Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Status
Not open for further replies.
Kama Nyerere aliua Uislam kweli Tanzania
Basi aliona mbali sana

Maana nikiona demand wanazotaka Waislam huku Tz Bara halafu ukilinganisha na wanachowafanyia wasio Waislam kule Zanzibar, utaona kabisa hawa watu wakiwa na nguvu sana lazima amani ya nchi itatetereka tu au watajaribu ku Islamize nchi nzima

Waislam mtaona kama nina chuki na nyie ila huu ni ukweli unaouma mtanisamehe

Mfano, India na Pakistan zilikuwa nchi moja chini ya utawala wa Mwingereza, ila kutokana na demand za Waislam na vurugu zao ikabidi waigawe iwe nchi Mbili, Waislam wakaenda Pakistan, Wahindu wakabaki India

Pakistan leo hii wote tunajua ni nchi ya aina gani
Ok tunakubali TANU ni ya Wislam, kuna jingine? Pia mnaweza mkachukua na CCM kama munaihitaji sababu imetufikisha mbali sana.
 
Hii santuri imechuja...kila baada ya muda watu wale wale, fikra zile zile, porojo zile zile, malalamishi yale yale, na ngano zile zile starring wafia dini Mohamed Said na FaizaFoxy. Mwaka kesho bila shaka hadithi nyingine kama hii itatungwa na safari hii si ajabu ikapewa jina lingine kama; Mwalimu Nyerere alifuta shule zote za Waislaam na kubakiza za Wakristo tu! Yaani hawa watu wawili wametia fora kwa kuwalisha vijana wa leo matango pori na wao huitikia tu hewala na kumeza tu kama misukule vile!

Kwa walioingia Jamii Forums majuzi tu naomba niwakumbushe uzuri wa JF nao ni kutunza kumbukumbu. Tumewahi kujadili sana hizi mada za kidini zinazoanzishwa na Mohamed Said pamoja na FaizaFoxy (utadhani ni mapacha wa kufikia). Uzushi katika hizo mada ni mwingi sana k.m. Waislamu eti ndio walimfundisha Baba wa Taifa kuvaa suruali.

Ningekuwa mod hizi mada za chuki zinazoanzishwa na hawa wafia dini kwa lengo la kuwagawa Watanzania kidini ningezipiga marufuku au kuzihamishia jukwaa la dini. Huko sisi wengine wala hatuingii kwani dini ni imani na kuchanganya dini na siasa ni kuleta mtafaruku usokuwa lazima. Kwa kuanzia mleta mada anafaa kupewa ban ya mwaka!

Kwa wageni hebu pitieni hizi thread mbili zilizowahi kujadiliwa humu...

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Uchochezi wa Mohamedi Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar
 
Wewe si wa mwanzo kutoamini na hutakuwa wa mwisho kutoamini, ipo siku utakuja kufahamu, Allah anasema Quran 41:53:-
53. Tutawaonyesha Ishara zetu katika upeo wa mbali na katika nafsi zao wenyewe mpaka iwabainikie kwamba haya ni kweli. Je! Haikutoshi kwamba Mola wako Mlezi kuwa Yeye ni Shahidi wa kila kitu?
Allah and yehova/jesus is nothing but foreign fraud
 
Hii santuri imechuja...kila baada ya muda watu wale wale, fikra zile zile, porojo zile zile, malalamishi yale yale, na ngano zile zile starring wafia dini Mohamed Said na FaizaFoxy. Mwaka kesho bila shaka hadithi nyingine kama hii itatungwa na safari hii si ajabu ikapewa jina lingine kama; Mwalimu Nyerere alifuta shule zote za Waislaam na kubakiza za Wakristo tu! Yaani hawa watu wawili wametia fora kwa kuwalisha vijana wa leo matango pori na wao huitikia tu hewala na kumeza tu kama misukule vile!

Kwa walioingia Jamii Forums majuzi tu naomba niwakumbushe uzuri wa JF nao ni kutunza kumbukumbu. Tumewahi kujadili sana hizi mada za kidini zinazoanzishwa na Mohamed Said pamoja na FaizaFoxy (utadhani ni mapacha wa kufikia). Uzushi katika hizo mada ni mwingi sana k.m. Waislamu eti ndio walimfundisha Baba wa Taifa kuvaa suruali.

Ningekuwa mod hizi mada za chuki zinazoanzishwa na hawa wafia dini kwa lengo la kuwagawa Watanzania kidini ningezipiga marufuku au kuzihamishia jukwaa la dini. Huko sisi wengine wala hatuingii kwani dini ni imani na kuchanganya dini na siasa ni kuleta mtafaruku usokuwa lazima. Kwa kuanzia mleta mada anafaa kupewa ban ya mwaka!

Kwa wageni hebu pitieni hizi thread mbili zilizowahi kujadiliwa humu...

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Uchochezi wa Mohamedi Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar
Hadi huko misikitini wanaburn CD's na kusambaza zinazohamasisha chuki na hizo habari za uongo mtupu.
 
KILIKUWA SO WHAT? NA KWA NINI MTU APINGE? SIONI SABABU HATA KIDOGO.SO PIA SIONI TOFAUTI YOYOTE.
 
TANU hakikuwa chama cha Kiislamu Bali kilikuwa na wafuasi wengi wa dini ya Kiislamu.
Usipotoshe Mzee.
 
Dada yangu nina share na wewe mambo mengi sana lakini hili la udini hapana. Waislam na wakristo wa tanganyika/Tanzania walisukumwa na kitu kimoja tu, uhuru wa kujiamria mambo yao ndani ya nchi yao waliyopewa na Mwenyezi. Waliokuwa na agenda ya dini hawakuwa watanganyika bali wakoloni pia. Waislam wa kweli na wakristo wa kweli walitaka uhuru na siyo uislam au ukristo. Ukristo na uislam sio utanganyika! Ni imani aliyonayo mtanganyika mmoja mmoja. Kwa maneno mengine hakuna muislam wala mkristo asiye mtanganyika ambaye aliguswa na swala la kuwa huru. Ukristo na uislam haukuwa hapa na unapatikana kokote duniani. Utanganyika unapatikana tanganyika pekee. Hata tukifuta uislamna ukiristo utanganyika unabaki. Acha kutuchanganya maana wanasiasa uchwara huficha ajenda zao kwenye udini na ukabila nothing else.






Kwanza napenda ifahamike kuwa dhumuni la kuipandisha clip hii hapa ni kumpinga huyo anaejiita "Sungura Media" aliyeipandisha clip hii youtube na kuandika kuwa eti ni "video ya siri". Haya mafundisho ya historia ya Alama Mohamed Said siyo siri, yapo mtandaoni, yapo kwenye tovuti yake na yameshajadiliwa sana hapa JF.

Mfahamu Alama Mohamed Said:

Sheikh Mohamed Said Abdallah alizaliwa mnamo tarehe 25 Februarikatika mwaka wa 1952 huko Gerezani jijini Dar es Salaam - ambapo ndiko kulikokuwa na asili ya upinzani dhidi ya ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika. Babu yake, Mzee Salum Abdallah Popo alikuwa muasisi wa harakati za vyama vya wafanyakazi na alikuwa mmoja kati ya watu wa awali kabisa kuanzisha upinzani na kuunga mkono hoja ya kupinga utawala wa kikoloni. Mwaka wa 1947, Mzee Popo aliongoza mgomo wa kwanza nchini Tanganyika katika majimbo ya kati nchi uliopangwa na wafanyakazi wa Tanganyika Railways. Tanganyika ilipopata uhuru wake mwaka 1961, Mzee Popo aliachana na mkono wa Nyerere kama jinsi wengi walivyofanya na alitiwa kizuizini na serikali kwa ajili ya msimamo wake wa kuwa vyama vya wafanyakazi sharti viwe huru. Akiwa mwenyekiti wa Tanganyika Railways African Union (TRAU) alipinga vyama vya wafanyakazi kuwekwa chini ya Tanganyika African National Union (TANU) chini ya Rais Julius Nyerere. Sheikh Mohamed Said ana shahada katika masuala ya Sayansi ya Siasa kutoka katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Vilevile ana Stashahada katika masuala ya Maritime Studies kutoka katika Chuo Kikuu cha Wales huko mjini [[Cardiff, Uingereza na nyingine ya BIMA kutoka katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha cha Dar es Salaam (IFM).


