Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Status
Not open for further replies.
U
Nimekutolea hiyo mifano kuonyesha tu ni trend ya Waislam Duniani kote, wanagombana na kila mtu na wakiwa wenyewe wanagombana pia

Nigeria, Sudan, Somalia, Mali, Saudi Arabia kote huko wanachinjana, wanachinja wasio Waislam au Waislam wa madhehebu tofauti
Utaji wao ndio unaowafanya wawe hivyo, kuna chochoko nyingi kutoka nje..

Rasilimali ya mafuta ndio laana..
 


Sheikh Mohamed Said Abdallah alizaliwa mnamo tarehe 25 Februarikatika mwaka wa 1952 huko Gerezani jijini Dar es Salaam - ambapo ndiko kulikokuwa na asili ya upinzani dhidi ya ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika. Babu yake, Mzee Salum Abdallah Popo alikuwa muasisi wa harakati za vyama vya wafanyakazi na alikuwa mmoja kati ya watu wa awali kabisa kuanzisha upinzani na kuunga mkono hoja ya kupinga utawala wa kikoloni. Mwaka wa 1947, Mzee Popo aliongoza mgomo wa kwanza nchini Tanganyika katika majimbo ya kati nchi uliopangwa na wafanyakazi wa Tanganyika Railways. Tanganyika ilipopata uhuru wake mwaka 1961, Mzee Popo aliachana na mkono wa Nyerere kama jinsi wengi walivyofanya na alitiwa kizuizini na serikali kwa ajili ya msimamo wake wa kuwa vyama vya wafanyakazi sharti viwe huru. Akiwa mwenyekiti wa Tanganyika Railways African Union (TRAU) alipinga vyama vya wafanyakazi kuwekwa chini ya Tanganyika African National Union (TANU) chini ya Rais Julius Nyerere. Sheikh Mohamed Said ana shahada katika masuala ya Sayansi ya Siasa kutoka katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Vilevile ana Stashahada katika masuala ya Maritime Studies kutoka katika Chuo Kikuu cha Wales huko mjini [[Cardiff, Uingereza na nyingine ya BIMA kutoka katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha cha Dar es Salaam (IFM).


Utafiti juu ya historia ya uhuru wa TangayikaEdit

Mohamed Said amefanya utafiti mwingi sana juu ya historia ya uhuru wa Tanganyika, historia ambayo kabla ya utafiti wake ilichukuliwa kama iliyohitimishwa na ameweza kufukua mambo muhimu ambayo yalifichwa katika historia iliyokuwa ikitambulikana rasmi. Alianza kufahamika zaidi katika miaka ya themanini kupitia makala zake za kusisimua zilizokuwa zinahangaisha fikra za wasomaji kwa kufichua yale yaliyofichwam zilizoelezea mchango muhimu wa Waislamu na Uislamu katika harakati za kupinga ukoloni katika Tanganyika na khiyana waliofanyiwa Waislamu na serikali zote mbili, yaani, kabla ya uhuru na baada ya uhuru - jambo ambalo kwa wakati ule lilikuwa mwiko kufanyiwa utafiti au kuandikwa. Makala hizo zilipata kuchapishwa katika magazeti na majarida maarufu barani Afrika na katika magazeti ndani na nje ya Tanzania. Baadhi tu ya makala zake za utafiti ni pamoja na "In Praise of Ancestors" (1988), "Africa Events (London), "Abdulwahid Sykes: Founder of a Political Movement" Africa Events - London (1988), "Islam and Politics in Tanzania" (1989), Al Haq Internation (Karachi), "The Plight of Tanzania Muslim" (1993) Change (Dar es Salaam) na "The Secular Unsecular State" (1995) Change (Dar es Salaam).


Tazama piaEdit



Viungo vya Nje

Chanzo: https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Mohamed_Said

jiwe na mwanaye Bashite sasa hivi wanakujengeeni msikiti... mwahitaji nini cha zaidi tena ndugu zangu wapendwa?
 
