leo wakti UHURU WA HABAR UNANYIMWA WAKT WASEMA KWELI WANAPIGWA RISASI SAA NANE MCHANA WAKT WAANDISHI WANAPOTEA??
Wapo wapiii??
Nimekujibu au hujalipenda jibu? kisha nimekuuliza swali. Jibu basi swali langu ili mjadala unoge badala ya kunikumbusha sifa njema ya uajuza wangu.Una akili finyu sana wewe Ajuza
Nakuulizeni mpaka sasa mmefanya nini unanijibu kupitia wazee wa zamani walichofanya.
Umeisikiliza clipi?Una Akili na kumbukumbu?
Mimi nimechangia mada yoyote kuhusu Bibi Titi Mohammed?
Nimekuulizeni enyi wafuasi wa Mudy
Wakati Nyerere akianzisha Mfumo Kristo, akiukandamiza Uislam....mlikuwa wapi mpaka leo hii mje kulialia hapa kama ilivyo desturi yenu?
Nadhani wanataka watambulike kama wapigania Uhuru japo waliopigania huo Uhuru ni Watanganyika (bila kujali dini).Kwani mnataka nini hasa kwenye historia ya nchi hii?
Mkuu, unajua nini maana ya neno "ISLAM"?!
ISLAM ni neno la kiarabu lenye maana kwa kingereza "Total submission to the willing of GOD"
Kwa Kiswahili "kujikubalisha moja kwa moja kwa Mungu bila pingamizi yoyote"
Katiika kitabu cha Tora/Taurat, chenye maana ya SHERIA alichoteremshiwa Musa aka Moses, Sheria ya mwanzo inasema
"O Hear Israel, The LORD our God, the LORDs is one"
kwa kiswahili cha moja kwa moja "Mungu wetu mmoja" Euteronomy 6:4
Jessu aka Yesu alipoulizwa na wafuasi wake Sheria gani ni bora zaidi aliwajibu kama maneno sheria za Musa "The lord our God, the Lord is one" maana yake "Mungu ni Moja"
Mohamad Mtume mwisho kuteremshwa, wakati ndio kwanza anaanza kuutangaza Uislm alitembelea na watu watatu waliotka kujua ni nani hasa huyu Mungu anaemtangnza..
MMuhammad aliwajibu kwa kiarabu "Allah ahadu, allahu samad......"
Allahu ahadu = The lord our God is one = Mungu ni mmoja..
ISLAM ni kujisalimisha kwa Mungu, Muislam ni yule aliejisalimisha kwa Mungu,, kama alivyofanya Musa aka Moses, Isa aka Jesus aka Yesu na Muhammad..
Nategemea na wewe." You will be total submited to God", Utajisalisha kwa Mungu = Islam
Nijibu upupu?Nimekujibu au hujalipenda jibu? kisha nimekuuliza swali. Jibu basi swali langu ili mjadala unoge badala ya kunikumbusha sifa njema ya uajuza wangu.
Mkuu Mayala ktk bandiko lako unapingana na mleta mada kwamba Hawkins ukweli wowote wa harakat za Siasa za Tangannyika kuongozwa na WaislamuMkuu Dega, mijadala humu inaendeshwa kwa hoja, mleta mada kaleta hoja ya uongo, na kuleta mahojiano yenye uongo mwingi na ukweli kidogo, tukaonyesha urongo ulipo.
Sasa wewe katika hili la Bibi Titi, hoja yako ni ipi haswa?.
P
Clipi ndio nini?Umeisikiliza clipi?
Ukweli utabaki kuwa ukweli tuu jiulize kwa nini hacgukuliwi hatua mungeanza kwa MSIBA kwanzaAmeanza siku nyingi sana na vitabu anavichapisha vyenye Uzushi mtupu na udini.
Serikali imchukulie hatua.