Utafiti juu ya historia ya uhuru wa TangayikaEdit

Mohamed Said amefanya utafiti mwingi sana juu ya historia ya uhuru wa Tanganyika, historia ambayo kabla ya utafiti wake ilichukuliwa kama iliyohitimishwa na ameweza kufukua mambo muhimu ambayo yalifichwa katika historia iliyokuwa ikitambulikana rasmi. Alianza kufahamika zaidi katika miaka ya themanini kupitia makala zake za kusisimua zilizokuwa zinahangaisha fikra za wasomaji kwa kufichua yale yaliyofichwam zilizoelezea mchango muhimu wa Waislamu na Uislamu katika harakati za kupinga ukoloni katika Tanganyika na khiyana waliofanyiwa Waislamu na serikali zote mbili, yaani, kabla ya uhuru na baada ya uhuru - jambo ambalo kwa wakati ule lilikuwa mwiko kufanyiwa utafiti au kuandikwa. Makala hizo zilipata kuchapishwa katika magazeti na majarida maarufu barani Afrika na katika magazeti ndani na nje ya Tanzania. Baadhi tu ya makala zake za utafiti ni pamoja na "In Praise of Ancestors" (1988), "Africa Events (London), "Abdulwahid Sykes: Founder of a Political Movement" Africa Events - London (1988), "Islam and Politics in Tanzania" (1989), Al Haq Internation (Karachi), "The Plight of Tanzania Muslim" (1993) Change (Dar es Salaam) na "The Secular Unsecular State" (1995) Change (Dar es Salaam).


Tazama piaEdit



Viungo vya Nje

Chanzo: https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Mohamed_Said

cc: Mohamed Said
 
Hii santuri imechuja...kila baada ya muda watu wale wale, fikra zile zile, porojo zile zile, malalamishi yale yale, na ngano zile zile starring wafia dini Mohamed Said na FaizaFoxy. Mwaka kesho bila shaka hadithi nyingine kama hii itatungwa na safari hii si ajabu ikapewa jina lingine kama; Mwalimu Nyerere alifuta shule zote za Waislaam na kubakiza za Wakristo tu! Yaani hawa watu wawili wametia fora kwa kuwalisha vijana wa leo matango pori na wao huitikia tu hewala na kumeza tu kama misukule vile!

Kwa walioingia Jamii Forums majuzi tu naomba niwakumbushe uzuri wa JF nao ni kutunza kumbukumbu. Tumewahi kujadili sana hizi mada za kidini zinazoanzishwa na Mohamed Said pamoja na FaizaFoxy (utadhani ni mapacha wa kufikia). Uzushi katika hizo mada ni mwingi sana k.m. Waislamu eti ndio walimfundisha Baba wa Taifa kuvaa suruali.

Ningekuwa mod hizi mada za chuki zinazoanzishwa na hawa wafia dini kwa lengo la kuwagawa Watanzania kidini ningezipiga marufuku au kuzihamishia jukwaa la dini. Huko sisi wengine wala hatuingii kwani dini ni imani na kuchanganya dini na siasa ni kuleta mtafaruku usokuwa lazima. Kwa kuanzia mleta mada anafaa kupewa ban ya mwaka!

Kwa wageni hebu pitieni hizi thread mbili zilizowahi kujadiliwa humu...

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Uchochezi wa Mohamedi Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar
Mag3,
Unaandika huku umeghadhibika na ukiwa na hamaki hata akili haiwezi
kufikiri vyema hadi umetulia.

Historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika ambayo ndiyo historia yake
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere iliandikwa na waandishi wengi
kabla yangu - Kimambo, Kandoro, Barongo, Chuo Cha CCM Kivukoni na
watafiti wa nje halikadhalika.

Bahati mbaya historia hizo ilikuwa na upungufu mkubwa sana na ndipo mimi
nikaiandika historia hii kwa kutumia Nyaraka za Sykes ambao historia yao
katika siasa za Waafrika wa Tanganyika zinaanza mwanzoni karne ya 20 na
ndiyo waliokuwa mstari wa mbele katika kuasisi TANU na harakati dhidi ya
ukoloni wa Muingereza.

Watafiti walionitangulia mimi hakuna aliyepata fursa ya kuzisoma nyaraka hizi
wala kuwahoji wenye nyaraka hizi.

Kitabu kilipotoka mwaka wa 1998 hakika kiliwashtua wengi kwa kule kutambua
kuwa historia waliyokuwa wakiiamini kuwa ndiyo historia ya kweli ya TANU na
uhuru wa Tanganyika ilikuwa na mashimo mengi yasiyo na hesabu.

Matokeo yake kitabu kilipata review tatu kutoka mabingwa wa African History
kwenye Cambridge Journal of African History waandishi wakiwa John Iliffe,
Jonathan Glassman na James Brennan.

The East African Magazine (Nairobi) ikatoa ''serialisation'' tatu za kitabu
Business Times nao pia wakaandika '' review,'' ya kitabu hiki.

Haya nishayaeleza huko nyuma lakini nayarudia kwa kuwa somo hili kila
siku linavutia wasomaji wapya.