Mkuu Dada yangu, nikuzimiaye, Faiza Foxy, kwanza asante kutuletea hii clip ya Redio Kheri, yenye maurongo wa Mzee wetu na member mwenzetu Maalim Mohamned Said, maana bila wewe kuileta humu, akina sisi, tusingejua jinsi mnavyodanganyana humo na kufanya uchochezi kwenye hizo redio zenu za dini!.

Kwa kuanzia tuu, kuanzia headline ya bandiko hili ni urongo, Tanu hakijawahi kuwa ni chama cha Kiislamu, kuanzia kuasisiwa kwake, hakuna Muislamu yoyote aliwahi kuasisi chama chochote cha kupigania uhuru wa Tanganyika, Tanu ilitokana na TAA, ambayo ilitokana na AA. Muasisi wa AA ni Mkristo Cecil Kalaghe, muasisi wa TAA ni Mkristo Dr. Kyaruzi, na muasisi wa Tanu ni Mkristo Mwl. Julius Kambarage Nyerere, tangu AA, TAA hadi TANU, hakuna wakati wowote vyama hivi viliwahi kuwa vya dini fulani, ila kitu ambacho ni kweli, Tanu ilimuwa na members wengi Waislamu kuliko Wakristu, ila nguvu ya chama chochote ni logistical support, mfadhili mkuu wa Tanu ni Mkristo tajiri Mzee John Rupia, na sio wale masikini wa Gerezani japo pia tusiudharau mchango wao wa senti 5 ya samaki, senti 10,senti 20 ya mbuni, thumuni ya sungura, na shilingi ya mwenge, enzi hizo, noti ni ya shilingi 5, 10,20, 50 na noti kubwa ilikuwa Sh.100 ya masai.

Nimeisikiliza yote nikakuta ...Du...!, mnapigwa kamba kweli kweli na Mzee wetu huyu...
huu ni muendelezo wa ule ule urongo wa siku zote wa uchochezi wa udini, kusingizia kitu cha urongo marehemu kina karma kali sana!.

Japo namheshimu sana Maalim Mohammed Said, kitu pekee mimi ninachotofautiana nae ni matumizi ya takwimu za urongo ili kupush forward agenda zake ovu za uchochezi wa udini.

Kwenye mahojiano hayo, ameongopa kuwa 76% ya wabunge wa Bunge la JMT, ni Wakatoliki,18% madhehebu mengine ya Kikristu yaliyobakia, halafu Waislamu ni just 6%!. Huu ni urongo wa kiwango cha lami mchana kweupe. Mtu huhitaji kufanya sensa ya Wabunge Waislamu kujua huu ni urongo, bila hata sensa, Wabunge wote kutoka Zanzibar ni Waislamu ambao kabla hujawajumlisha wabunge Waislamu wa bara, hao Wanzibar tuu wenyewe wanafanya theluthi moja ya Wabunge wote!. Huu ni urongo!.

Hata kwa kutumia tuu just ordinary common sense, inakuja kweli akilini, 76% ya wabunge wakawa ni Wakatoliki?!,this doesnt make sense to me, this is non sense, just bull shit!.
(ashakum for this)

Ukiwa na asilimia 99% ya ukweli, na just 1% ya urongo, huo urongo una nullify ukweli wote wa hoja zake kuzifanya null and void ab initio.

P.
Masikini wa gerezani, walichangia samaki, thumni, teheteheee tehetehee
 
Dada faiza, hapo kwa kuanzia huyo mzee mohamed said kasema waislamu walijipanga kuanzisha shule za awali, za sekondari pamoja na vyuo vikuu ila nyerere ndio aliwabania! Swali langu, kwa nini msianzishe sasa hayo mashule na vyuo vikuu????maana sasa ivi ndio rahisi sana kwa kuwa watu wana uelewa miundombinu ipo ya kutosha?
Hata Kimoja tuu walichonacho cha morogoro kimewashinda.
 
Mwisilamu hata akisoma vipi haelimiki
Nakuombeni sana, msiwakashifu Waislamu wote kwa sababu tuu ya Waislamu wachache wajinga wajinga kama hawa.

Mimi nimelelewa sana kimaisha na Waislamu, Tangu nikiwa RTD, tumeanza kazi siku moja na Aboubakar Liongo, mtoto wa Mzee Sheikh Jumaa Liongo (RIP)pale Ilala Flats. Nimeanza kujitegemea tukapewa flat na Dada Mwajuma Mchuka, akiwa ATC, pale Ilala Sharrif Shamba, tumekaa na Abou nyumba moja, nyumba ya pili akikaa Halima Mchuka (RIP), hawa wote ni Waislamu safi. Japo mimi ni Mkristu, mwenzi Mtukufu wa Ramadhani nilijikuta nafunga hivyo tunafuturu pamoja, japo mimi mwenzao, nilikiwa nikizidiwa, nakazia kimya kimya, halafu jioni kufuturu kama kawa.

Tangu enzi hizo Abou kwao ni kwangu, kwangu kwao, mpaka leo mpaka kesho, kila siku ya Iddi, mimi na familia yangu ni pilau na biriani pale Ilala kwa mama Liongo, tumeoa, tumezaa hadi sasa tuna wajukuu tuko kama ndugu.

Kuna wengi wanadhani kile kipindi cha Kiti Moto ni changu, mimi nilikuwa mwendeshaji tuu, yaani host, mwenye kipindi halisi ni kijana wa Kiislamu Ali Omar, au Ali Oki, na Jove, baba yake Ali na Sheikh Jabir ndio watu wa kwanza kufungua video studio jijini Dar, Studio ya Jabir na Omar, JO Traders. Hawa walinilea vyema sana Kiislamu na kunipeleka kwa kina Sheikh Kassim Bin Jumaa, Sheikh Nurdin, Sheikh Comorean, etc, wote hawa ni Waislamu safi sana.

Tusiwahukumu Waislamu wote safi kwa ujinga wa hawa Waislamu wachache wajinga wajinga.
P
 
Kama Nyerere aliua Uislam kweli Tanzania
Basi aliona mbali sana

Maana nikiona demand wanazotaka Waislam huku Tz Bara halafu ukilinganisha na wanachowafanyia wasio Waislam kule Zanzibar, utaona kabisa hawa watu wakiwa na nguvu sana lazima amani ya nchi itatetereka tu au watajaribu ku Islamize nchi nzima

Waislam mtaona kama nina chuki na nyie ila huu ni ukweli unaouma mtanisamehe

Mfano, India na Pakistan zilikuwa nchi moja chini ya utawala wa Mwingereza, ila kutokana na demand za Waislam na vurugu zao ikabidi waigawe iwe nchi Mbili, Waislam wakaenda Pakistan, Wahindu wakabaki India
Na huko tutafika tu, kwasababu kuna baadhi ya culture siyo conducive kwa maendeleo.
 


Sheikh Mohamed Said Abdallah alizaliwa mnamo tarehe 25 Februarikatika mwaka wa 1952 huko Gerezani jijini Dar es Salaam - ambapo ndiko kulikokuwa na asili ya upinzani dhidi ya ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika. Babu yake, Mzee Salum Abdallah Popo alikuwa muasisi wa harakati za vyama vya wafanyakazi na alikuwa mmoja kati ya watu wa awali kabisa kuanzisha upinzani na kuunga mkono hoja ya kupinga utawala wa kikoloni. Mwaka wa 1947, Mzee Popo aliongoza mgomo wa kwanza nchini Tanganyika katika majimbo ya kati nchi uliopangwa na wafanyakazi wa Tanganyika Railways. Tanganyika ilipopata uhuru wake mwaka 1961, Mzee Popo aliachana na mkono wa Nyerere kama jinsi wengi walivyofanya na alitiwa kizuizini na serikali kwa ajili ya msimamo wake wa kuwa vyama vya wafanyakazi sharti viwe huru. Akiwa mwenyekiti wa Tanganyika Railways African Union (TRAU) alipinga vyama vya wafanyakazi kuwekwa chini ya Tanganyika African National Union (TANU) chini ya Rais Julius Nyerere. Sheikh Mohamed Said ana shahada katika masuala ya Sayansi ya Siasa kutoka katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Vilevile ana Stashahada katika masuala ya Maritime Studies kutoka katika Chuo Kikuu cha Wales huko mjini [[Cardiff, Uingereza na nyingine ya BIMA kutoka katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha cha Dar es Salaam (IFM).


Utafiti juu ya historia ya uhuru wa TangayikaEdit

Mohamed Said amefanya utafiti mwingi sana juu ya historia ya uhuru wa Tanganyika, historia ambayo kabla ya utafiti wake ilichukuliwa kama iliyohitimishwa na ameweza kufukua mambo muhimu ambayo yalifichwa katika historia iliyokuwa ikitambulikana rasmi. Alianza kufahamika zaidi katika miaka ya themanini kupitia makala zake za kusisimua zilizokuwa zinahangaisha fikra za wasomaji kwa kufichua yale yaliyofichwam zilizoelezea mchango muhimu wa Waislamu na Uislamu katika harakati za kupinga ukoloni katika Tanganyika na khiyana waliofanyiwa Waislamu na serikali zote mbili, yaani, kabla ya uhuru na baada ya uhuru - jambo ambalo kwa wakati ule lilikuwa mwiko kufanyiwa utafiti au kuandikwa. Makala hizo zilipata kuchapishwa katika magazeti na majarida maarufu barani Afrika na katika magazeti ndani na nje ya Tanzania. Baadhi tu ya makala zake za utafiti ni pamoja na "In Praise of Ancestors" (1988), "Africa Events (London), "Abdulwahid Sykes: Founder of a Political Movement" Africa Events - London (1988), "Islam and Politics in Tanzania" (1989), Al Haq Internation (Karachi), "The Plight of Tanzania Muslim" (1993) Change (Dar es Salaam) na "The Secular Unsecular State" (1995) Change (Dar es Salaam).


Tazama piaEdit



Viungo vya Nje

Chanzo: https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Mohamed_Said

Apeleke upuuzi wake Uko.Asili ya TANU no Chama cha Wafanyakazi TAA
 
Nakuombeni sana, msiwakashifu Waislamu wote kwa sababu tuu ya Waislamu wachache wajinga wajinga kama hawa.

Mimi nimelelewa sana kimaisha na Waislamu, Tangu nikiwa RTD, tumeanza kazi siku moja na Aboubakar Liongo, mtoto wa Mzee Sheikh Jumaa Liongo (RIP)pale Ilala Flats. Nimeanza kujitegemea tukapewa flat na Dada Mwajuma Mchuka, akiwa ATC, pale Ilala Sharrif Shamba, tumekaa na Abou nyumba moja, nyumba ya pili akikaa Halima Mchuka (RIP), hawa wote ni Waislamu safi. Japo mimi ni Mkristu, mwenzi Mtukufu wa Ramadhani nilijikuta nafunga hivyo tunafuturu pamoja, japo mimi mwenzao, nilikiwa nikizidiwa, nakazia kimya kimya, halafu jioni kufuturu kama kawa.

Tangu enzi hizo Abou kwao ni kwangu, kwangu kwao, mpaka leo mpaka kesho, kila siku ya Iddi, mimi na familia yangu ni pilau na biriani pale Ilala kwa mama Liongo, tumeoa, tumezaa hadi sasa tuna wajukuu tuko kama ndugu.

Kuna wengi wanadhani kile kipindi cha Kiti Moto ni changu, mimi nilikuwa mwendeshaji tuu, yaani host, mwenye kipindi halisi ni kijana wa Kiislamu Ali Omar, au Ali Oki, na Jove, baba yake Ali na Sheikh Jabir ndio watu wa kwanza kufungua video studio jijini Dar, Studio ya Jabir na Omar, JO Traders. Hawa walinilea vyema sana Kiislamu na kunipeleka kwa kina Sheikh Kassim Bin Jumaa, Sheikh Nurdin, Sheikh Comorean, etc, wote hawa ni Waislamu safi sana.

Tusiwahukumu Waislamu wote safi kwa ujinga wa hawa Waislamu wachache wajinga wajinga.
P
Noted mkuu. Shida ni kwamba hawa wachache wanaharibu kabisa uislam wenyewe.

Nina mzee mmoja mtaani kwetu alikua rafiki yangu wa muda mrefu, alijitahidi sana kunishawishi niingie uislam nilivyo goma sasa Kani fanya kua adui yake. Hata salaam hataki.
 
[QUOTE="FaizaFoxy, po
Chanzo: https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Mohamed_Said
[/QUOTE]

Inawezekana, ila siamini chama cha kiislamu kuongozwa na Kafiri hii ni ngumu kumeza, yaani chama kama hezbolah ya lebanon iongozwe na mkristo aitwaye kafir ki imani. Huenda kwa Nyerere ilikuwa tofauti. au Nyerere alikuwa boya tu pale
 
muafi, Una historia mbadala wa iliyoletwa hapo? Umeusikiliza mkanda?

Hilo la "mafala" Kwa upande wangu hujakosea, mimi ni falah.

"Fala" ni neno linalotokana na neno la Kiarabu "falah" likimaanisha "peasant" Kwa Kiswahili "mkulima mdogo" au "mshamba". Karibu kwetu shamba.

Kwa upande wa Alama Mohamed Said nimekuwekea ukurasa wa wikipedia unaomuelezea, sidhani kama ana "qualify" kuwa fala.


hongera sana kwa kujijua wewe ni Fala.

Unapenda udini sana unatamani Dunia nzima wawe waislam na waongozwe na waislam, hiyoo ni akili Ya Fala sasa
 
Hivi mada kama hii inajenga au inabomoa? Sioni msingi wake kwa iki kizazi cha leo.

Ili ni pigo kwa Jf kuwa na Bibi kilaza kama wewe.
 
Trumpeter anaonekana anaropoka ila yupo sahihi wewe ni kigalula ni mmoja wa waafrika mnaotakiwa kupimwa na kuchunguza kama waafrika waarabu koko wanastaili kuwa binadamu au wapo kwenye kundi la wanyama pori.Binafsi najia ukombozi na vyama vya ukombozi kuanzia TAA,TANU na vilivyo kuwepo kabla ya hivyo ni matokeo ya mashujaa kama Mangi Simeon kokkan laiseri,Mango meli,mangi mariale,mangi shangali na wengine.Hakuna dini ya aina yeyote iliyotaka kuikomboa afrika zaidi ya kuinyonya.
Waarabu na dini yao walikua mbwa na wataendelea kuwa mbwa tu.
Wazungu na dini zao walikia mbwa na wataendela kuwa mbwa tu.
Na misukule inayotetea kuwaabudu nayo ni mbwa tu shame on you unataka kusema uhuru ulichangiwa na dini swine kabisa.
 
hongera sana kwa kujijua wewe ni Fala.

Unapenda udini sana unatamani Dunia nzima wawe waislam na waongozwe na waislam, hiyoo ni akili Ya Fala sasa
Naona mada imekushinda, kuwa falah kwangu ni sifa kubwa sana.

Unaijubu vipi mada, una historia mbadala ya hii ya Mohamed Said?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom