Tumeona wachezaji kadhaa waliojitokeza kulaani mauaji ya Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza wakitishiwa kufukuzwa kwenye klabu zao na kusimamishwa, haswa Ujerumani ambapo zaidi ya wachezaji watatu wameshasimaishwa.
Mchezaji mahiri na mashuhuri Duniani anaechezea Liverpool amejitokeza rasmi na kutoa ujumbe kwa njia ya video akilaani mauaji ya Israel.
Je, Liverpool watamsimamisha?
Mchezaji mahiri na mashuhuri Duniani anaechezea Liverpool amejitokeza rasmi na kutoa ujumbe kwa njia ya video akilaani mauaji ya Israel.
Je, Liverpool watamsimamisha?