Kubwa katika yale yanayoshughulisha akili za wengi ni mchango wa Waislam
katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Hiki ndicho kinachomuunguza Mag3.

Kitabu kina kwenda toleo la nne Kiswahili na la tatu Kiingereza.

Mag3 historia hii si santuri inayochuja hii ni mfano wa picha ya ''Mona Lisa,'' au
ukipenda sawa na nyimbo, ''Besame Mucho.''

Kutokana na kitabu hiki nikatiwa katika mradi wa vitabu vya historia kwa mashule
chini ya Oxford University Press Nairobi na nikaandika kitabu kimoja: ''The Torch
on Kilimanjaro,'' na nikashirikishwa kwenye mradi mwingine, Dictionary of African
Biography (DAB) Oxford University Press, New York mradi chini ya Harvard.

1119899


Hawa wote hawakuona udini ila Mag3.

Kutokana na kusahihisha historia ya uhuru wa Tanganyika nimealikwa kwingi duniani
kuzungumza pamoja na Northwestern University, Marekani wanaoongoza duniani
katika African History.

Hawa wote hawakuona udini ila Mag3.
Mag3
anaita haya porojo na ngano na udini.

Mag3 anadhani yeye anajua kushinda hawa wote wanaonitandikia busati kwao nikae
nizungumze na wataalamu wao achilia mbali wachapaji vitabu (publishers) waliotoa
vitabu nilivyoandika.

Kuna mengine sikuyajibu kwani hayana maana na mimi siwezi kukosa adabu kuandika
matusi na kashfa.
 
Mag3 anadhani yeye anajua kushinda hawa wote wanaonitandikia busati kwao nikae nizungumze na wataalamu wao achilia mbali wachapaji vitabu (publishers) waliotoa vitabu nilivyoandika.
Kuna mengine sikuyajibu kwani hayana maana na mimi siwezi kukosa adabu kuandika matusi na kashfa.
Unaweza ukawadanganya wachache muda wote,
Unaweza ukawadanganya wengi mara moja moja,
Lakini huwezi ukawadanganya wote nyakati zote.
Bahati mbaya mimi hunidanganyi hata mara moja, alamsiki.
 
Waislam tafsirini kwanza Quran isomwe kwa Kiswahili, ili watu wengi waisome vizuri na kuielewa sio kukariri maneno ya kiarabu bila kujua kwa undani Zaidi, kwa nini miaka yote hata mmesoma vizuri na mmelimika bado mnatumia lugha ya kiarabu katika masomo yenu? tofauti na wakristo, ambapo hutumia lugha rahisi inayowazunguka kusoma kuelewa bible, na kuwa na uwezo wa kulogic hata kitu kilichoandikwa, sidhani kama kuiweka Quran kwa Kiswahili nayo ni dhambi.

Kuhusu mjadala huu umekaa kidini sana kukiwa na lengo la upande mmoja kulaumu upande mwingine, kumbukeni kuwa waksiku zote mafundisho yao ni ya kistaraabu Zaidi, ndio manaa mahali popote kwenye watu wengi wakristo Amani ni kubwa, mfano tu hapa Tanzania ukiangalia uwiano wa wakristo na waislam utajua, lakini wakristo hujishusha na kusihi vizuri na waislam, lakini kama waislam wangekuwa wengi nchi ingechimbika, dini ya kiislam hisia ni nyingi kuliko uhalisia, halafu mambo mengi ni ya zamani na ndoto nyingi hayo masomo ya kale ya kina musa ukiyafuatilia sana unaweza mkata panga hata mwanao, hata kwenye ukristo yako lakini yalibadilika baada ya yesu kuja, sisemi kuwa muyatupilie mbali lakini u have rights question, waislam hamuwezi kuuliza hilo ila wakristo wanaweza, ndio maana wakristo wengi hujua hili neo ni kweli au fake.
 
Sasa ilikuaje Chama cha Kiislam kiongozwe na Mkristu? tena mkamwachia aongoze na nchi..... Ni ajabu.

Inamaana ao babu zetu wa kiislam awakua na mtu wa kuongoza? Au awakua na Wasomi?

Siku tutaambia Nyerere Alislim Nyumban kwa Mtenvu.....!
Amulewek sijui mnaitaji nini? Kama ni swala la kupigania uhuru ata Babu zetu pia walipigania uhuru uko walipokua.
 
Unaweza ukawadanganya wachache muda wote,
Unaweza ukawadanganya wengi mara moja moja,
Lakini huwezi ukawadanganya wote nyakati zote.
Bahati mbaya mimi hunidanganyi hata mara moja, alamsiki.
Mag3,
Alamsiki bi nur.

Mimi nina uwezo wa kuidanganya Harvard, Northwestern University,
University of Iowa, Oxford University Press kutaja wachache?

Unachomwa kuona kama ulidhani Waislam hamna kitu unasoma
historia yao walivyokuwa bega kwa bega na Mwalimu Nyerere hadi
uhuru ukapatikama 1961.

Ulikuwa hujasikia historia ya Abdul Sykes wala baba yake.

Historia hii mbali ya kuwavutia wasomaji wengi duniani imewashangaza
Watanzania wote.
 
Hope you have some Undiagnosed mental illness my sister. Isn't it? Prove it with concrete examples.
 
Faiza Foxy yuko wapi ajibu hoja za wadau humu ndani?
 
Mkuu Dada yangu, nikuzimiaye, Faiza Foxy, kwanza asante kutuletea hii clip ya Redio Kheri, yenye maurongo wa Mzee wetu na member mwenzetu Maalim Mohamned Said, maana bila wewe kuileta humu, akina sisi, tusingejua jinsi mnavyodanganyana humo na kufanya uchochezi kwenye hizo redio zenu za dini!.

Kwa kuanzia tuu, kuanzia headline ya bandiko hili ni urongo, Tanu hakijawahi kuwa ni chama cha Kiislamu, kuanzia kuasisiwa kwake, hakuna Muislamu yoyote aliwahi kuasisi chama chochote cha kupigania uhuru wa Tanganyika, Tanu ilitokana na TAA, ambayo ilitokana na AA. Muasisi wa AA ni Mkristo Cecil Kalaghe, muasisi wa TAA ni Mkristo Dr. Kyaruzi, na muasisi wa Tanu ni Mkristo Mwl. Julius Kambarage Nyerere, tangu AA, TAA hadi TANU, hakuna wakati wowote vyama hivi viliwahi kuwa vya dini fulani, ila kitu ambacho ni kweli, Tanu ilimuwa na members wengi Waislamu kuliko Wakristu, ila nguvu ya chama chochote ni logistical support, mfadhili mkuu wa Tanu ni Mkristo tajiri Mzee John Rupia, na sio wale masikini wa Gerezani japo pia tusiudharau mchango wao wa senti 5 ya samaki, senti 10,senti 20 ya mbuni, thumuni ya sungura, na shilingi ya mwenge, enzi hizo, noti ni ya shilingi 5, 10,20, 50 na noti kubwa ilikuwa Sh.100 ya masai.

Nimeisikiliza yote nikakuta ...Du...!, mnapigwa kamba kweli kweli na Mzee wetu huyu...
huu ni muendelezo wa ule ule urongo wa siku zote wa uchochezi wa udini, kusingizia kitu cha urongo marehemu kina karma kali sana!.

Japo namheshimu sana Maalim Mohammed Said, kitu pekee mimi ninachotofautiana nae ni matumizi ya takwimu za urongo ili kupush forward agenda zake ovu za uchochezi wa udini.

Kwenye mahojiano hayo, ameongopa kuwa 76% ya wabunge wa Bunge la JMT, ni Wakatoliki,18% madhehebu mengine ya Kikristu yaliyobakia, halafu Waislamu ni just 6%!. Huu ni urongo wa kiwango cha lami mchana kweupe. Mtu huhitaji kufanya sensa ya Wabunge Waislamu kujua huu ni urongo, bila hata sensa, Wabunge wote kutoka Zanzibar ni Waislamu ambao kabla hujawajumlisha wabunge Waislamu wa bara, hao Wanzibar tuu wenyewe wanafanya theluthi moja ya Wabunge wote!. Huu ni urongo!.

Hata kwa kutumia tuu just ordinary common sense, inakuja kweli akilini, 76% ya wabunge wakawa ni Wakatoliki?!,this doesnt make sense to me, this is non sense, just bull shit!.
(ashakum for this)

Ukiwa na asilimia 99% ya ukweli, na just 1% ya urongo, huo urongo una nullify ukweli wote wa hoja zake kuzifanya null and void ab initio.

P.
unaona raha gani kudanganya kuhusu historia ya uhuru!?..unaweka fikra pembeni kisa imani!..kuhusu bunge mwaka 2000 baada ya waislam wengi kushinda kura za maoni ubunge,mchakato ukarudiwa kwa hoja zisizo na mashiko,makada wa msalaba walifurahi na kutamba kwamba tumewafyeka waislam,hebu tupe takwimu za dini bungeni
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom